Mgomo wa Simu Utafeli...

Mgomo wa Simu Utafeli...

Zemarcopolo una mawazo yabisi baridi

Kuna jamaa kampigia simu mwenzake akamuuliza "aisee vipi mgomo wa simu umezima?", Jamaa akamjibu "Ndio nimezima aisee, hapa siwashi mpaka kieleweke".

Hahahahahahahahahaha wako hewani huku wamegoma...

Mgomo UMEFELI...
 
Kuna watu hapa kitaa wanasema "akili za kuambiwa,..."



Propaganda nyingine ni BURE kabisa. Sasa kama lengo ni kupeleka kodi kwenye kampeni si inaweza kuchukuliwa kodi yoyote tu, kwani mpaka itoke kwenye simu?
Hakuna kodi inayokusanywa kwa ajili ya kampeni.

Wananchi wameshashtuka...

how much do they pay you???
 
Nimeongea na jamaa zangu Arusha nawauliza vipi mbona amjazima simu zenu wakati mmetangaziwa na kamamanda mwenzenu.

Wananiambia kwani anajuaje kama tuna simu.

Kamanda mwengine ananiambia akizima simu wateja wake wa Toyo watamkosa atakula wapi kwa Mwanakijiji kwanza hata hamjui.

Maeneo Muleba kule Bukoba hawana kabisa hizi taarifa.
 
Nimei-beep namba ya Lema, inaita, teh teh teh teh.

Unaanzisha mgomo wakati wewe upo Marekani.

Njoo bongo uongoze maandamano.
 
Uzuri ni kwamba watakao athirika na hiyo buku buku ni wote uwe CCM au CDM,CUF,TLP...... mimi ningeomba tusiweke ushabiki kwenye haya mambo sisi wengine tunalipiwa na kampuni zetu hivyo basi sioni tatizo, mama yangu aliopo usinge, na kaka zangu waliopo nguruka bila kujali itikadi itakula kwao. sioni sababu ya kushabikia suala hili wakati wanaoneemeka ni wajanja wachache wanaobadilisha majina ya Mahoteli na misamaha ya kodi kila siku, Zama za kumsifia mtu kwa kuwa na utajiri zimepitwa na wakati
 
CCM imeanzisha hii mpango wa kifisadi na ilijua kutokana na umuhimu wa mawasiliano ingefanikiwa.mawasiliano ni inelastic demand.hongera MM naona hupatikani
 
Mwanzisha uzi ni moja kati ya magamba yanayovuliwa na kuishia kiunoni
 
Mwanzisha uzi ni moja kati ya magamba yanayovuliwa na kuishia kiunoni

namba za mbowe,slaa,marando.mwanakijiji.zitto.lema,mushumbuzi.msema kweli,makene,na nk zote zipo hewani tehtehtehtehteh
 
Nimei-beep namba ya Lema, inaita, teh teh teh teh.

Unaanzisha mgomo wakati wewe upo Marekani.

Njoo bongo uongoze maandamano.

Taarifa kutoka Singida zinasema kuzima simu kwa ajili ya kumfurahisha mtu wasiyemjua ni UJINGA...
 
tatizo sio kuwa wananchi wamegoma ni suala la muda tu. wewe pamoja na hao waliokutuma siku zenu zimehesabiwa! Usifikiri unaweza kuwahadaa wananchi wakati wote. Tatizo ulilonalo wewe umeshiba kwa hiyo unafikiri na wenzako wako kama wewe. Mwanakijiji ni shujaa kuliko wewe unaekula na umefungwa! Heri mfungwa huru mwenye njaa kuliko mfungwa anaekula na kusaza lakini ni mfungwa!
 
je bungeni wanapotumia ubabe kupitisha hoja zisizo na maslahi kwa wananchi wananchi wafanyeje? tuambie
 
Makamanda kibao wako online hapa jf' mpaka facebook na dr mwenyewe yumo ndani ya nyumba. Hahahahahahahaha.
 
Nimei-beep namba ya Lema, inaita, teh teh teh teh.

Unaanzisha mgomo wakati wewe upo Marekani.

Njoo bongo uongoze maandamano.

mkuu, hata ya john mnyika inapatikana muda wote. heheheeeeeee.
 
je bungeni wanapotumia ubabe kupitisha hoja zisizo na maslahi kwa wananchi wananchi wafanyeje? tuambie

Tuwaambie wawakilishi wetu, waingie bungeni wakajenge hoja kutupigania wanyonge. Hii habari ya kutoingia bungeni halafu kelele za hoja ziropokewa majukwani na mitandaoni hatutendewi haki?
 
Tuwaambie wawakilishi wetu, waingie bungeni wakajenge hoja kutupigania wanyonge. Hii habari ya kutoingia bungeni halafu kelele za hoja ziropokewa majukwani na mitandaoni hatutendewi haki?

hii hoja iliwasilishwa na mnyika kuanzia katika ngazi ya kamati hadi bungeni lakini si unajua ccm wasipotaka jambo lipite kwa kuwa wao ni wengi wanapitisha kwa kupiga kura. option unayobaki nayo inakuwa ni kuwaambia wananchi juhudi ulizofanya na wapi ulikwama. ndicho mnyika alichofanya sasa ulitarajia afanye nn zaidi
 
Mkuu mbona povu wakati wewe mwenyewe hujui kitu. Mimi ni mkazi wa Nyololo stendi hizi porojo zenu pelekeni huko. Kwa kifupi wanasiasa ni watu wabaya sana, hupenda kujitazama wao tu. Kwanini wafuasi ndiyo wanakufa?

Propaganda at work.

Labda jiulize kwanza kwa nini viongozi huwa wanakuwa protected then utapata jibu. Sasa kama kiongozi akifa nani atakuongoza. For your thinking naona hakuna hata haja ya kumprotect hata Rais.
 
Back
Top Bottom