Mgomo wa Simu Utafeli...

Mgomo wa Simu Utafeli...

Si unajua malengo yake kuigombanisha serikali na wananchi sasa hivi roho yake imeburudika sana kuona kwamba taifa limeingia gharama hizi na wamarekani wanapeta.

Anajua kwa vile yeye yuko Marekani basi atanufaika na kodi watayalipa wamarekani nchini kwao.
Sujui kwanini Mwanakijiji anaichukia nchi iliyomlea - Tanzania!!!
 
Tanzania ina rasilimali ngapi? Sawa hakuna nchi ambayo awalipi kodi. Lakini hii serikali dhaifu wana samehe kodi ipo mingi tuu ambayo wananufaika nayo wao wenyewe alafu wanawachapa walio wanyonge endeleeni mwisho upo kwani unafikiri amani itowekaje kama siyo ishu hizi zakipuuzi atawewe japo ni fisadi au mtoto wa fisadi huko kijijini kwenu huko hutakuwa unawapata ndugu zako kama vocha zipo mpaka za sh 300 unategemea nini kama siyo hiyo mitandao waliona kipato cha walio wengi ni kidogo madini yanaondoka alafu tunapewa net huu siniupuuzi saana

Sasa wewe badala ya kuihimiza serikali ikusanye kodi zaidi unamsikiliza Mwanakijiji anayekushawishi uichukie kodi!

Hakuna maendeleo bila kodi.
 
Huu mdahalo unaonyesha wengi tunakula makombo mezani pa wauza unga.
Bila shaka tunasubiri wapigania uhuru wa South Afrika waje watukomboe.
Kwani utamu wa pingu na uzito wa minyoro ya utumwa wa kiuchumi ni hewala kwetu, Siku zote Uhuru wa kiuchumi taabu yake ni kutumia kila funda ya bongo zetu na kuishi bila dezo la mzungu wa unga.
 
Huu mdahalo unaonyesha wengi tunakula makombo mezani pa wauza unga.
Bila shaka tunasubiri wapigania uhuru wa South Afrika waje watukomboe.
Kwani utamu wa pingu na uzito wa minyoro ya utumwa wa kiuchumi ni hewala kwetu, Siku zote Uhuru wa kiuchumi taabu yake ni kutumia kila funda ya bongo zetu na kuishi bila dezo la mzungu wa unga.

Mgomo umefeli kwa sababu haukuwa na tija.

Tunalo Bunge na wabunge ambao tunaweza kuwaambia tu kuwa jambo fulani hatujaridhishwa nalo na wakakaa tena kulipitia, hakuna haja ya mtu kuzima simu. Mwanakijiji anadhani watanzania wajinga.

Mgomo UMEFELI...
 
Ooh,CCJ ni chama makini,na ndicho kitaeleta ukombozi wa kweli kwa watanzania,MY FEET.
 
ZeMarcopolo naimani unajuana na washkaji zako ambao wanafanya kazi telcom co. Waambie wakupe tasmin ya wateja waliozima cm siku hzo tajwa.
 
Last edited by a moderator:
ZeMarcopolo naimani unajuana na washkaji zako ambao wanafanya kazi telcom co. Waambie wakupe tasmin ya wateja waliozima cm siku hzo tajwa.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahahahahahaha Mwanakijiji anaona AIBU kuingia JF siku hizi.
FaizaFoxy mwambie rafiki yako Mwanakijiji asikimbie mdundiko alioupigia mbiu...

Aaaah huku Mzee Manakijiji watu wamesha mstukia siku nyingi kuwa ni fataani.

Nilimwambia zamani sana kuwa anaonesha ni mtu mfupi sana na hana njia nyingine ya kufanya ila kujitafutia urefu katika maandiko, tatizo yanamzidisha ufupi kwani maandiko yake yote ni amma kuchochea, kupinga, ufataani na haridhishwi na chochote wafanyacho wenzake. Ana chuki ya ajabu, kikwetu huyu huitwa hasid.

Sijuwi mkewe anaishi nae vipi (kama anae, of which I doubt very much), maana huyu hakuna kinachomridhisha na ubavu hana.
 
Unafikiri kwa tumbo! Basi kama huyu Mzee Mwanakijiji ana nguvu ya kufanya yote haya uliyoyataja na mengi yamefanikiwa nadiriki kusema serikali iko honeymoon!

Harakati za kugomea huduma za simu zinazofanywa na mkazi wa Marekani anayejitambulisha kwa jina la kujificha kama Mzee Mwanakijiji UMEFELI.

Kilichosababisha kufeli kwa mgomo huu ni kukosa tija.

Mwanaharakati huyo ambaye pia ni kinara wa kuitengenezea Tanzania maadui duniani alitamani kuona watanzania wanazima simu zao na kukosa huduma hiyo muhimu wakati yeye akiendelea kupata huduma zake bila matatizo.

Ikumbukwe kuwa mgomo huo umeitishwa siku za kazi ambazo wanafunzi watakuwa shuleni. Hii ni kumaanisha kuwa Mwanakijiji anahamasisha wazazi wazime simu na kutojali iwapo kutatokea habari ya dharura toka shuleni kuhusu watoto wao!!!

Tabia hii ya Mwanakijiji ambaye ni mwanaharakati wa Chadema inafanana na kitendo alichokifanya Katibu Mkuu wa Chama hicho, Dr. Wilbroad Slaa Iringa ambapo alihamasisha vijana kukaidi amri halali ya Polisi na yeye mwenyewe akaitii amri hiyo na kujifungia hotelini. Uchochezi huu wa Dr. Slaa ulisababisha kifo cha mwandishi Mwangosi. Kila anapoulizwa kwanini hakuwepo eneo la tukio wakati yeye ndiye aliyeitisha maandamano Dr. Slaa amekuwa akipepesapepesa macho kwa aibu.

Bado haijafahamika kwanini Mwanakijiji amekuwa mchochezi wa vurugu nchini Tanzania ilhali yeye mwenyewe hataki hata kutembelea nchi hiyo ambayo kuna taarifa ambazo bado hazithibitishwa kuwa uraia wake ameshaubwaga.

Miongoni mwa vurugu alizochochea Mwanakijiji ni pamoja na :
kuhamasisha walimu wasifundishe wanafunzi
Kuhamasisha madaktari wasitibie wagonjwa
Kuhamasisha watu wasilipe kodi
Kumchochea Kadinali Pengo aanzishe vita
Kuhamasisha watanzania kususia mchakato wa Katiba Mpya
Kuhamasishwa wananchi waikataze serikali kununua mitambo ya kuzalisha umeme
Kusambaza habari za uongo juu ya Rais wa Nchi
Kuhamasisha chama cha siasa kuanzisha kikundi cha vurugu
Kuhamasisha watu waukatae Muungano
Kuhamasisha wananchi wakatae kushiriki shughuli za maendeleo.

Ni bayana kuwa mwanya wa kodi mpya ya simu unatumiwa na wenzetu hawa wasioitakia mema nchi yetu ili kutuchonganisha na kutusahaulisha jukumu letu kuu la kuijenga nchi yetu. Kwa bahati mbaya pamoja na kwamba Tanzania ni nchi yetu sote, lakini wapo wenzetu wanaofurahi kuona nchi inakuwa kwenye matatizo na migogoro!

Kufeli kwa mgomo huu ni ujumbe muhimu kwa wachochezi wa vurugu. Watanzania wameshatambua kuwa wachochezi hawa hawana malengo mema.

Kuhusu kodi ya simu, nchi yetu ina mfumo wa uwakilishi kwa njia ya Bunge. Tutumie mfumo huu kutoa mapendekezo yetu ya jinsi tunavyotaka kodi zetu zilipwe. Mfumo umewekwa ili tuishi kama jamii iliyostaarabika inayopanga mambo yake kwa utaratibu maalum. Tuendelee kukataa hawa wanaoibuka na kutufanya tuvutane katika vitu ambavyo tumeshaweka utaratibu wa kuvishughulikia.

Hongereni watanzania kwa kukataa uchochezi...

Mungu Ibariki Afrika,
Mungu Ibariki Tanzania...
 
Unafikiri kwa tumbo! Basi kama huyu Mzee Mwanakijiji ana nguvu ya kufanya yote haya uliyoyataja na mengi yamefanikiwa nadiriki kusema serikali iko honeymoon!

Uhuni ni jambo ambalo kila mtu akimaua anaweza kufanya...
 
Hongera Mzee Mwanakijiji tulikuwa tumejiandaa hata kama kuna walamba miguu ya mafisadi wakiomba fadhila zao za kitambo kidogo tu na wengine wengi ambao hawajajua haki zao wanakukatisha tama sisi tupo nyuma yako. Kwa taarifa yao tu ni kwamba msimo wetu umewatetemesha serikali kilaza na wamefyata mkia wao. Wanarudisha hoja bungeni ikajadiliwe upya. Aibu gani kwa wabunge vibogoyo wa CCM waliopitisha kwa mbwembwe wakati wanaume wanaomboleza ARUSHA. Tuone sasa SIM CARD TAX-1000/= itapita? Mbele ya kijana mbishi Mnyika.
 
Hongera Mzee Mwanakijiji tulikuwa tumejiandaa hata kama kuna walamba miguu ya mafisadi wakiomba fadhila zao za kitambo kidogo tu na wengine wengi ambao hawajajua haki zao wanakukatisha tama sisi tupo nyuma yako. Kwa taarifa yao tu ni kwamba msimo wetu umewatetemesha serikali kilaza na wamefyata mkia wao. Wanarudisha hoja bungeni ikajadiliwe upya. Aibu gani kwa wabunge vibogoyo wa CCM waliopitisha kwa mbwembwe wakati wanaume wanaomboleza ARUSHA. Tuone sasa SIM CARD TAX-1000/= itapita? Mbele ya kijana mbishi Mnyika.
ZeMarcopolo ameiona hii?
 
Hongera Mzee Mwanakijiji tulikuwa tumejiandaa hata kama kuna walamba miguu ya mafisadi wakiomba fadhila zao za kitambo kidogo tu na wengine wengi ambao hawajajua haki zao wanakukatisha tama sisi tupo nyuma yako. Kwa taarifa yao tu ni kwamba msimo wetu umewatetemesha serikali kilaza na wamefyata mkia wao. Wanarudisha hoja bungeni ikajadiliwe upya. Aibu gani kwa wabunge vibogoyo wa CCM waliopitisha kwa mbwembwe wakati wanaume wanaomboleza ARUSHA. Tuone sasa SIM CARD TAX-1000/= itapita? Mbele ya kijana mbishi Mnyika.

We kweli una kichwa cha Bavicha. Bunge sio uwanja wa mpira. By the way, kumbe wabunge wanawake hawana thamani kwenu!!!
 
Back
Top Bottom