masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,409
- 14,116
Pamoja na Mwanakijiji kuwa na weledi wa kuchambua mambo , hana uwezo wa kutoa solutions.
Mbaya zaidi solutions zake ni za "quick fix", bordering on naivety.
Kama nagekuwa close na yanayoendelea nchini pengine angejua kuwa ni kama mtu aliyewekwa kwenye chupa inayoelea baharini, anaona kila kitu lakini yeye mwenyewe hazami na maji wala hana uwezo wa kuamua kule anakoelekea.
Mbaya zaidi solutions zake ni za "quick fix", bordering on naivety.
Kama nagekuwa close na yanayoendelea nchini pengine angejua kuwa ni kama mtu aliyewekwa kwenye chupa inayoelea baharini, anaona kila kitu lakini yeye mwenyewe hazami na maji wala hana uwezo wa kuamua kule anakoelekea.