ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,279
- 7,681
- Thread starter
- #61
Wengine biashara zao zote zinategemea simu, wakizima simu hiyo hasra watakayopata ni zaidi ya kulipa hivyo vikodi vya shilling 1000 kwa miaka 20 ijayo.
Huyu Mzee Mwanakijiji haitakii mema nchi hii. Nchi ilimshinda kwa uvivu wake akakimbilia USA anakula pesa za ulemavu asiokuwa nao.
Mwanakijiji anadhani watanzania mambumbumbu.
Tangu alipomshauri Kadinali Pengo aanzishe vita nchini watu werevu wamemuelewa vizuri kuwa hana nia njema na nchi yetu. Ndio maana mgomo wake umedorora...