Mgomo wa Simu Utafeli...

Mgomo wa Simu Utafeli...

Kwanza wamuulize Mwanakijiji huko Marekani kodi zake zote watu wanakubaliana nazo? Je, wamegoma kuzilipa kwa njia za kihuni kama hii inayohamasisha yeye?

Senate na Congress kazi yake nini?

hana jibu labda tusi
 
hivi we utaelimika lini? Unawezaje kuambiwa huku unaona? Kwn nani asiyejua kuwa huu ni mpango wa wizi wa kampen ya CCM 2015?

we uliye elimika mbona umeshikwa maskio kama mbuzi wa kafara na mwanakijiji mwenzako.
 
Harakati za kugomea huduma za simu zinazofanywa na mkazi wa Marekani anayejitambulisha kwa jina la kujificha kama Mzee Mwanakijiji UMEFELI.

Kilichosababisha kufeli kwa mgomo huu ni kukosa tija.

Mwanaharakati huyo ambaye pia ni kinara wa kuitengenezea Tanzania maadui duniani alitamani kuona watanzania wanazima simu zao na kukosa huduma hiyo muhimu wakati yeye akiendelea kupata huduma zake bila matatizo.

Ikumbukwe kuwa mgomo huo umeitishwa siku za kazi ambazo wanafunzi watakuwa shuleni. Hii ni kumaanisha kuwa Mwanakijiji anahamasisha wazazi wazime simu na kutojali iwapo kutatokea habari ya dharura toka shuleni kuhusu watoto wao!!!

Tabia hii ya Mwanakijiji ambaye ni mwanaharakati wa Chadema inafanana na kitendo alichokifanya Katibu Mkuu wa Chama hicho, Dr. Wilbroad Slaa Iringa ambapo alihamasisha vijana kukaidi amri halali ya Polisi na yeye mwenyewe akaitii amri hiyo na kujifungia hotelini. Uchochezi huu wa Dr. Slaa ulisababisha kifo cha mwandishi Mwangosi. Kila anapoulizwa kwanini hakuwepo eneo la tukio wakati yeye ndiye aliyeitisha maandamano Dr. Slaa amekuwa akipepesapepesa macho kwa aibu.

Bado haijafahamika kwanini Mwanakijiji amekuwa mchochezi wa vurugu nchini Tanzania ilhali yeye mwenyewe hataki hata kutembelea nchi hiyo ambayo kuna taarifa ambazo bado hazithibitishwa kuwa uraia wake ameshaubwaga.

Miongoni mwa vurugu alizochochea Mwanakijiji ni pamoja na :
kuhamasisha walimu wasifundishe wanafunzi
Kuhamasisha madaktari wasitibie wagonjwa
Kuhamasisha watu wasilipe kodi
Kumchochea Kadinali Pengo aanzishe vita
Kuhamasisha watanzania kususia mchakato wa Katiba Mpya
Kuhamasishwa wananchi waikataze serikali kununua mitambo ya kuzalisha umeme
Kusambaza habari za uongo juu ya Rais wa Nchi
Kuhamasisha chama cha siasa kuanzisha kikundi cha vurugu
Kuhamasisha watu waukatae Muungano
Kuhamasisha wananchi wakatae kushiriki shughuli za maendeleo.

Ni bayana kuwa mwanya wa kodi mpya ya simu unatumiwa na wenzetu hawa wasioitakia mema nchi yetu ili kutuchonganisha na kutusahaulisha jukumu letu kuu la kuijenga nchi yetu. Kwa bahati mbaya pamoja na kwamba Tanzania ni nchi yetu sote, lakini wapo wenzetu wanaofurahi kuona nchi inakuwa kwenye matatizo na migogoro!

Kufeli kwa mgomo huu ni ujumbe muhimu kwa wachochezi wa vurugu. Watanzania wameshatambua kuwa wachochezi hawa hawana malengo mema.

Kuhusu kodi ya simu, nchi yetu ina mfumo wa uwakilishi kwa njia ya Bunge. Tutumie mfumo huu kutoa mapendekezo yetu ya jinsi tunavyotaka kodi zetu zilipwe. Mfumo umewekwa ili tuishi kama jamii iliyostaarabika inayopanga mambo yake kwa utaratibu maalum. Tuendelee kukataa hawa wanaoibuka na kutufanya tuvutane katika vitu ambavyo tumeshaweka utaratibu wa kuvishughulikia.

Hongereni watanzania kwa kukataa uchochezi...

Mungu Ibariki Afrika,
Mungu Ibariki Tanzania...

.....ha ha ha kuna punda wengi sana!!!!
 
Mzee mwanakijiji ni mwiba mchungu sana kwa magamba.
 
Huyu jamaa sijui kwanini anaichukia Tazania kiasi hicho. Hajawahi kuhamasisha anything positive, yeye kila siku ni kuhamasisha migomo, vurugu, maandamano na vita...
Mkuu ZeMarcopolo naheshimu sana mchango wako katika forum lakini leo naomba nikusahihishe kidogo sio kukupinga.
Ni waTanzania wangapi wana access ya ya internet. Nazungumza kwa wale waishio ndani ya Tanzania nao ni wale waishio mijini na vijijini. Mzee Mwanakijiji sio anahamasisha migomo vurugu ni namna ya kuleta mabadiliko katika nchi yetu. Sote tunaipenda Tanzania lakini viongozi wetu wamejisahau na ndio maana Tanzania ipo ilipo.. Migomo vurugu na maandamano ni njia mojawapo ya kupaaza sauti na umma kama sio ulimwengu ukasikia kilio cha wananchi. WaTanzania wengi ni waoga kueleza mawazo yao kwa mdomo lakini maandamano ni njia mojawapo ya mtu kujieleza. Leo makampuni ya simu Tanzania yanataka kuficha ukweli baina yake na serikali.. hawalipi KODI wanataka wananchi ndio wawalipie kodi yao kwa mpango upi na kwa nini.. Wakati mwingine huu ushabiki USIO NA TIJA KWA TAIFA KWA SABABU YA TOFAUTI ZETU KISIASA TUACHE na tuwe 'REAL' Ufisadi ndio unaiongoza Tanzania left right and centre.Kujikomboa kutoka katika mikono ya mafisadi njia mojawapo ni hizi migomo na maandamano ya amani ni hilo tu!
 
Taarifa kutoka mkoa wa Ruvuma mjini Songea zinasema hawawezi kuzima simu kwa kushawishiwa na mtu ambaye hata jina alilopewa na wazazi wake anaona aibu kulitaja...
 
Mkuu ZeMarcopolo naheshimu sana mchango wako katika forum lakini leo naomba nikusahihishe kidogo sio kukupinga.
Ni waTanzania wangapi wana access ya ya internet. Nazungumza kwa wale waishio ndani ya Tanzania nao ni wale waishio mijini na vijijini. Mzee Mwanakijiji sio anahamasisha migomo vurugu ni namna ya kuleta mabadiliko katika nchi yetu. Sote tunaipenda Tanzania lakini viongozi wetu wamejisahau na ndio maana Tanzania ipo ilipo.. Migomo vurugu na maandamano ni njia mojawapo ya kupaaza sauti na umma kama sio ulimwengu ukasikia kilio cha wananchi. WaTanzania wengi ni waoga kueleza mawazo yao kwa mdomo lakini maandamano ni njia mojawapo ya mtu kujieleza. Leo makampuni ya simu Tanzania yanataka kuficha ukweli baina yake na serikali.. hawalipi KODI wanataka wananchi ndio wawalipie kodi yao kwa mpango upi na kwa nini.. Wakati mwingine huu ushabiki USIO NA TIJA KWA TAIFA KWA SABABU YA TOFAUTI ZETU KISIASA TUACHE na tuwe 'REAL' Ufisadi ndio unaiongoza Tanzania left right and centre.Kujikomboa kutoka katika mikono ya mafisadi njia mojawapo ni hizi migomo na maandamano ya amani ni hilo tu!

You are right about maandamano, lakini unapomuona mtanzania mwenzako kila siku yeye ni mwenye kuhamasisha vurugu tu, hakuna siku hata moja anayokumbuka kuhamasisha jambo jema, ni LAZIMA kuwa makini nae. Na hii ni kuanzia katika ngazi ya familia, wapo watu kwenye familia kila wakifungua kinywa ni kuchochea vurugu tu. Watu hao ndio kama Mwanakijiji...
 
You are right about maandamano, lakini unapomuona mtanzania mwenzako kila siku yeye ni mwenye kuhamasisha vurugu tu, hakuna siku hata moja anayokumbuka kuhamasisha jambo jema, ni LAZIMA kuwa makini nae. Na hii ni kuanzia katika ngazi ya familia, wapo watu kwenye familia kila wakifungua kinywa ni kuchochea vurugu tu. Watu hao ndio kama Mwanakijiji...
Kwa kiasi fulani nakubaliana na wewe. Sidhani kama Mzee Mwanakijiji ana nia mbaya na taifa lake isipo keyboard haiwezi kuleta mabadiliko ni wote kujumuika na kama ni maandamano tunaona ni suluhu basi tuache keyboard tukaandamane nasi pia huo utakuwa uzalendo. Hata kama ni nje ya nchi basi na maandamano yawepo kujenga huo umoja. Kwa kiasi fulani nakubaliana na wewe kwamba kuliko kuhimiza kwa njia ya mitandao basi tutende kwa vitendo sio kuwasukumia wengine wakati sisi kutwa nzima tupo kwa keyboard hii ni mimi wewe Mzee Mwanakijiji na wale wote wanaoitakia mema taifa la Tanzania.
 
Viongozi wengi waliozifikisha nchi zao mbali kimaendeleo....wanatuhuma nyingi hasa za mauaji na udikteta!
Hii hainizuii kuzungumza mambo mazuri ambayo aliyafanya..
"TATIZO LENU NYINYI MNACHUKUA YALIYO MABAYA" by Julius Nyerere.

Taja hayo mazuri kama unayo tuyachambuwe.
 
Harakati za kugomea huduma za simu zinazofanywa na mkazi wa Marekani anayejitambulisha kwa jina la kujificha kama Mzee Mwanakijiji UMEFELI.

Kilichosababisha kufeli kwa mgomo huu ni kukosa tija.

Mwanaharakati huyo ambaye pia ni kinara wa kuitengenezea Tanzania maadui duniani alitamani kuona watanzania wanazima simu zao na kukosa huduma hiyo muhimu wakati yeye akiendelea kupata huduma zake bila matatizo.

Ikumbukwe kuwa mgomo huo umeitishwa siku za kazi ambazo wanafunzi watakuwa shuleni. Hii ni kumaanisha kuwa Mwanakijiji anahamasisha wazazi wazime simu na kutojali iwapo kutatokea habari ya dharura toka shuleni kuhusu watoto wao!!!

Tabia hii ya Mwanakijiji ambaye ni mwanaharakati wa Chadema inafanana na kitendo alichokifanya Katibu Mkuu wa Chama hicho, Dr. Wilbroad Slaa Iringa ambapo alihamasisha vijana kukaidi amri halali ya Polisi na yeye mwenyewe akaitii amri hiyo na kujifungia hotelini. Uchochezi huu wa Dr. Slaa ulisababisha kifo cha mwandishi Mwangosi. Kila anapoulizwa kwanini hakuwepo eneo la tukio wakati yeye ndiye aliyeitisha maandamano Dr. Slaa amekuwa akipepesapepesa macho kwa aibu.

Bado haijafahamika kwanini Mwanakijiji amekuwa mchochezi wa vurugu nchini Tanzania ilhali yeye mwenyewe hataki hata kutembelea nchi hiyo ambayo kuna taarifa ambazo bado hazithibitishwa kuwa uraia wake ameshaubwaga.

Miongoni mwa vurugu alizochochea Mwanakijiji ni pamoja na :
kuhamasisha walimu wasifundishe wanafunzi
Kuhamasisha madaktari wasitibie wagonjwa
Kuhamasisha watu wasilipe kodi
Kumchochea Kadinali Pengo aanzishe vita
Kuhamasisha watanzania kususia mchakato wa Katiba Mpya
Kuhamasishwa wananchi waikataze serikali kununua mitambo ya kuzalisha umeme
Kusambaza habari za uongo juu ya Rais wa Nchi
Kuhamasisha chama cha siasa kuanzisha kikundi cha vurugu
Kuhamasisha watu waukatae Muungano
Kuhamasisha wananchi wakatae kushiriki shughuli za maendeleo.

Ni bayana kuwa mwanya wa kodi mpya ya simu unatumiwa na wenzetu hawa wasioitakia mema nchi yetu ili kutuchonganisha na kutusahaulisha jukumu letu kuu la kuijenga nchi yetu. Kwa bahati mbaya pamoja na kwamba Tanzania ni nchi yetu sote, lakini wapo wenzetu wanaofurahi kuona nchi inakuwa kwenye matatizo na migogoro!

Kufeli kwa mgomo huu ni ujumbe muhimu kwa wachochezi wa vurugu. Watanzania wameshatambua kuwa wachochezi hawa hawana malengo mema.

Kuhusu kodi ya simu, nchi yetu ina mfumo wa uwakilishi kwa njia ya Bunge. Tutumie mfumo huu kutoa mapendekezo yetu ya jinsi tunavyotaka kodi zetu zilipwe. Mfumo umewekwa ili tuishi kama jamii iliyostaarabika inayopanga mambo yake kwa utaratibu maalum. Tuendelee kukataa hawa wanaoibuka na kutufanya tuvutane katika vitu ambavyo tumeshaweka utaratibu wa kuvishughulikia.

Hongereni watanzania kwa kukataa uchochezi...

Mungu Ibariki Afrika,
Mungu Ibariki Tanzania...

Kama Mzee Mwanakijiji anaweza kuwa na ushawishi mkubwa kiasi hiko,tena akiwa nje ya nchi,basi kilichobaki ni wewe kumtunuku Mkeo
 
Last edited by a moderator:
Mimi nasema. Kama hauna 1000 moja kwa mwezi si zima tu simu moja kwa moja. Utawahi?
We si unajifanya fyatu zima milele halafu tupa na laini kabisa uikomoe mamlaka.

yaani mna makusudi nyie? kule kujua tu kwamba ni mgomo wa dakika sitini baaasi--hapohapo; mgomo umeshindwa! watu wanagoma kila siku mbona.... mi leo niligoma masaa saba. mnaliona dogo hilo ee?
 
Huyu mwanakijiji asifikiri wabongo huku wanafanya kazi ya kuosha vyombo kama wao wafanyavyo us wamekimbia tz kutafuta maisha mteremko huku watu tuna akili zetu bana hatudanganyiki tutapiga simu hatuzimi simu na tunataka vifurushi vipigwe marufuku tuweke na kutumia vocha kama zamani bongo maisha mazuri buku unaishi kwa siku us mtafutano na tunajua wengi wanatafuta nauli za kurudi bongo maisha yalivyowagonga huko mnahaha tuu
 
Back
Top Bottom