Mgomo wa Simu Utafeli...

Mgomo wa Simu Utafeli...

We Boya haujui ukweli hauna uhalali wa kuandika umbea wako Marehemu Mwangosi hakuawa kwenye maandamano,mbona mnaandika vitu msivyokuwa na uhakika navyo ili umfurahishe nani kama si ujinga?

Mwangosi aliuawa wakiwa kijiji cha Nyololo kifungua tawi la Chadema baba yenu mnaandika umbea wakati nyie ndio mliowatuma Policcm kumumwangosi? Wauaji wakubwa nyie

tutagomea tu.kila siku na line yake wewe usigome sisi tunagomea hasa mimi
 
Mkuu mbona povu wakati wewe mwenyewe hujui kitu. Mimi ni mkazi wa Nyololo stendi hizi porojo zenu pelekeni huko. Kwa kifupi wanasiasa ni watu wabaya sana, hupenda kujitazama wao tu. Kwanini wafuasi ndiyo wanakufa?

Waulize wenye jukumu la kuwalinda....na baadae waulize walioamua kumuua Mwangosi!
Kuishi karibu na mahakama sio kujua sheria.
 
Hatuzimi na kama anavyoshawishi yeye wazime na sisi tuna shawishi wasizime na nna uhakika tutashinda. Nani umfungie biashara zake kwa kishilingi elfu moja kwa mwezi?

Tuone kama kesho hamtaingia humu JF, halafu mtuambie mnatumia nini kuingia humu.

mimi leo nilizima simu kwa masaa saba. nini saa moja bana....
 
Wengine biashara zao zote zinategemea simu, wakizima simu hiyo hasra watakayopata ni zaidi ya kulipa hivyo vikodi vya shilling 1000 kwa miaka 20 ijayo.

Huyu Mzee Mwanakijiji haitakii mema nchi hii. Nchi ilimshinda kwa uvivu wake akakimbilia USA anakula pesa za ulemavu asiokuwa nao.

Ni bora yeye aliyekimbilia USA....Kuliko hao vigogo wa serikali waliokimbiza fedha zetu uswisi na bado wanataka wachukue nyingine sijui wapeleke kisiwa cha Malta....na nyie mnawatetea,hivi mpango wa REA umefikia wapi?
 
Hatuzimi na kama anavyoshawishi yeye wazime na sisi tuna shawishi wasizime na nna uhakika tutashinda. Nani umfungie biashara zake kwa kishilingi elfu moja kwa mwezi?

Tuone kama kesho hamtaingia humu JF, halafu mtuambie mnatumia nini kuingia humu.

"You cant say you have freedom,if others are oppressed" by Julius Nyerere!
Kwa komenti yako hii inadhihirisha Tanzania sio nchi ya kijamaa...undugu wetu umekufa....no fellow-feeling heart anymore!
 
Mwanakijiji mjinga sana yeye anafanya vibarua huko marekani na kuwa kibaraka wa wazungu wala hana lolote.
 
Mwanakijiji mjinga sana yeye anafanya vibarua huko marekani na kuwa kibaraka wa wazungu wala hana lolote.

Kama unamjua taja majina yake matatu, ukishindwa nakutaja wee majina yako yote matatu... kama Ban Nitatumikia tu, sipendi uongo.
 
Mwanakijiji anazeeka vibaya.. hakuna mtanzania atakayezima simu.. wataongea kishabiki tu humu JF

mimi nitazima simu yangu moja cku ya kesho
ila kweli mwanakijiji ni mhuni alimhamasisha pinda atoe kauli ya kichochezi pale bungeni, alimhamasisha pia pia jk akalie majina ya wauza madawa ya kulevya, alimlazimisha pia jaji wa rwakatale afute mashtaka ya ugaidi,
 
amesema si lazima, hao wa kitaa chenu waache kwa sababu wana akili kama zako ndo maana mnaishi eneo 1. mgomo upo palepale na jumbe zimesambaa subir uone. hiko chombo cha bunge ni watu wa ndioooo, madhara yake ndo aya.
 
Mwanakijiji anazeeka vibaya.. hakuna mtanzania atakayezima simu.. wataongea kishabiki tu humu JF

yeye yake ipo on na anachangia uchumi wa u.s huku anajiita mzalendo shame on u mwanamjini
 
Subiri kesho halafu ndo useme umefeli!ati unatuletea fikra za watu wa mtaani kwako ndio fikra za wengi ! subiri hapo hapo na kwa taarifa yako japokuwa tulitaka kufanya surprise huu utakuwa ni mwanzo mwa migomo mingi ya KITAIFA this just warmin up and you guys better brace yourselves we are comin at a full force!
 
Back
Top Bottom