PENDING'ULA
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 268
- 46
Acheni kutuchanganya! Leteni taarifa zillizotafitiwa!Dr Wangu wa Muhimbili anasima
"" mgomo hakuna watu wanaendelea na kazi kama kawaida vikao bado vinaendelea"" mwisho wa kunukuu
Sasa tumuamini Doctor wa wapi??? maaana mgomo hakuna:juggle:
Muafaka ulipokuwa umefikia hatukuhitaji mgomo mwingine hawa madaktari ni wakorofi. serikali ilishaonyesha kunyoosha mikono na kushughulika kwa haraka
Siungi mkono mgomo kwa sababu najua madhara yatakayo tokea kwa masikini wasio na hatia lakini pia nadhani ni fundisho kwa viongozi wetu ambao wanafanya kazi kwa mazoea na kutotaka kushughurikia matatizo mpaka maafa yatokee ndio wanakurupuka. Hofu yangu ni kwamba suala la madaktari likiisha sector nyingine nayo itatangaza mgomo maana walimu wapya walioajiriwa hivi karibuni kuna sehemu nyingi tu za nchi hawajalipwa stahili zao mpaka wengine wameamua kurudi nyumbani.
wauaji ni wale wanaotaka madaktari wakafanye kazi bila vitendea kazi ili waatarishe afya zao na za wagonjwa ili wote kwa pamoja wafe kwa maradhi, huku wao wakienda kutibiwa na madaktari wenye vifaa.wauaji wanakuja na mgomo wa pili hakuna wanachopoteza ndugu zetu ndio watakufa, msiba mwingine mkubwa kwa taifa unakuja.
Taarifa zilizonifikia kutoka vyanzo vya kuaminiaka bugando wamebandika tangazo likisomeka hivi
"KUTOKANA NA SERIKALI KUTOKUWA TAYARI KUSHUGHULIKIA MADAI YA MADAKTARI IPASAVYO SISI MADAKTARI TUMESIKITISHWA SANA. KUANZIA LEO TAREHE 7 MACHI 2012 SAA 2; 00 ASUBUHI,MADAKTARI WA HOSPITALI YA BUGANDO TUNASITISHA KUTOA HUDUMA ZOTE MPAKA HAPO SERIKALI ITAKAPOSHUGHULIKIA MADAI HAYO.
JUMUIYA YA MADAKTARI BUGANDO (INTERN,REGISTRARS,RESIDENTS)
NAKALA KWA WAKUU WA IDARA,UTAWALA BMC"
MUHIMBILI
EMD-KITENGO CHA WAGONJWA WA DHARURA KIMEFUGWA
OPD-WAGONJWA WAMEJAA LAKINI HAWAONI
THETRE HAZIFANYI KAZI NA MASPECIALIST WAPO RUSSIAN CULTURE TO PUT LAST NAIL IN THE COFFIN
AMANA
TOTAL TOOLS DOWN
MBEYA
WANAENDELEA PALE WALIPOISHI MAANA MGOMO KAMA KAWA
KCMC
MADAKTARI KUTOA TAMKO MUDA SI MREFU
Ikulu kuna mkutano mkubwa unaendelea nitato updates bdae
Povu lako wala halisaidii kitu kwa sasa manake mgomo ndio umeanza hivyo!Madaktari wengi wana tabia mbaya wanatoa huduma mbovu lakini leo wanasema wanahitaji vifaa kwa ajili yetu wagonjwa wakati hata huduma ya mdomo tu wanashindwa kwa wagonjwa. Mgomo ni wa kulilia maslahi yao si vifaa vya wagonjwa wangeanza na huduma bora.
Rais yupo busy Moshi anatunga safari aende nchi gani kikazi Tehtehteh, atasafiri xana hadi 2015 hyo nyau!
Madaktari wasio na fikira. Hao hukumu yao kuuliwa kwa kila kifo cha mgonjwa kitakachotokea wakigoma.