hili tangazo lao lilikaa kiwoga sana,wanarukia topic na hawana maamuzi.tanzania bado sana!
Hapo kuna deal ya ukarimani! Ila wasije kutuletea barefoot doctors...
Endapo watanzania watashindwa kutumia nafasi hii kufanya jambo la maana...basi tena...They will never get such a chance...!!!
- "WE ALWAYS DON'T CHANGE UNTIL THE COST OF STAYING THE SAME EXCEEDS THE COST OF CHANGE....LOOKING BEYOND THE 31 OKTOBA 2010 LANDMARK"
Retired Maj Gen DC (1947)...dc
Babu, kwa nchi yetu nadhani ianabidi ubadili signature kidogo na iishie hapo kwenye Underlined.
Sina matumaini yoyote na watu wetu hata kitokee nini!
Ila nimesikitika kwamba baadhi ya media ambazo nimefuatilia hadi sasa ikiwemo TBC na BBC hawajarusha tena tamko hilo!!
Anyway, ngoja serikali iendelee kujifariji kwa kulindwa na media,....siku zao zimebaki kiduchu tu!!
Babu DC!!
Tumeshawazoea kila mara hawa wanaharakati huwa wanakurupuka na baada ya muda wanaingia mitini!