Ukawa wameshindwa kwa Madereva sasa wamehamia kwa Wanafunzi vyuo Vikuu...
hao wanafunzi hawana madai ya msingi wanasukumwa na wanasiasa
njaa kila mtu anayo mbona hata kijijini wana njaa wanavumilia------------
Msemaji mkuu
Makao makuu
Sio lumumba
hao wanafunzi hawana madai ya msingi wanasukumwa na wanasiasa
njaa kila mtu anayo mbona hata kijijini wana njaa wanavumilia------------
Msemaji mkuu
Makao makuu
Sio lumumba
Wakipata boom kazi yao starehe tu
Ha ha ha haaaa! hii ya kukwepa majukumu kwa kisingizio cha "wana siasa" ni staili mpya ya ccm miaka hii ya demokrasia!hao wanafunzi hawana madai ya msingi wanasukumwa na wanasiasa
njaa kila mtu anayo mbona hata kijijini wana njaa wanavumilia------------
Msemaji mkuu
Makao makuu
Sio lumumba