bestunlocksolution
JF-Expert Member
- Dec 19, 2014
- 212
- 57
je? mgomo wao umeleta mafanikio ya kugoma kwaoo?
sasa mabomu ndio yatamaliza matatizo ya wanachuo?
Huo ndio mwanzo wa utungu! Subiri wakati wa kutangaza matokeo ya uchaguzi mkuu ndo utapata uchungu kamili wa mabomu!matatizo ya nchi hii yanatatuliwa kwa mabomu ya machozi tu.
CCM nakupenda kwa kuwa umeleta maisha bora hata kwa wanachuo wetu! Kazi kwelikweli!kitu kidogo tu UKAWA,, hizo hela wangezitoa kwa wakat nan angegoma?..... ukawa inawanyima watu usingiz