Hujui usemalo
Usijitoe ufaham ukashndw ht kutumia japo akili kidogo uliyobakiz;wana madai ya msingi acha kutudharau watz nafkr ww ni mlumumba!
Hujui usemalo
Polisi wametapakaa chuo kikuu cha Ruaha, wanawapiga mabomu ya machozi wanachuo ambao wamejaaa viunga vya chuo wanadai fedha za kujikimu(boom) hii serikali kandamizi cjui 2taitoa lini!
mkopo siyo lazima unaweza kuomba ukakosa au ukapewa.
hao wanafunzi hawana madai ya msingi wanasukumwa na wanasiasa
njaa kila mtu anayo mbona hata kijijini wana njaa wanavumilia------------
Msemaji mkuu
Makao makuu
Sio lumumba
pichani wanachuo wakiandamana(mwanzo wa maandamano RUCO)hao wanafunzi hawana madai ya msingi wanasukumwa na wanasiasa
njaa kila mtu anayo mbona hata kijijini wana njaa wanavumilia------------
Msemaji mkuu
Makao makuu
Sio lumumba