Mbona hizo pesa mimi hapa kwangu sijaziona au mwenzangu ambaye ni mwalimu ameamua kula pesa kimyakimya maana anaidai serikali zaidi ya mil.2.4 tangu mwaka 2011
Mimi na wewe na nani anapaniki? Nchi ina utaratibu wake siyo fikra zako.jibu hoja...acha kupaniki.
NCHI HII INA WATUMISHI WANGAPI, MBALI NA WALIMU, WANAOIDAI SERIKALI YA CHAMA CHENU MALIMBIKIZO YA MABILIONI YA MADAI?
mkuu usishangae sana. kuna watumishi wanaidai serikali malimbikizo ya madai yao tangu mwaka 1980 hawajalipwa sembuse wewe wa mwaka 2011. kuna mwalimu mmoja alikuwa akidai malimbikizo ya tsh milioni 500 lakini serikali sikivu ya CCM ikamchakachua (kwa kumfichia baadhi ya nyaraka) na kuishia kumlipa tsh milioni 50 tu!
Mimi na wewe na nani anapaniki? Nchi ina utaratibu wake siyo fikra zako.
Wakigoma fukuza kazi ajiri wengine kuna watu kibao hawana kazi tena waondoke kabisa hatuwezi kufanya kazi na mbayuwayu
Baada ya "Serikali" ya CCM kuamua "kulipa madai" ya walimu huku wakiwabagua watumishi wa kada nyingine (madaktari, manesi, polisi, watumishi wa serikali za mitaa, wanajeshi, askari magereza, na baadhi ya walimu) watumishi hao wameonyesha kukerwa na kukatishwa tamaa na kitendo hicho cha kibaguzi. Aidha, watumishi hao wanashangaa kwanini malipo hayo yamefanyika KISIASA katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi ilhali siku zote wamekuwa wakiambiwa hakuna pesa.
Pamoja na hayo, sio walimu wote waliolipwa kwani madai ya baadhi yao yalitupwa kwa kisingizio kwamba hayasomeki vizuri baada ya kupigwa photocopy kwa muda mrefu. "Imagine kuna walimu hawajalipwa madai yao tangu mwaka 1980 hadi wino umefutika kutoka kwenye nyaraka zao halafu wanaachwa bila kulipwa eti nyaraka zao hazisomeki, hii ni haki kweli?!", alisikika akilalamika mwalimu mmoja.
MAONI YANGU
Hili suala la CCM kuwalipa walimu peke yao kwa kisingizio cha wingi wao (kura nyingi) ndicho kitanzi chao mwaka huu. Hii mbinu ni ya kizamani mno.
:yield:
Baada ya "Serikali" ya CCM kuamua "kulipa madai" ya walimu huku wakiwabagua watumishi wa kada nyingine (madaktari, manesi, polisi, watumishi wa serikali za mitaa, wanajeshi, askari magereza, na baadhi ya walimu) watumishi hao wameonyesha kukerwa na kukatishwa tamaa na kitendo hicho cha kibaguzi. Aidha, watumishi hao wanashangaa kwanini malipo hayo yamefanyika KISIASA katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi ilhali siku zote wamekuwa wakiambiwa
Pamoja na hayo, sio walimu wote waliolipwa kwani madai ya baadhi yao yalitupwa kwa kisingizio kwamba hayasomeki vizuri baada ya kupigwa photocopy kwa muda mrefu. "Imagine kuna walimu hawajalipwa madai yao tangu mwaka 1980 hadi wino umefutika kutoka kwenye nyaraka zao halafu wanaachwa bila kulipwa eti nyaraka zao hazisomeki, hii ni haki kweli?!", alisikika akilalamika mwalimu mmoja.
MAONI YANGU
Hili suala la CCM kuwalipa walimu peke yao kwa kisingizio cha wingi wao (kura nyingi) ndicho kitanzi chao mwaka huu. Hii mbinu ni ya kiz wamelipwa????