Kwani ni kodi gani iliyopunguzwa?The issue here ni kuwa wenye makampuni ya mafuta wana stock tayari walioigharamikia kwa sawa na bei ya sasa ili wapate faida kwa sasa kitakachofanyika watahold mafuta hawayauzi hivyo kutakuwa na uhaba, kwani UWURA watawanyang'anya leseni wale watakaouza mafuta bei ya juu na sio kuhold mafuta yaliyoloko stock, msipende kupinga kila issue fikirieni nje ya boksi kabla ya kujibu hoja...
The issue here ni kuwa wenye makampuni ya mafuta wana stock tayari walioigharamikia kwa sawa na bei ya sasa ili wapate faida kwa sasa kitakachofanyika watahold mafuta hawayauzi hivyo kutakuwa na uhaba, kwani UWURA watawanyang'anya leseni wale watakaouza mafuta bei ya juu na sio kuhold mafuta yaliyoloko stock, msipende kupinga kila issue fikirieni nje ya boksi kabla ya kujibu hoja...
Serikali haina haki ya kupanga bei,hii ni nchi ya biashara huria? Wameshindwa kuregulate bei za unga na maharage, wataweza mabepari wa mafuta!