Wafanyabiashara wa vituo vya mafuta wanajuaje kuwa bei ya mafuta itapanda mpaka wafiche mafuta au kuna mchezo mchafu EWURA?

MKWEAMINAZI

JF-Expert Member
May 28, 2023
930
1,299
Wadau nawasabahi.

Kumekuwa na Sintofahamu juu ya Upatikanaji wa Mafuta karibu sehemu KUBWA ya Nchi.Toka Mafuta yaanze kuadimika kumekuwa na TETESI kuwa Bei ya MAFUTA ZITAPANDA. Nimekuwa najiuliza kwanini Mafuta yaadimike wakati EWURA wanadai yapo ya Kutosha kwa Siku 19?

Na pia najiuliza kwanini MAFUTA yakiadimika tu baada ya Siku 3 EWURA wanatangaza BEI MPYA ya MAFUTA?
Je hawa wenye VITUO vya MAFUTA WANAJUAJE kuwa BEI ZITAPANDA ndio na Wao wanaficha Mafuta? Nani anawaibia SIRI ya BEI ĶUPANDA?

Binafsi nahisi kuna MCHEZO MCHAFI kati ya Wafanyabiashara ya VITUO vya MAFUTA na EWURA haiwezekani kila Mafuta yanapoadimika yanakuwa YAMEFICHWA na baada ya Siku kadhaa EWURA wanatangaza KUPANDA kwa BEI na MAFUTA YANAPATIKANA.
 
Kwani si Makamba ndo anasababisha.! Maana ukisoma nyuzi anashambuliwa sana kwa chuki.
 
1.Asilimia kubwa ya wabunge wanafanya biashara ya mabasi

2. Asilimia kubwa ya wafanyabiashara wakubwa wa mabasi Ni wabunge

3. Asilimia kubwa ya Wafanyabiashara wakubwa wa mabasi wanamiliki vituo vyao vya mafuta sehemu MBALIMBALI nchini.

Mifano Ni mingi,
1. Lameck manyoni
2. Shababi gairo
3. Abiudi msamvu
4. Saul mmbeya
5. Ngosha mbishi
6. Mzee Kishy
7. HKigw
Unganisha dot.....
 
1.Asilimia kubwa ya wabunge wanafanya biashara ya mabasi

2. Asilimia kubwa ya wafanyabiashara wakubwa wa mabasi Ni wabunge

3. Asilimia kubwa ya Wafanyabiashara wakubwa wa mabasi wanamiliki vituo vyao vya mafuta sehemu MBALIMBALI nchini.

Mifano Ni mingi,
1. Lameck manyoni
2. Shababi gairo
3. Abiudi msamvu
4. Saul mmbeya
5. Ngosha mbishi
6. Mzee Kishy
7. HKigw
Unganisha dot.....
Kina Al saedy a.k.a yule waziri wa au basiii, kiufupi haya mambo yanapangwa na hao hao wafanyabiashara ambao ndio hawa hawa viongozi wanaoutuongoza kwa udanganyifu.

Nchi ishauzwa hii
 
Wadau nawasabahi.Kumekuwa na Sintofahamu juu ya Upatikanaji wa Mafuta karibu sehemu KUBWA ya Nchi.Toka Mafuta yaanze kuadimika kumekuwa na TETESI kuwa Bei ya MAFUTA ZITAPANDA.Nimekuwa najiuliza kwanini Mafuta yaadimike wakati EWURA wanadai yapo ya Kutosha kwa Siku 19?
Na pia najiuliza kwanini MAFUTA yakiadimika tu baada ya Siku 3 EWURA wanatangaza BEI MPYA ya MAFUTA?
Je hawa wenye VITUO vya MAFUTA WANAJUAJE kuwa BEI ZITAPANDA ndio na Wao wanaficha Mafuta? Nani anawaibia SIRI ya BEI ĶUPANDA?
Binafsi nahisi kuna MCHEZO MCHAFI kati ya Wafanyabiashara ya VITUO vya MAFUTA na EWURA haiwezekani kila Mafuta yanapoadimika yanakuwa YAMEFICHWA na baada ya Siku kadhaa EWURA wanatangaza KUPANDA kwa BEI na MAFUTA YANAPATIKANA.
Mafuta ndio bidhaa yenye kodi zaidi ya 7,mpka 2025 mafuta yatafika 5000 kwa lita,kazi iendelee
 
Wadau nawasabahi.Kumekuwa na Sintofahamu juu ya Upatikanaji wa Mafuta karibu sehemu KUBWA ya Nchi.Toka Mafuta yaanze kuadimika kumekuwa na TETESI kuwa Bei ya MAFUTA ZITAPANDA.Nimekuwa najiuliza kwanini Mafuta yaadimike wakati EWURA wanadai yapo ya Kutosha kwa Siku 19?
Na pia najiuliza kwanini MAFUTA yakiadimika tu baada ya Siku 3 EWURA wanatangaza BEI MPYA ya MAFUTA?
Je hawa wenye VITUO vya MAFUTA WANAJUAJE kuwa BEI ZITAPANDA ndio na Wao wanaficha Mafuta? Nani anawaibia SIRI ya BEI ĶUPANDA?
Binafsi nahisi kuna MCHEZO MCHAFI kati ya Wafanyabiashara ya VITUO vya MAFUTA na EWURA haiwezekani kila Mafuta yanapoadimika yanakuwa YAMEFICHWA na baada ya Siku kadhaa EWURA wanatangaza KUPANDA kwa BEI na MAFUTA YANAPATIKANA.
Tatizo ni CCM
 
Kaka ata wewe tu ukifatilia market ya dunia mbona Unajua kabisa nn kina fata mzee
 
3185031913302340255.jpg



haka kajamaa kakipata wizara kanaanza kwa mbwe mbwe mwishoni kanaharibu
images (3).jpeg
 
Back
Top Bottom