MGOMO: Madaktari 319 wafutiwa leseni

safi sasa warudi wakatibu familia zao si walishindwa kuwatibu watanzania wote? acha wafutiwe tena wasirudishwe kabisa maana thinking capacity zao zimekuwa ndogo madaktari wenyewe wanaogoma ndio hao wanaotuletea aibu kila siku za kufanya upasuaji kichwani badala ya miguuni vice versa is true
 
wengi wanaoongea hapa huenda wana insurance zinazoruhusu kutibiwa private hospitals na India
 
Safi sana,hawa watoto wanaburuzwa na Chadema, wacha wasage lami mitaani tuone kama CDM watawasaidia.ikishindikana warudi vijijini kwao wakalime.MASKINI CHADEMA IMEWAPONZA.

enheh! Hebu tuambie toka lini kulima imekuwa adhabu!!!!
 
safi sasa warudi wakatibu familia zao si walishindwa kuwatibu watanzania wote? acha wafutiwe tena wasirudishwe kabisa maana thinking capacity zao zimekuwa ndogo madaktari wenyewe wanaogoma ndio hao wanaotuletea aibu kila siku za kufanya upasuaji kichwani badala ya miguuni vice versa is true

Nadhani ukijiuliza sababu zilizopelekea kuwezekana kwa jambo hili, utakuta nipamoja na kukosa security measures, staff na documentation muhimu ikiwa ni matokeo ya kubana matumizi
 
Haki yao milioni 7,700,000 kwa mwezi mmeishaambiwa muajiri wako hana uwezo wa kutoa mshahara huo kama mnataka masalahi zaidi ruksa kwenda sehemu ingine wanapolipa vizuri.

Ritz bora umewaambia ukweli. Mi kila nikiwauliza swali kuwa mnajua kwanini serikali ilikimbilia mahakamani? hakuna wa kunijibu, badala yake wananishambulia. Kitakachofuata sasa kwa wanaoendelea kugoma ni kusimamisha mishahara yao, kuondolewa kwenye nyumba za serikali, na kupelekwa mahakamani.

Ushauri: kwa ambao bado wako kwenye mgomo warejee kazini au wakimbie wakafanye kazi nje ya nchi, vingineyo watakula savings zako hadi zitaisha na wataaishia kuaibika na maisha ya hapa mjini.
Shida ya madaktari wetu ukiwaambia ukweli wanakuona mbaya wakati ukweli ni kwamba watumishi wote wa serikali (with exception of the few) tuko hoi kimaslahi. Bado hawajajua tu kwamba kwa sasa serikali inabana mmoja baada ya mwingine.
 
kosa jingine...

Serikali iende taratibu kwakweli. Isije-ikaingia mkenge wakulipa fidia hapa. Tujikumbushe wakati ule serikali ilivyofanya ubabe kumfutia uwakili yule wakili wa Arusha. Although kesi ilichukua more than 10 yrs (kutokana na ubabe-kutunishiana misuli). Lakini at the end Serikali ilikutwa na makosa na hivyo kumfidia yule wakili millions. Unaweza kusoma hii habari kwenye hizi links.. just for facts check and more info.

http://www.chr.up.ac.za/test/images/files/publications/ahrlj/ahrlj_vol07_no2_2007.pdf (Page 205-217)

Other sources below;

........It is the duty of the courts to interpret laws too, so that they
are consistent with the Constitution.
The reactions by some Members of Parliament and the executive
notwithstanding, the Court of Appeal went forward a week later to
declare another Act unconstitutional. By its decision of March 5, 2002,
the court struck out Section 4(2) of the Legal Aid (Criminal Proceedings)
Act, 1969, for setting inadequate payments to advocates attending to
dock briefs by court assignments. This was in the case of Judge in
Charge of the High Court of Tanzania, at Arusha vs N I N Munuo
Ng’uni.19
The executive has not taken these decisions kindly. In its October
session, the government tabled a Bill re-enacting the same provision
in the Elections Act that the Court of Appeal had knocked out in
Ndyanabo’s case. The provision is similar in substance to the provision
the court had declared unconstitutional on February 14, 2002. This is
contrary to the principle of independence of the judiciary. The
government should respect judicial decisions, including those it
dislikes.

Source: Eastern African Centre for Constitutional Development - Home

Attorney General and Another v Ngu'ni (CIVIL APPEAL NO. 45 OF 1998) [2002] TZHC 2 (5 March 2002)

 
wameze kiburi chao na wawaombe radhi watanzania kwa utovu huu wa nidhamu walioonyesha.
Kama wanataka kuajiriwa ni vizuri wakafuata taratibu za muajiri , hiyo mob psychology wanayoionyesha itawaumiza wao hasa wale madkatari waliosoma kwa kuunga unga.

It is not too much to ask, just repent.
Wengine tumeshafahamu kitakachojiri hata baada ya kuomba radhi.
Jkt ili kurudisha nidhamu.
La sivyo kilimo kwanza is not a bad alternative.

mtu yuko kwenye mafunzo anagoma! Vp?
 
Safi sana naiunga mkono serikali kwa hatua inazochukua,

Serikali haiwezi kuyumbishwa na watu wachache kwa tamaa ya mshahara mkubwa na kufanya mgomo bila kujali afya za watu. Kiukweli umeona kazi haina maslahi acha mwenyewe kimya kimya nenda kwenye maslahi manono suala la mgomo halikubaliki hata kidogo.

Sasa tunaambiwa mgomo umeisha vipi wale waliokufa kutokana na mgomo watarudije tena si ndiyo tumewapoteza ukimuona mtu anashabikia mgomo huyo si mtu wa kawaida ni mnyama na mwendawazimu kutokana na kutokujali uhai wa watu,kataa mgomo dai maslahi yako kwa njia salama ili kulinda afya za watanzania wote!


pole sana mkuu naona na wewe akili zero kama ulisoma hukuelimika....acha mkumbo wa propaganda,kwnye madai ya madaktari ulisoma mshahara tu? hivyo vitu vingine saba hukuviona? na hao mafisadi wangekuwa wanapelekwa mahakamani na kurudisha hela yako ya kodi waliyokula ndo ungejuwa unashangilia....this aint politics bro, mgomo was wa maproffessional not politicians....so ma interns waligoma peke yao? regestars je? do u think tanzania ndo nchi ya kwanza kugoma madaktari? hata USA,UK,AUSTRALIA, even ISRAEL wameshawahi kugoma....soa wats so special migomo isikubalike hapa bongo. hata jirani hapa kenya waligoma en wat did the Govt yake do walifukuza all interns na ma Dr? usishabikie ujinga bila kuelewa wat u talking about....wajinga wenzakoe ndo wanafikiri its about maslahi zaidi kama mnavyopotoshwa na serikali. eti serikali isiyumbishwe the govt is the people by definition kama hujui! walivyokuwa wanasign posho za bungeni kuongezeka mbona hukushangilia?
Kama unaona mshahara mdogo acha kazi mwenyewe nenda kagombee ubunge ukapate mshahara mnono lakini si kufanya mgomo ambao madhara yake watu wamepoteza maisha. for your info hata madaktari wakiwepo kazini watu hufa kama kawa due to shortages of hospital equipments... go tell that to your govt your supporting...
 
Ubabe wa serikali utawaumiza zaidi wananchi wanaotegemea hospitali za serikali, siyo hawa madaktari waliofutiwa leseni kwani bado wana ubongo wao. Leseni ni karatasi tu, kulifuta hakuondoi knowledge ambayo madaktari hawa wameshajisheenza vichwani mwao. Time will tell!! Miaka kadhaa iliyopita, Mwinyi mdogo aliwafukuza madakatri Tanzania kutokana na mgomo kama huu; baada ya muda kidogo nikakutana na dakatri mmoja aliyefukuzwa Tanzania akiwa anaendelea na taaluma yake huko Trinidadi tena kwa heshima kubwa sana.

Kwa vile viongozi wetu wamejijengea tabia ya kwenda kutibiwa nje ya nchi hata mafua tu; hawaoni kabisa umuhimu wa kuendeleza sekta ya tiba nchini. Kufungwa kwa hospitali ya Dr. masau kulitokana na waziri kutaka masau ashirikiane na hospitali moja huko india ambako serikali ilikuwa inapeleka wagonjwa wa moyo. kulikuwa na kila suspicion kuwa waziri mhusika alikuwa na faida kutokana na wagonjwa wa kitanzania kupelekwa katika hospitali hiyo ya india; in other words, kuwapo kwa hospitali inayotoa huduma nzuri tanzania kwao ni kuwakoseasha ulaji. After all hata wanapokwenda kufanyiwa check-up ya mafua wanalipwa per diem kama kawaida; an added advantage.

Wwakati waziri mkuu wa kenya alipougua, alilazwa Hospitalini Nairobi, lakini kwetu kiongozi akiugua, ni lazima apelekwa nje ya nchi. Mzee mandekla hutibiwa Afrika ya kusini pale pale, je sisi tutakomboka lini iwapo viongozi tulio nao ndio hao?.

Ningekuwa daktari mimi, kila mtu kwenye meza yangu angepata aspriri hata kama ana ugonjwa wa moyo hadi pale watu wote watakapoamka na kuiondoa serikali hii madarakani kwa kura nyingi. Kura chache hazitishi kwa vile watachakachua. watu hao hao wakishatibiwa wanasimama upande wa serikali kuwalaani madaktari.
unazungumza tuu kugawa aspirini pole nahisi na wewe ni miongoni mwa hawa waliofukuzwa jua kwamba madaktari hawa walikuwa wantuchezea akili watanzania na kumdharau mungu aliyewapa taaluma hiyo, kugoma haikuwa suluhu ya matatizo yao
 
unazungumza tuu kugawa aspirini pole nahisi na wewe ni miongoni mwa hawa waliofukuzwa jua kwamba madaktari hawa walikuwa wantuchezea akili watanzania na kumdharau mungu aliyewapa taaluma hiyo, kugoma haikuwa suluhu ya matatizo yao

Taarifa ya Baraza la Madaktari Tanganyika yenye majina ya Inters waliofutiwa usajili - ************************** wavuti
Kwa kuzingatia masharti ya Sheria kuhusu kupata usajili wa muda, Baraza la Madaktari Tanganyika limeridhika kwamba madaktari wote ambao majina yao yameorodheshwa katika Taarifa hii, wamepoteza sifa na kwa sababu hiyo, usajili wao umesitishwa kuanzia tarehe 11 Julai, 2012. Madaktari wote wanaohusika wanatakiwa kurejesha hati za usajili wa muda kwenye Ofisi ya Msajili wa Madaktari kabla ya tarehe 17 Julai, 2012.





.


S/NO JINA REG. NO.
MUHIMBILI
1​
Dr. Dickson N. Sahini
363​
2​
Dr. Elphas G. Mrita
4902​
3​
Dr. Anastazia E. Komba
4973​
4​
Dr. Anna Lwemunge
5086​
5​
Dr. Mariam Amour
4974​
6​
Dr. Jackline Matowo
5372​
7​
Dr. Baya Kisiwa
4970​
8​
Dr. Lilian B. Komba
4871​
9​
Dr. Pavina Kazaura
5089​
10​
Dr. Herifrid Kimambo
5377​
11​
Dr. Kokuhabwa Mukurasi
5095​
12​
Dr. Evance Godfrey
5059​
13​
Dr. Emmanuel K. Luchagula
4874​
14​
Dr. Florence Mtei
5094​
15​
Dr. Alfonse Moyo
5097​
16​
Dr. Alkwinus Kabwogi
4889​
17​
Dr. Rebeca A. Kalikawe
4962​
18​
Dr. Aida O. Salum
5368​
19​
Dr. Aron Aron
5345​
20​
Dr. Sabza Masoud
4956​
21​
Dr. Ramadhani Kabota
4861​
22​
Dr. Norbert Benjamin
23​
Dr. Victroia Paul
5084​
24​
Dr. Godfery Chuwa
5097​
25​
Dr. Goodluck Mrosso
356​
26​
Dr. Luciana Albert
375​
27​
Dr. Gendagenda Mkombozi
372​
28​
Dr. Lucas Mselle
4919​
29​
Dr. Edna Mwakyembe
365​
30​
Dr. Haruna Rashid
552​
31​
Dr. Sara Lumumanji
5006​
32​
Dr. Paul Zacharia
4858​
33​
Dr. Abza Saka
4981​
34​
Dr. Baraka Maige
5361​
35​
Dr. Wilhelmuss I. Mauka
4979​
36​
Dr. Deogratius Mally
4960​
37​
Dr. Ahmad Fadhil Kombo
4868​
38​
Dr. Iman Bawazir
4799​
39​
Dr. Frank Kagoro
5046​
40​
Dr. Baraka Yessaya
5058​
41​
Dr. Naki Kiroga
5347​
42​
Dr. Bakari A. Gillal
4959​
43​
Dr. Linda August
5343​
44​
Dr. Shah Alkash
342​
45​
Dr. Chihoma Mhaki
358​
46​
Dr. Gloria Leo
337​
47​
Dr. Mohamed M. Ally
48​
Dr. Ahmed Kombo
5389​
49​
Dr. Steven Nandi
5030​
50​
Dr. Moses J. Karashani
5040​
51​
Dr. Innocent Mpuya
5371​
52​
Dr. Octar Javett
5048​
53​
Dr. Juma Mbugi
5018​
54​
Dr. Neema Nalitolela
4966​
55​
Dr. John Nkenda
4963​
56​
Dr. Ngutuni Jackson
5005​
57​
Dr. Malava F. Raphael
4982​
58​
Dr. Masawa Nyamunjeku
5000​
59​
Dr. Shubi Matovelo
4976​
60​
Dr. Winnie Temu
4965​
61​
Dr. Sarah Shiraz
5024​
62​
Dr. Hafsa Hawesi
5369​
63​
Dr. Anthony Kingilo
5330​
64​
Dr. Elikanaar Urio
5336​
65​
Dr. Zainabu Mkinde
5367​
66​
Dr. Shau Hamdan
5071​
67​
Dr. Cristogone Justine
4968​
68​
Dr. Conrade Ngonyani
4865​
69​
Dr. Deo B. Mwanakulya
4873​
70​
Dr. Lucy Laurent
4872​
71​
Dr. Khadija Juma
4969​
72​
Dr. Valentino Koja
5338​
73​
Dr. Aloyce F. Lengasia
4977​
74​
Dr. Zyleen Kasamali
4888​
75​
Dr. Mwajuma Mustapha
4971​
76​
Dr. Mariam Hamad
4859​
77​
Dr. Francis Mwimazi
4967​
78​
Dr. Hassan Barnabas
5364​
79​
Dr. Grace Mmasi
5045​
80​
Dr. Mohamed Mzige
4860​
81​
Dr. Elias Paschal
4961​
82​
Dr. Farida Mtonga
5002​
83​
Dr. Gabriel Mbwete
5337​
84​
Dr. Magdalena Dennis
4910​
85​
Dr. Ahmed Ahmed
4798​
86​
Dr. Joseph Shaban
5408​
87​
Dr. Prudence Premier
5409​
88​
Dr. Malaja Ng'wigulu
5019​
89​
Dr. Biswaro Malima
4975​
90​
Dr. Isaac Mlay
5007​
91​
Dr. Raymond Samwel
5017​
92​
Dr. Michael Kiremeji
5376​
93​
Dr. Viviene Mlawi
5000​
94​
Dr. John Jananga
5380​
95​
Dr. Said Ibrahim
5020​
96​
Dr. Alphonce Simbila
5047​
97​
Dr. Catherine Mlowe
5044​
98​
Dr. Barbara Mwaipola
4964​
99​
Dr. Joel J. James
5129​
100​
Dr. Bright Sangiwa
5053​
101​
Dr. Evance Alexander
4887​
102​
Dr. Martha Nkya
5335​
103​
Dr. Camilla Kinemo
5406​



KCMC
1​
Dr. Malkiadi P. Mbota
5208​
2​
Dr. Wilfred j. Meza
4900​
3​
Dr. Shomari O. Masenga
4983​
4​
Dr. Jamila J. Shemweta
5009​
5​
Dr. Godbless E. Massawe
5026​
6​
Dr. Rahel T. Mwavika
4879​
7​
Dr. Eliakimu P. Kapyolo
5032​
8​
Dr. Godfrey N. Barabona
5051​
9​
Dr. Aristides K. Raphael
4984​
11​
Dr. Emmanuel M. Manyonyi
5077​
12​
Dr. Herielly O. Msuya
5118​
14​
Dr. Noel J. Makundi
5142​
15​
Dr. Maxigama Y. Ndosi
5107​
16​
Dr. Patrick A. Karua
5137​
17​
Dr. George C. Mgalega
5155​
18​
Dr. Juma Adinan Juma
5151​
19​
Dr. Kenneth J. Mlay
5158​
20​
Dr. Njengo B. Mbanga
5145​
21​
Dr. Yesige A. Mutajwaa
5171​
22​
Dr. Mbazi D. Shemwetta
5139​
23​
Dr. Mwanaidi S. Mkwizu
5141​
24​
Dr. Peter E. Ng'wamkai
5109​
25​
Dr. Tumaini D. Ndibwire
5131​
26​
Dr. Lucas D. Ngamtwa
5161​
27​
Dr. Goodluck J. Ulomi
5143​
28​
Dr. Juma M. Nahonyo
5150​
29​
Dr. Emmanuel S. Masatu
4899​
30​
Dr. Angela E. Pallangyo
5110​
31​
Dr. Casto E. Mlay
5182​
32​
Dr. Birjna A. Hirani
5152​
33​
Dr. Anette J. Kessy
5178​
34​
Dr. Ester P. Lazaro
5190​
35​
Dr. Mugisha N. Nkoronko
5115​
36​
Dr. Sofia A. Ottaru
5146​
37​
Dr. Raya Y. Mussa
5132​
38​
Dr. Regina Y. Msanga
5148​
39​
Dr. Delfina R. Msanga
5147​
40​
Dr. Allen G. Kangarawe
5138​
41​
Dr. Sia C. Kiwia
5198​
42​
Dr. Peter E. Kipiki
5144​
43​
Dr. Avelina R. Kimaryo
5177​
44​
Dr. Peter F. Mwandiga
5075​
45​
Dr. Daimon B. Mwasamila,
5210​
46​
Dr. Emmanuel D. Lema
5185​
47​
Dr. Karungi J. Karoma
5130​
48​
Dr. Fortunatus m. Ibreck
5199​
49​
Dr. Sadiq S. Dawood
5121​
50​
Dr. Witness M. Mchwampaka
5186​
51​
Dr. Azza A. Naif
5111​
52​
Dr. Malkiadi P. Mbota
5208​
53​
Dr. Mariam T. Johari
5013​
54​
Dr. Daniel M. Chochole
5162​
55​
Dr. Oliver T. Masoy
5197​
56​
Dr. Gerald C. Robi
4927​
57​
Dr. Erasto S. Odindo
5229​
58​
Dr. Kasirye J. Collins
5243​
59​
Dr. George D. Dilunga
5239​
60​
Dr. Emmanuel S. Maro
5240​
61​
Dr. Irene R. Haule
5242​
62​
Dr. Godfrey A. Kisuma
5246​
63​
Dr. Frank M. Sudai
5231​
64​
Dr. Annette A. Marandu
5196​
65​
Dr. Joseph E. Soka
66​
Dr. Hans Mpimilwa
MBEYA REFFERAL
1​
Dr. Msafiri Lewanga
5069​
2​
Dr. Regan Rajuu
5224​
3​
Dr. Alex Mwakyandile
5311​
4​
Dr. Osmundi Dyegula
4954​
5​
Dr. Ireene Kato
5012​
6​
Dr. Lutaragula Masili
5067​
7​
Dr. Nindwa Maduhu
5209​
8​
Dr. Noel Dominic Swai
4952​
9​
Dr. Masanja Erasto Kasoga
5100​
10​
Dr. Mwanahamisi Japhary
4768​
11​
Dr. Nuru Mwambola
5100​
12​
Dr. Jane Maganga
5174​
13​
Dr. Karim Mohamed
4767​
14​
Dr. Joyce T. Massaro
5195​
15​
Dr. Kanjanja A. Amas
5213​
16​
Dr. Joseph Msemwa
5116​
17​
Dr. Jonas Lulandara
4851​
18​
Dr. Kulwa Itambula Joseph
5173​
19​
Dr. Josephat Mapunda
4890​
20​
Dr. Joseph Antony Legembo
5392​
21​
Dr. Saili Mbukwa
5381​
22​
Dr. Samwel Cherubini Mkumbe
5395​
23​
Dr. Serephine J. Mrosso
4950​
24​
Dr. Agapiti Hipoliti Chuwa
4903​
25​
Dr. Deusdedit Kalaso
4986​
26​
Dr. Ano A. Maseta
5437​
27​
Dr. Alinanuswe Kasililika
4953​
28​
Dr. Anicetus Rwebangira
5123​
29​
Dr. David Hamisi Mvunta
5172​
30​
Dr. Ally Mbwana Mhando
5327​
31​
Dr. Aminiel E. Ngomuo
5068​
32​
Dr. Emmanuel Obasy Mwakibinga
5010​
33​
Dr. Erica A. Balama
4687​
34​
Dr. Fred Frank
5281​
35​
Dr. Emmanuel Bahemana
5070​
36​
Dr. Elisonguo E. Kimambo
5282​
37​
Dr. Furaha Mwakafwila
5108​
38​
Dr. Emmanuel J. Itambu
4685​
39​
Dr. Beniedy A. Chitama
5205​
40​
Dr. Gwakisa John
5023​
41​
Dr. Charrido Chalo
42​
Dr. Winfrida Halinga
5435​
43​
Dr. Wistone I Ngaiza
5441​
44​
Dr. Honsia E. Moshi
5288​
45​
Dr. Lewanga Msafiri
5069​
46​
Dr. Peter Frank Saria
5202​
47​
Dr. Ngwilo Mwakyusa
5317​
48​
Dr. Adison Mpyambala
4955​
49​
Dr. Ilekizemba G. Khalfanis
4420​
50​
Dr. Angela T. Mlole
5013​
51​
Dr. Rajab Mramba
5245​
52​
Dr. Lusajo Raphael Mwakajoka
5441​
53​
Dr. Musa Gabriel
377​
54​
Dr. Bogias Fidelis Mwamgunda
378​
55​
Dr. Raymond Mwalonde
5230​



BUGANDO MEDICAL CENTRE
1​
Dr. Lukansola Makubula
4863​
2​
Dr. Amos Stanley
4876​
3​
Dr. George B. Rweyemera
4913​
4​
Dr. Peter J. Kitenyi
4925​
5​
Dr. Florian Mutasingwa
4918​
6​
Dr. Mwanaisha Seugendo
4905​
7​
Dr. Derick David
4884​
8​
Dr. Baraka R. Mkinze
4883​
9​
Dr. Emanuel Alphonce
4911​
10​
Dr. Paulina M. Manyiri
4891​
11​
Dr. Wilhelmina J. Mbwana
4924​
12​
Dr. Jacqueline B. Iraba
4941​
13​
Dr. Dismas Stephen
4934​
14​
Dr. Deo Donald Kisaka
4989​
14​
Dr. James J. Gesimba
5008​
16​
Dr. Athuman M. Mambo
4988​
17​
Dr. Hadija M. Bushahu
5015​
18​
Dr. Cosmas H. Mbulwa
4942​
19​
Dr. Raymond M. Wilson
5041​
20​
Dr. Elizabeth N. Kwiyolecha
5065​
21​
Dr. Flavian Simula
5165​
22​
Dr. George Adriano
5035​
23​
Dr. Enock J. Simeon
5079​
24​
Dr. Devotha J. Mbabala
5153​
25​
Dr. Hellen Munaku
5135​
26​
Dr. Kilemo J. Mzobora
5192​
27​
Dr. Shija F. Mahenda
5164​
28​
Dr. Frank Mayaya
5136​
29​
Dr. John N. Akwitende
5223​
30​
Dr. Dorice L. Shangali
5193​
31​
Dr. Albert J. M. Mnyanzilu
364​
32​
Dr. Amina J. Yusuph
5102​
33​
Dr. Immaculate Henry
5188​
34​
Dr. Deus R. Luhanga
5258​
35​
Dr. Noreen Jandwa
5279​
36​
Dr. Flora Willy Rumoka
5299​
37​
Dr. Gabriel C. Makenga
5303​
38​
Dr. Joel L. Maduhu
5307​
39​
Dr. Joan J. Nguma
5298​
40​
Dr. Museveni N. Justine
5349​
41​
Dr. Emanuel Nhonoli
4847​
42​
Dr. Ally Akrabi Munir
4773​
43​
Dr. Regina Mtayangulwa
4753​
AMANA
1​
Dr. Fredrick Tembo
5265​
2​
Dr. Daudi Hassan
5267​
3​
Dr. Tumaini Bryon
5247​
4​
Dr. Tenga Yerko
4886​
5​
Dr. Majala Maulidi
4870​
6​
Dr. Elice Mweluka
4877​
7​
Dr. Kibona Samwel
5296​
8​
Dr. Abdulrahan Amin
5037​
9​
Dr. Alexander Kailembo
366​
10​
Dr. Mwanaasha Malewenga
5448​
11​
Dr. Valeria Ndomba
5390​
12​
Dr. Anna Sanga
5016​
13​
Dr. Luoga Prospelia
4850​
14​
Dr. Georgia Kamese
5052​
15​
Dr. Ally Mbikilwa
5450​
16​
Dr. Peter Kyabaroti
5016​
17​
Dr. Mamelita Basike
5402​
18​
Dr. Mariam Msimbe
5191​
19​
Dr. Khadija Msami
5300​
20​
Dr. mosses Wamoa
5038​
21​
Dr. Jasinta Lugila
5363​
22​
Dr. hellen Machagge
5249​
23​
Dr. Anna Asenga
5265​
24​
Dr. Salum Mruma
5268​
25​
Dr. Neema Ntamanwa
5291​
26​
Dr. Fatuma Kibao
5316​
TEMEKE
1​
Dr. Godbless Charles
5168​
2​
Dr. Henry Jason Tarimo
4632​
3​
Dr. Clephace G. Mtana
4907​
4​
Dr. Daniel Joseph Mganyizi
4992​
5​
Dr. Elisha Otieno Osati
5336​
6​
Dr. Tony Mitala Luwukya
5455​
7​
Dr. Emmanuel G. Badya
4912​
8​
Dr. Phillipo S. Muhochi
4993​
9​
Dr. Alen Oden Kitalu
4994​
10​
Dr. Frexon Liseki Kiandiko
5180​
11​
Dr. Rose Sikazwe
5214​
12​
Dr. Nevelin Hezron
5216​
13​
Dr. Daniel A. Mashamba
5212​
14​
Dr. Hadija M. Kimwaki
5260​
15​
Dr. Lucas James Maiga
5400​
16​
Dr. Odiwa C. Ombati
5452​
17​
Dr. Thomas D. Kapela
4906​



ST. FRANCIS IFAKARA
1​
Dr. Greyson Mpinga
5403​
2​
Dr. Kasanzu Masanja
5262​
3​
Dr. Haitham Mohamed
5450​
4​
Dr. Massanja Dotto
5263​
5​
Dr. Nicholaus Sayana
4937​
6​
Dr. Kahibi Bernard
5055​
7​
Dr. Emmanuel Kimario
5098​
8​
Dr. Rebeca Majige
5064​
9​
Dr. Allen Kissanga
5321​
10​
Dr. James Zakaria
5326​
11​
Dr. Kurenje Mbura
5264​
12​
Dr. Nyambura Moremi
4920​
13​
Dr. Donald Kenedy
5056​
14​
Dr. Elipokea Sarakikya
5314​
15​
Dr. Magreth Kagashe
4894​
16​
Dr. John Mrina
4843​
17​
Dr. Sebastian Pima
5053​
M/ NYAMALA
1​
Dr. Veronica Lyandala
4908​
2​
Dr. Goodluck Mlimbila
4938​
3​
Dr. Geofrey Seusi
4923​
4​
Dr. Zena Suleiman
5087​
5​
Dr. Fadhil Mlimbila
5225​
6​
Dr. Wilfred Rutahoile
4882​
7​
Dr. Ikupa Mwasubi
5076​
8​
Dr. Janeth Mandepu
5025​
9​
Dr. Paul Swakala,
4928​
10​
Dr. Mwandu Makani
4929​
11​
Dr. Vivian Rugarabamu
5033​
12​
Dr. Mufida Mshimba
5133​
13​
Dr. Didas Patris
5069​
14​
Dr. Adelina Rutashobya
5112​
15​
Dr. Kunge Klint
5235​
16​
Dr. Pius Ezekiel
5272​
17​
Dr. Daniel Hubert
5290​
18​
Dr. Petro Sewa
5271​
19​
Dr. Diana Damian
5331​
20​
Dr. Egbert Eslone
5340​
21​
Dr. Meshack Ole Sabaya
5432​
22​
Dr. Manyere J. Kapongo
5428​
23​
Dr. Joseph Mkenda
5429​
24​
Dr. Wendy Robert
5430​
25​
Dr. Eshmedi Mathayo
26​
Dr. Jualako Nassoro
4775​
SEKOU TOURE HOSPITAL
1​
Dr. Akili Msei
5412​
2​
Dr. Patrick Mhagama
5415​
3​
Dr. Vitalis Ruyimba
5422​
4​
Dr. Robert Onesmo
5418​
5​
Dr. Catherine Moshi
5463​
6​
Dr. Musyangi Tekele
5445​
7​
Dr. George Ngimba
5420​
8​
Dr. Elias Ndongo
5275​
9​
Dr. Belkumas.H. Mbawala
5454​
10​
Dr. Ezekiel Kambona
4948​
11​
Dr. Zakayo Ilomo
5444​
12​
Dr. Yahaya Nasoro
4781​
13​
Dr. Rehema Mwabaya
5459​
14​
Dr. Grace Bash
5464​
HYDOM HOSPITAL
1​
Dr. Edwad Lengai
4990​
2​
Rommy andrew
5389​
3​
David Mgaya
4854​
4​
Innocent mtenga
5049​
5​
Edward Joseph
5011​
6​
Israel Alexseko
4901​
7​
Angelo Joachim
5042​
8​
Deogratius Baruba
4991​
9​
Johnson Joachim
5034​
10​
Evarist Kentgen
5043​
11​
Gabriel M. Soko
4915​
DODOMA REGIONAL HOSPITAL
1​
Gustavus Deusdedith
5385​
2​
Cassian G. Mkuwa
5384​


Imetolewa na:

Dkt Donan Mmbando
MWENYEKITI- BARAZA LA MADAKTARI TANGANYIKA


11 Julai, 2012.

Source: Taarifa ya Baraza la Madaktari Tanganyika yenye majina ya Inters waliofutiwa usajili - ************************** wavuti
 
pole sana mkuu naona na wewe akili zero kama ulisoma hukuelimika....acha mkumbo wa propaganda,kwnye madai ya madaktari ulisoma mshahara tu? hivyo vitu vingine saba hukuviona? na hao mafisadi wangekuwa wanapelekwa mahakamani na kurudisha hela yako ya kodi waliyokula ndo ungejuwa unashangilia....this aint politics bro, mgomo was wa maproffessional not politicians....so ma interns waligoma peke yao? regestars je? do u think tanzania ndo nchi ya kwanza kugoma madaktari? hata USA,UK,AUSTRALIA, even ISRAEL wameshawahi kugoma....soa wats so special migomo isikubalike hapa bongo. hata jirani hapa kenya waligoma en wat did the Govt yake do walifukuza all interns na ma Dr? usishabikie ujinga bila kuelewa wat u talking about....wajinga wenzakoe ndo wanafikiri its about maslahi zaidi kama mnavyopotoshwa na serikali. eti serikali isiyumbishwe the govt is the people by definition kama hujui! walivyokuwa wanasign posho za bungeni kuongezeka mbona hukushangilia?
Kama unaona mshahara mdogo acha kazi mwenyewe nenda kagombee ubunge ukapate mshahara mnono lakini si kufanya mgomo ambao madhara yake watu wamepoteza maisha. for your info hata madaktari wakiwepo kazini watu hufa kama kawa due to shortages of hospital equipments... go tell that to your govt your supporting...

pole sana ndugu kwa hiyo na ninyi madaktari mnakopi na kupest migomo coz wenzenu waligoma uko ugaibuni sasa this is tz usifananishe na nchi zingine na mtambue kuwa roho za waliokufa zitawalilia siku ya mwisho ikifika
 
1. wajitolee kwenye maduka ya kuuza dawa
2. wawe washauri vijijini kwenye First Aid
3. Watusaidie kwenye fisrt aid

Mungu awabariki; ni mpango wa mungu
Atujui mungu alikuwa anatuepushia nini , mpk kufukuzwa

hili limekuwa fundisho na selikari inajua kuanzia mwezi wa nane interns wengine wanaanza kazi so hakuna hasara kwao
 
msiba wa mwenzio sio wa kuufurahia ninasikitika coz ni vijana wenzangu hawa ambao wamepatwa na huu mkasa wa kupokonywa leseni lakini naomba tupate fundisho moja kuwa muda ambao watu wengu wanakushauri kuacha jambo fulani ni vyema ukaacha then ukajiepusha na matatizo kwani hata sasa tunapozungumza hivi sio wote watakaoweza kwenda kutafuta ajila nje wengine watakuwa wameshaharibu ndoto za maisha yao hatakama najua kuna wengine watasema maisha sio udaktari pekeyake.
but msikate tamaa mungu yupo tuendelee kumuomba may be mtarudishiwa hizo leseni zenu
POLENI SANA KWA YALIYOWAKUTA
 
Kosa lilitendeka kule mwanzoni kabisa, pale Daktari bingwa alipo muwekea yule jamaa ambae hakua na kichwa dafu na akaja kuwa Rais, sasa ni wakati wa kuchukua dafu lao...
 
Pengine haitamaliza mgomo huu ila itabaki kwenye record kwamba kuna madaktari waligoma wakatimuliwa so itazuia migomo in the future unless kwa daktari ambaye anataka kupoteza leseni.
Kwa kusoma hoja yako bila shaka hii ID yako hata mume/mke wako haijui. Wewe ni zuzu!
 
Back
Top Bottom