Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Amehamia pamoja na wanachama wa chama cha TLP na wanaccm 23 hii leo na ikumbukwe mkutano wa juzi uliofanyika uwanja wa shuma mabalozi 5 wa nyumba kumi kumi na tawimoja kuhamwa na wote kuhamia chadema..
..
Mgombea wa udiwani kata ya Elerai kupitia TLP na baadhi ya watu wengine walio rudisha kadi za vyama vyao na kujiunga na CHADEMA hii leo....
..
Mgombea wa udiwani kata ya Elerai kupitia TLP na baadhi ya watu wengine walio rudisha kadi za vyama vyao na kujiunga na CHADEMA hii leo....