ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,017
- 7,220
Siasa za chadema ni vituko kwelikweli!
Yawezekana Lema ni mwamba wa Kaskazini
Amehamia pamoja na wanachama wa chama cha TLP na wanaccm 23 hii leo na ikumbukwe mkutano wa juzi uliofanyika uwanja wa shuma mabalozi 5 wa nyumba kumi kumi na tawimoja kuhamwa na wote kuhamia chadema..
..View attachment 97169
View attachment 97171
View attachment 97173
Mgombea wa udiwani kata ya Elerai kupitia TLP na baadhi ya watu wengine walio rudisha kadi za vyama vyao na kujiunga na CHADEMA hii leo....
Mkuu nimeusoma, nadhani tiba yake ni sera ya kanda lakini ukumbuke ilipopita M4C huko Kusini unaonaje mwamko? vipi Morogoro?..ni kweli chadema tusibweteke tuongeze kasi lakini kwangu mimi nimebahatika kuzunguka kiasi nchi hii na kufatilia kwenye mitandano nchii hii inaenda kuongozwa na chadema mwaka 2015.. huo ndiyo ukweli, CCM kete yao kubwa ilikuwa swala la video yao ya Lwakatare ndiyo aana kila kiongozi alisema chadema inakufa ndani sijui ya mwaka, walijua nini kinafata lakini baada ya issue hiyo kupanguliwa sijui wana kete gani tena lakini naamini wataendelea kushindwa kama walivyo shindwa kwenye njia zao chafu walizo wahi kuzitumia kama ya udini, ukabila chadema chama cha wachaga baadae kikawa cha kazikazini, waaja na chama cha magaidi....Mkuu Crashwise, kanda ya Ziwa sina Shida nazo, pamoja na hizo nilizotaja katika post yangu ya awali. Shida yangu kubwa ni kwa mikoa mingine hasa Kusini, Kati, Magharibi na michache ya Mashariki na Pwani. Pia Nyanda za juu Kusini kunahitaji pia kazi kubwa. CDM ikifanikiwa mikoa hiyo hasa kusini basi mambo yatakuwa mema sana 2015. Na jukumu hili lianze mapema kwa kufanya tathmini ya M4C then rekebisheni changamoto kama zipo ili kuboresha zaidi kwa mikoa hiyo. Mingine rudini mara kwa mara. Aluta continua kwa mapambano ya kweli.
Vipi tenda ulishapewa safari hii utapewa tenda ya kuleta madawa bongo maana ndiyo kazi iliyobaki sasa hivi ya hao magamba wenzako...je bado unania ya kugombea Iringa? je umeshapona yale magonjwa yako maana hata kuyataja du noma....Siasa za chadema ni vituko kwelikweli!
KKwa hiyo tukusadie, unaweza kuvunja biscuit..Hizi ndizo habari pendwa hapa JF,hautatukanwa.
Lakini habari hii ingeandikwa kuwa mgombea say wa TLP kahamia Chama Cha Magamba,watu wangeponda,na wachache tu kama Bunge,Chama,Ritz na wenzao wangethubutu kupongeza.
Bora mie,nashabikia mgombea huru na siyo chama.
Mkuu nimekupata, uzi uwe ule ule bila kukata tamaa. Iwe ni project ya kudumu uhamasishaji kwa nguvu zote with vivid evidences. Hakika kutumia suala la udini na ukabila ambali Watanzania hatukuwa navyo kisa nii kupata kuiangusha CDM ni hatari sana. Matokeo yake dini imefumuka na hawawezi kuziba presha ya pipe ya dini. Watanzania tumepoteza ndugu zetu katika maandamano na machafuko ambayo yamezaliwa katika udini walioutaja SSM wakati wa kampeni zao. Wakati watu wanajiandaa kupeleka evidence bungeni basi zengwe la kuwekwa rumande likaingia eti umesababisha fujo kwa wanafunzi waliokuwa wanadai haki yao ya kimsingi ya usalama baada ya mwenzo kuawa. Hakika wananchi hatuna hamasa kabisa na mambo yanavyokwenda. Cha msingi mkuu strategies ziwe za uhakika na nina hakika 2015 kutakuwa na mambo mengine kabisa.Mkuu nimeusoma, nadhani tiba yake ni sera ya kanda lakini ukumbuke ilipopita M4C huko Kusini unaonaje mwamko? vipi Morogoro?..ni kweli chadema tusibweteke tuongeze kasi lakini kwangu mimi nimebahatika kuzunguka kiasi nchi hii na kufatilia kwenye mitandano nchii hii inaenda kuongozwa na chadema mwaka 2015.. huo ndiyo ukweli, CCM kete yao kubwa ilikuwa swala la video yao ya Lwakatare ndiyo aana kila kiongozi alisema chadema inakufa ndani sijui ya mwaka, walijua nini kinafata lakini baada ya issue hiyo kupanguliwa sijui wana kete gani tena lakini naamini wataendelea kushindwa kama walivyo shindwa kwenye njia zao chafu walizo wahi kuzitumia kama ya udini, ukabila chadema chama cha wachaga baadae kikawa cha kazikazini, waaja na chama cha magaidi....
...Mnama hii kitu ya Kimandolu mliibulia wapi?Siasa za chadema ni vituko kwelikweli!
Tatizo unapenda maneno mengi, mimi nilileta taarifa lakini naona unataka niongeze sijui maeno gani au taarifa yangu ni nusu kwasababu jana siku ripoti au sija kusoma....
Mkuu habari njema hizi ila nawasihi mlinde sana kura,mandevu bado yupo Rchuga?
Asante Crashwise kwa taarifa bado Mwenyekiti wake mzee wa Kiraracha.
....Chadema hewa ya maisha.... ni zaidi ya oxygen !!!!!
Amehamia pamoja na wanachama wa chama cha TLP na wanaccm 23 hii leo na ikumbukwe mkutano wa juzi uliofanyika uwanja wa shuma mabalozi 5 wa nyumba kumi kumi na tawimoja kuhamwa na wote kuhamia chadema..
..View attachment 97169
View attachment 97171
View attachment 97173
Mgombea wa udiwani kata ya Elerai kupitia TLP na baadhi ya watu wengine walio rudisha kadi za vyama vyao na kujiunga na CHADEMA hii leo....