kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Zipo taarifa za Mwenyekiti wa chama tawala kukutana na wakurugenzi Dodoma wakati kampeni zinaendelea huku Hawa wakiwa ndio wasimamizi wa uchaguzi kwenye majimbo. Tume ya uchaguzi inazungumziaje hatua hii?
Je Ni kweli mkutano huu upo au Ni propaganda za majukwaani tu?
Serikali imekanusha: Uchaguzi 2020 - Serikali: Lissu amedanganya, hakuna kukao cha Wakurugenzi Nchi nzima kilichofanywa
Je Ni kweli mkutano huu upo au Ni propaganda za majukwaani tu?
Serikali imekanusha: Uchaguzi 2020 - Serikali: Lissu amedanganya, hakuna kukao cha Wakurugenzi Nchi nzima kilichofanywa