Mbona unajiuliza swali na kujijibu, ni vizuri tu na wewe ukaenda kutoga masikio na wakati huo huo unataka kuwa public officer ndio utajua mbivu na mbichi ni zipiNani kakwambia kutoboa masikio ni kosa imeandikwa wapi?
mkuu kwani mombasa kuna niniyule kijana amekaa mombasa sio jambo la kushangaza hilo!
Mbona unajiuliza swali na kujijibu, ni vizuri tu na wewe ukaenda kutoga masikio na wakati huo huo unataka kuwa public officer ndio utajua mbivu na mbichi ni zipi
yule kijana amekaa mombasa sio jambo la kushangaza hilo!
Atakuwa sioi huyo sio mwingine...hiivi huyu mgombea akizaa mtoto akamwita nimesema
jina lake shuleni litasomekaje??
riziwani hata unapotaka kumuoa mwanamke unatizama pia na ukoo wake na tabia zao vilevile kwa mwanamke hutazama ukoo wa mwanamme akiridhia kuishi nao ndipo anajiunga nao... wacha tuwatizame wote wanamhusu, mwenye data za kakayake teja azilete tafadhaliMkuu vipi tena mambo ya kaka yake ya nini tena humu JF nadhani ni vizuri kumjadili mgombea,
Mkuu tukianza kufuatiliana humu familia za viongozi pamoja na zetu hakuna itakayokuwa salama.
Public office wa nini wakati ukitoboa Sikio hunaweza kuwa mbunge bila tatizo mfano tumeona kwa Joseph Mbilinyi (Sugu).
Nipe kifungu kinachokataza mbunge kutoboa sikio mkuu.
Naona mmekosa hoja mmeingia kwenye masikio . Kwani ubunge unaongozwa na masikio ? Acheni kuongea ujinga kama mnakunywa komoni . Alaah !!!
nikiamini wewe ni alhaji,niambie hata shekha mmoja aliyetogaPublic office wa nini wakati ukitoboa Sikio hunaweza kuwa mbunge bila tatizo mfano tumeona kwa Joseph Mbilinyi (Sugu).
Nipe kifungu kinachokataza mbunge kutoboa sikio mkuu.
Mkuu tunaishi kwa maadili ccm kamwe haiwezi kuiga mambo cdm ,issue hapa si kifungu ila ila ni maadili
mtu si msanii tukajua labda ni bwembwe za mastaa, kijana huyu kakulia Mombasa, katoga sikio mi napata mashaka kidogo.Public office wa nini wakati ukitoboa Sikio hunaweza kuwa mbunge bila tatizo mfano tumeona kwa Joseph Mbilinyi (Sugu). Nipe kifungu kinachokataza mbunge kutoboa sikio mkuu.
mbeya kwa wagumu sugu mwenyewe mgumu hakunaga mashoga huko.Mkuu kwa hiyo kama wewe ni Chadema hautakiwi kuwa na maadili? Unataka kuniambia Joseph Mbilinyi (Sugu) kutoboa kwake sikio anapata Excuse, sababu Chadema hawana maadili?
kama unataka hoja jibu hizo hapo juu sio unafata tu mkumbo .
hebu nieleze mkuu alitoboa baada ya hapa..Mh Joseph Mbilinyi akizungumza (Michuzijr Blog). - YouTube au hapa pia? Sugu_Interviwe Part_1.flv - YouTube .link ya kwanza inamuonyesha sikio la kushoto, link ya pili inaonekana kwenye sikio la kulia kama ulimkuta kavaa hereni sawa yaweza kuwa alibana na ikampendeza huko,watu aliowaomba awawakilishe au mpinzani wake angeliona hilo sidhani kama angelifumbia macho jambo hilo,Mkuu kwa hiyo kama wewe ni Chadema hautakiwi kuwa na maadili? Unataka kuniambia Joseph Mbilinyi (Sugu) kutoboa kwake sikio anapata Excuse, sababu Chadema hawana maadili?
mbeya kwa wagumu sugu mwenyewe mgumu hakunaga mashoga huko.
Naona mmekosa hoja mmeingia kwenye masikio . Kwani ubunge unaongozwa na masikio ? Acheni kuongea ujinga kama mnakunywa komoni . Alaah !!!