Kwa mujibu wa taarifa zilizoandikwa kwenye gazeti la leo la Nipashe ukurasa wa ishirini na nane mmoja wa wagomea ubunge amewakasirisha wazee wa meru kwa sababu ametoboa sikio kwa ajili ya kuvaa hereni.
mkuu sijawahi kuona mmeru aliyetoga masikio.sinikawaida ya watu wa makabila hayo kutoboa masikio. Tumeyaona kwa wamasai wamang'ati waarusha wameru na kadhalika. Simkubali sioi ila hoja yakutoboa sikio nahisi haina mashiko pande hizo bt much respect kwa mchango wako
kwani kuwa mmeru ndio sifa ya kugombea????????mkuu sijawahi kuona mmeru aliyetoga masikio.
makupa ni wewe?kweli ccm kuna ugomvi mkubwa.
Kanunue gazeti mkuu unataka kutafuniwa kila kitu weweni mgombea gani huyo mkuu?hawajamtaja?
Kwa mujibu wa taarifa zilizoandikwa kwenye gazeti la leo la Nipashe ukurasa wa ishirini na nane mmoja wa wagomea ubunge amewakasirisha wazee wa meru kwa sababu ametoboa sikio kwa ajili ya kuvaa hereni.
Tabia njema ni pamoja na matendo yakoNaona mmekosa hoja mmeingia kwenye masikio . Kwani ubunge unaongozwa na masikio ? Acheni kuongea ujinga kama mnakunywa komoni . Alaah !!!
Kwani hiyo nayo ni shida? Atakayefanyakazi na wananchi jimboni ni mbunge na sio sikio lake. Watu mnapenda kujadili mambo ya k.i.j.i.n.g.a!
..............:doh:Kanunu gazeti mkuu unataka kutafuniwa kila kitu wewe
Tabia njema ni pamoja na matendo yako