Majaji wote 7 ni Watanzania wakiongozwa Jaji Mkuu mwenyewe. Wengine ni akina Mama Munuo, Stephen Bwana,....Hili ni suala linalogusa moja kwa moja KATIBA yetu. Hukumu yake itafungua mengi tu mabovu yaliyomo kwenye KATIBA hii ambayo kuiandika upya imeshindikana.
Hofu yangu ni moja. Wakiruhusu mgombea binafsi hata kwenye ngazi ya URAIS si ajabu akina RA, EL, Mtikila, Mengi, Butiku, Bakhresa, Raza, Juma Nature, Ben Kinyaiya, Dr Cheni, Zamoyoni Mogela, mimi,....tukachukua fomu ya kugombea!?
Hofu yangu ni moja. Wakiruhusu mgombea binafsi hata kwenye ngazi ya URAIS si ajabu akina RA, EL, Mtikila, Mengi, Butiku, Bakhresa, Raza, Juma Nature, Ben Kinyaiya, Dr Cheni, Zamoyoni Mogela, mimi,....tukachukua fomu ya kugombea!?