Sura-ya-Kwanza
JF-Expert Member
- Nov 17, 2007
- 566
- 10
Baada ya kuona sakata la baadhi ya wanaCCM kutaka kumeguka na kuanzisha chama kipya serikali imekuja na mbinu nyingine ya kutuliza hali ya hewa ndani ya chama tawala
Ina maana na 'mgombe' binafsi pia? Yumo kwenye Chama?
Hilo lawezekana lakini sioni ni vipi hasa