Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,502
- 51,098
- Thread starter
- #41
Mkuu,naomba kufahamishwa kama hao vijana waliajiriwa kwasababu ya uislamu wao.
Hawakuajiriwa kwa mujibu wa Uislamu wao ila inaonyesha kuhamishwa kwao kuna element ya kuhamishwa sababu ya dini yao.
Wakati wa kuajiriwa hawakuajiriwa kwa mkupuo wakiwa waislamu watupu ila wamehamishwa kwa mkupuo, tena wote wakiwa waislamu tupu 100% na tena ikiwa ni baada ya sakata la kubomoa site ya msikiti kwa nguvu!. Hii inatuma picha gani?.
Fumbo afumbiwe mjinga ila mwerevu huling'amua