christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 2,481
- 3,876
Mimi nadhani serikali kwa kuwa haina dini isiruhusu chuo chochote wala taasisi ya uma kuwa na kanisa wala msikiti ikiwa mtu anataka kusali atajua tu namna yakuongea na Mungu wake, nadhani muumini mzuri ni yule anayeweza kumtafuta mola wake katika mazingira yoyote yale hawezi kukwamishwa na mazingira. Mfano ikiwa mtu atajua kama chuo fulani hakina kanisa au mskiti basi atachugua vyuo vya duni ambavyo nadhani vipo vingi tu ila ukichagua chuo cha umma ukubali masharti utakayo yakuta mule.
Hatuwezi kila siku tukawa tunadai kujenga nyumba za ibada kwenye maeneo ya uma sasa kila dhehebu hata lenye mtu mmoja likidai chuo si kitageuka kuwa eneo la kuabudia na kuna wengine hawana dini hivyo itakuwa ni kama tunawasumbua kwa kwa sala zetu ambazo kwao ni kama kelele. Watanzania wote ni sawa tusijione wengine tuna haki zaidi kuliko wengine hata kama ni wachache.
Hatuwezi kila siku tukawa tunadai kujenga nyumba za ibada kwenye maeneo ya uma sasa kila dhehebu hata lenye mtu mmoja likidai chuo si kitageuka kuwa eneo la kuabudia na kuna wengine hawana dini hivyo itakuwa ni kama tunawasumbua kwa kwa sala zetu ambazo kwao ni kama kelele. Watanzania wote ni sawa tusijione wengine tuna haki zaidi kuliko wengine hata kama ni wachache.