Mgogoro ndani ya CHADEMA!?

Na bado! Zitto vipi mbona hajasusa?

mkuu jamani tusameheni, mmetushika pabaya mpaka juzi tukawatuma usalama wa taifa wachomoe cable ya satellite ya TBC ili watanzania wasishuhudie upuuzi tunaoufanya bungeni kwa kujaribu kupindisha kanuni ya 77 ya bunge.
Mmetushika babaya mpaka tukatuma vijana waende kurusha mawe kwenye mkutano wenu huko singida hadi kijana wetu mmoja akafa.
Mmetushika pabaya mpaka tumeamua kumchinja kiongozi wenu wa chama huko arumeru
Mmetutushika pabaya mpaka tumewakata kwa mapanga wabunge wenu pale ilemela.
Mmetushika pabaya mpaka tumetuma vijana wetu wavamie na mapanga kwenye mkutano wenu pale nduli.
Jamani mkuu mmesababisha tumechanganyikiwa kwa hili vuguvugu lenu la mabadiliko.
Tusameheni jamani.
:A S cry:
 
Kuna watu wanatamani CHADEMA kuwe na mgogoro kwa hali na mali.
Hivi sehemu kama kuna mgogoro si inajulikana tu! kuna haja ya kufosi watu?
 
Kuna watu wanatamani CHADEMA kuwe na mgogoro kwa hali na mali.
Hivi sehemu kama kuna mgogoro si inajulikana tu! kuna haja ya kufosi watu?

Kupandikiza mgogoro CDM ndiyo njia pekee itakayowahakikishia CCM kubakia madarakani mpaka 2020! Hata Mungu hawezi ruhusu hiyo, Watanzania wameteseka sana.
 
Sasa ni dhahiri kuwa kuna mgogoro wa chini kwa chini ndani ya CHADEMA kati ya viongozi wake, ingawa viongozi wake wamekuwa wakifanya kila jitihada kuficha

Tukio la hivi karibuni viongozi wake wamekuwa wakifanya kila njia kuhakikisha suala la Mnyika kumtumia sms za vitisho Mh. Mwigulu Nchemba linamalizwa nje ya vyombo vya usalama, viongozi wamekuwa wakimshutumu sana Mnyika kwa uamuzi alioufanya wa kutuma sms za vitisho kwa Nchemba hali inayokifanya chama kutumia nguvu kubwa kushughulikia suala hilo, pia wamekuwa wakimshutumu kwa uamuzi wake wa kwenda kufanya mkutano huko Singida hadi kusababisha mauaji.

Pia umetokea msuguano kati ya Mbowe na Zitto kutokana na uamuzi wa Zitto kususia kutoka nje ya Ukumbi wa Bunge pamoja na wabunge wengine wa CHADEMA baada ya kutokea msuguano kati Tundu Lissu na Werema, inasemekana siku hiyo Mbowe ambaye hakuwepo Bungeni alimtumia sms Zitto akimshutumu Zitto kwa uamuzi wake wa kubaki ukumbini wakati wenzake wanatoka nje, hata hivyo inasemekana Zitto alimjibu Mbowe kuwa suala lile lilikuwa kati ya Lissu na Werema hivyo lilikuwa halimhusu yeye,

NOTE: Kama hali iko hivi mapema itakuwaje wakikabidhiwa nchi, si watachinjana hawa

Nawasilisha!!!?



Umekaa tu na Ndg zako,na ama jopo lako mkaanzisha thread hii ama?
Umetoa wapi maneno haya yasiyo na mbele wala nyuma?
Kweli watu wengine wakishakuwa WATUMWA basi wanapoteza hata dira ya uwepo wao ktk jamii!

Ila inaweza ikawa si kosa lako,"MSAFARA WA MAMBA HAKIKA KENGE WAMO" Pole!

Acha kutumika Kijana kalale!!
 
Ni kweli kabisa tumeshikwa patamu that why tukishindwa hoja tunawatusi wale wenye hoja kuwa "sio kila mwenye nywele ana uwezo wa kufikiri,
Tumeshikwa patamu mkapa wapinzani wetu wakisema wana uchungu wa taifa hili sisi tunawaambia waende leba kujifungua.
Tumeshikwa pabaya mpaka tunatunga msg na kujitumia na kuzusha kuwa tumetumiwa na kutishiwa na wapinzani wetu.
Tumeshikwa pabaya mpaka tunaomba muongozo katikati ya hotuba ya wapinzani wetu na kuomba baadhi ya pages za hutuba husika zisisomwe mbele ya watanzania.
Aisee tusameheni msitushike pabaya hadi kufikia hatua ya kuacha kujadili hotuba za mawaziri na kuanza kushambulia wapinzani ambao hawana dola. Inshort tumepanic.
Tunaomba msamaha wakuu.



NINGEKUWA NAIONA KITUFE CHA "like" NINGE ELIKE HII POST MARA KADHA!

Pamoja sana DM!
 
Sasa ni dhahiri kuwa kuna mgogoro wa chini kwa chini ndani ya CHADEMA kati ya viongozi wake, ingawa viongozi wake wamekuwa wakifanya kila jitihada kuficha

Tukio la hivi karibuni viongozi wake wamekuwa wakifanya kila njia kuhakikisha suala la Mnyika kumtumia sms za vitisho Mh. Mwigulu Nchemba linamalizwa nje ya vyombo vya usalama, viongozi wamekuwa wakimshutumu sana Mnyika kwa uamuzi alioufanya wa kutuma sms za vitisho kwa Nchemba hali inayokifanya chama kutumia nguvu kubwa kushughulikia suala hilo, pia wamekuwa wakimshutumu kwa uamuzi wake wa kwenda kufanya mkutano huko Singida hadi kusababisha mauaji.

Pia umetokea msuguano kati ya Mbowe na Zitto kutokana na uamuzi wa Zitto kususia kutoka nje ya Ukumbi wa Bunge pamoja na wabunge wengine wa CHADEMA baada ya kutokea msuguano kati Tundu Lissu na Werema, inasemekana siku hiyo Mbowe ambaye hakuwepo Bungeni alimtumia sms Zitto akimshutumu Zitto kwa uamuzi wake wa kubaki ukumbini wakati wenzake wanatoka nje, hata hivyo inasemekana Zitto alimjibu Mbowe kuwa suala lile lilikuwa kati ya Lissu na Werema hivyo lilikuwa halimhusu yeye,

NOTE: Kama hali iko hivi mapema itakuwaje wakikabidhiwa nchi, si watachinjana hawa

Nawasilisha!!!?
Ovyo! Sikuwa nikifahamu kwamba kuwa mwanachama wa CCM ni kuwa na tabia za fisi ambaye hachoki kufuatia nyuma ya binadamu anayetembea kwa matumaini ya eti mikono inayoning'inia huenda ikadondoka ajipatie kitoweo! Ama kweli mmeshikwa pabaya na mnahangaika kujinasua na bado maana sasa mmeashikwa kwa kabari ya mikono; itakuwaje watapabowashika kwa prize?
 
Sasa ni dhahiri kuwa kuna mgogoro wa chini kwa chini ndani ya CHADEMA kati ya viongozi wake, ingawa viongozi wake wamekuwa wakifanya kila jitihada kuficha

Tukio la hivi karibuni viongozi wake wamekuwa wakifanya kila njia kuhakikisha suala la Mnyika kumtumia sms za vitisho Mh. Mwigulu Nchemba linamalizwa nje ya vyombo vya usalama, viongozi wamekuwa wakimshutumu sana Mnyika kwa uamuzi alioufanya wa kutuma sms za vitisho kwa Nchemba hali inayokifanya chama kutumia nguvu kubwa kushughulikia suala hilo, pia wamekuwa wakimshutumu kwa uamuzi wake wa kwenda kufanya mkutano huko Singida hadi kusababisha mauaji.

Pia umetokea msuguano kati ya Mbowe na Zitto kutokana na uamuzi wa Zitto kususia kutoka nje ya Ukumbi wa Bunge pamoja na wabunge wengine wa CHADEMA baada ya kutokea msuguano kati Tundu Lissu na Werema, inasemekana siku hiyo Mbowe ambaye hakuwepo Bungeni alimtumia sms Zitto akimshutumu Zitto kwa uamuzi wake wa kubaki ukumbini wakati wenzake wanatoka nje, hata hivyo inasemekana Zitto alimjibu Mbowe kuwa suala lile lilikuwa kati ya Lissu na Werema hivyo lilikuwa halimhusu yeye,

NOTE: Kama hali iko hivi mapema itakuwaje wakikabidhiwa nchi, si watachinjana hawa

Nawasilisha!!!?


Hapa ndugu yangu naona umetumia neno mgogoro vibaya, hapo hakuna mgogoro hayo ni mambo ambayo yametokea na watu wanatafuta namna ya kuayamaliza siyo mgogoro hata kidogo, na hii ndiyo siasa inavyokwenda. Mnyika kateleza basi anaambiwa hivi sivyo, kwa upande wa Zitto alichokifanya siyo kigeni, kama mbowe alimtumia ujumbe ni katika kumwambia tu tumeona unakosimamia na inajulikana wazi. Zitto anayo hiyo historia ya misimamo ya hivyo hajaanza leo na anjua mwenyewe anachokifanya.
 
Hizi thread za kimbea huwezi kuwa kosa ritz rejao na zomba kwa mfano ile thread ya ndoa ya slaa walikesha hapo lakini nyingine hawatii team hasahasa rejao
 
Hizi thread za kimbea huwezi kuwa kosa ritz rejao na zomba kwa mfano ile thread ya ndoa ya slaa walikesha hapo lakini nyingine hawatii team hasahasa rejao
Hivi, mbona huyu Ritz sijamwona kwenye ile thread inayozungumzia jinsi Riziwani anavyojilimbikizia mali Tanzania kote?
 
Hii ni Propaganda maalum..mara mbowe ni kibaraka.,mara ndoa ya Dr slaa- ila kila singo mnayotaka kuipigia promo dhidi ya cdm inaskrach..
 
Yaani mleta hoja hapo kwenye CHADEMA ungeweka CCM watu wote wangekuunga mkono lakini ukishaiongelea CDM tu tegemea matusi hata kama ukiweka vyanzo vya kuaminika.Hili si jukwaa huru tena bali ni jukwaa la kukisifia chama.Hili linanikera sana,binafsi sina chama maana kwangu siasa za bongo ni za waganga njaa tu lakini kama tunaongelea siasa jamani tukubali na kukosolewa au vinginevyo yaanzishwe majukwaa ya vyama kimoja kimoja ndani ya Jamiiforum kwamba nikiingia jukwaa la CCM nikaisema vibaya nitukanwe na vivi hivyo kwa CDM.
 
Yaani mleta hoja hapo kwenye CHADEMA ungeweka CCM watu wote wangekuunga mkono lakini ukishaiongelea CDM tu tegemea matusi hata kama ukiweka vyanzo vya kuaminika.Hili si jukwaa huru tena bali ni jukwaa la kukisifia chama.Hili linanikera sana,binafsi sina chama maana kwangu siasa za bongo ni za waganga njaa tu lakini kama tunaongelea siasa jamani tukubali na kukosolewa au vinginevyo yaanzishwe majukwaa ya vyama kimoja kimoja ndani ya Jamiiforum kwamba nikiingia jukwaa la CCM nikaisema vibaya nitukanwe na vivi hivyo kwa CDM.

Hapo kwenye red, anzisha hilo jukwaa la mabwepande uone kama kutakuwa tofauti na hili. labda muweke mtambo wa kuchakachua post za watu kama mlivyofanya kwenye sms za mchemba
 
Back
Top Bottom