Mgogoro ndani ya CHADEMA!?

Huo ni umbeya hebu thibitisha huo ujumbe wa mboye uliuona wapi?

Habari za kimbeya hazifai ktk jamii
 
Wapumbavu kama wewe hatutwaachia muingize ujing wenu hapa peleka ccm kwenu umbeya wako huko unaandika pumba lazima upewe pumba kaa pembeni pumbavu wewe


Wewe ndio unaweza kuwa mpumbavu zaidi ya mleta uzi'kwa sababu akili yako ilivyo fupi unataka watu wote wawe na mawazo kama yako yakuamini CDM kama chama cha malaika walio perfect'ujinga huo'
 
Sasa ni dhahiri kuwa kuna mgogoro wa chini kwa chini ndani ya CHADEMA kati ya viongozi wake, ingawa viongozi wake wamekuwa wakifanya kila jitihada kuficha

Tukio la hivi karibuni viongozi wake wamekuwa wakifanya kila njia kuhakikisha suala la Mnyika kumtumia sms za vitisho Mh. Mwigulu Nchemba linamalizwa nje ya vyombo vya usalama, viongozi wamekuwa wakimshutumu sana Mnyika kwa uamuzi alioufanya wa kutuma sms za vitisho kwa Nchemba hali inayokifanya chama kutumia nguvu kubwa kushughulikia suala hilo, pia wamekuwa wakimshutumu kwa uamuzi wake wa kwenda kufanya mkutano huko Singida hadi kusababisha mauaji.

Pia umetokea msuguano kati ya Mbowe na Zitto kutokana na uamuzi wa Zitto kususia kutoka nje ya Ukumbi wa Bunge pamoja na wabunge wengine wa CHADEMA baada ya kutokea msuguano kati Tundu Lissu na Werema, inasemekana siku hiyo Mbowe ambaye hakuwepo Bungeni alimtumia sms Zitto akimshutumu Zitto kwa uamuzi wake wa kubaki ukumbini wakati wenzake wanatoka nje, hata hivyo inasemekana Zitto alimjibu Mbowe kuwa suala lile lilikuwa kati ya Lissu na Werema hivyo lilikuwa halimhusu yeye,

NOTE: Kama hali iko hivi mapema itakuwaje wakikabidhiwa nchi, si watachinjana hawa

Nawasilisha!!!?
point of education

acha umbeya na habari za kizushi pia migogoro ya kufikirika badala yake jikite tuhabarisha mazuri yanayo tendeka kwenu mfano jana kulikuwa na mkutano Kigoma ulipaswa kutuhabariswa nini kilisemwa badala ya uhuni huu

kwa mtindo huu hamjijengi nasi tutaendelea kuwabomoa zaidi ili mkose nafasi ya kutangaza mazuri yenu kama yapo
 
Yaani mleta hoja hapo kwenye CHADEMA ungeweka CCM watu wote wangekuunga mkono lakini ukishaiongelea CDM tu tegemea matusi hata kama ukiweka vyanzo vya kuaminika.Hili si jukwaa huru tena bali ni jukwaa la kukisifia chama.Hili linanikera sana,binafsi sina chama maana kwangu siasa za bongo ni za waganga njaa tu lakini kama tunaongelea siasa jamani tukubali na kukosolewa au vinginevyo yaanzishwe majukwaa ya vyama kimoja kimoja ndani ya Jamiiforum kwamba nikiingia jukwaa la CCM nikaisema vibaya nitukanwe na vivi hivyo kwa CDM.
hili ni jukwaa la siasa majukwaa ya wasio na vyama yapo tena mengi hapa JF mfano MMU, jukwaa la sayansi

wewe ulitegemea tukubaliane na huu wa mchana as if hatuna akili - hivi mnafahamu maana ya migogoro lakini

 
Sasa ni dhahiri kuwa kuna mgogoro wa chini kwa chini ndani ya CHADEMA kati ya viongozi wake, ingawa viongozi wake wamekuwa wakifanya kila jitihada kuficha

Tukio la hivi karibuni viongozi wake wamekuwa wakifanya kila njia kuhakikisha suala la Mnyika kumtumia sms za vitisho Mh. Mwigulu Nchemba linamalizwa nje ya vyombo vya usalama, viongozi wamekuwa wakimshutumu sana Mnyika kwa uamuzi alioufanya wa kutuma sms za vitisho kwa Nchemba hali inayokifanya chama kutumia nguvu kubwa kushughulikia suala hilo, pia wamekuwa wakimshutumu kwa uamuzi wake wa kwenda kufanya mkutano huko Singida hadi kusababisha mauaji.

Pia umetokea msuguano kati ya Mbowe na Zitto kutokana na uamuzi wa Zitto kususia kutoka nje ya Ukumbi wa Bunge pamoja na wabunge wengine wa CHADEMA baada ya kutokea msuguano kati Tundu Lissu na Werema, inasemekana siku hiyo Mbowe ambaye hakuwepo Bungeni alimtumia sms Zitto akimshutumu Zitto kwa uamuzi wake wa kubaki ukumbini wakati wenzake wanatoka nje, hata hivyo inasemekana Zitto alimjibu Mbowe kuwa suala lile lilikuwa kati ya Lissu na Werema hivyo lilikuwa halimhusu yeye,

NOTE: Kama hali iko hivi mapema itakuwaje wakikabidhiwa nchi, si watachinjana hawa

Nawasilisha!!!?

Mkuu ukishakabidhiwa nchi huwezi kuchinjana unaweza kuchinja. Nchi tamu wewe kila mtu atakuwa akila bila kugusa mono wa mwenzake.
 
Sasa ni dhahiri kuwa kuna mgogoro wa chini kwa chini ndani ya CHADEMA kati ya viongozi wake, ingawa viongozi wake wamekuwa wakifanya kila jitihada kuficha

Tukio la hivi karibuni viongozi wake wamekuwa wakifanya kila njia kuhakikisha suala la Mnyika kumtumia sms za vitisho Mh. Mwigulu Nchemba linamalizwa nje ya vyombo vya usalama, viongozi wamekuwa wakimshutumu sana Mnyika kwa uamuzi alioufanya wa kutuma sms za vitisho kwa Nchemba hali inayokifanya chama kutumia nguvu kubwa kushughulikia suala hilo, pia wamekuwa wakimshutumu kwa uamuzi wake wa kwenda kufanya mkutano huko Singida hadi kusababisha mauaji.

Pia umetokea msuguano kati ya Mbowe na Zitto kutokana na uamuzi wa Zitto kususia kutoka nje ya Ukumbi wa Bunge pamoja na wabunge wengine wa CHADEMA baada ya kutokea msuguano kati Tundu Lissu na Werema, inasemekana siku hiyo Mbowe ambaye hakuwepo Bungeni alimtumia sms Zitto akimshutumu Zitto kwa uamuzi wake wa kubaki ukumbini wakati wenzake wanatoka nje, hata hivyo inasemekana Zitto alimjibu Mbowe kuwa suala lile lilikuwa kati ya Lissu na Werema hivyo lilikuwa halimhusu yeye,

NOTE: Kama hali iko hivi mapema itakuwaje wakikabidhiwa nchi, si watachinjana hawa

Nawasilisha!!!?

Vp ungeonana na mwigulu akuonyeshe hiyo msg halafu ungeiweka hapa, au mtambo wenu wa kughushi msg mmeshaurudisha?
 
Umepewa lini huo Usemaji wa CDM na wewe Ni Gamba!Ni Mwendelezo wa Ule waraka wa Mwigulu Nchemba kuhusu Propoganda za Kichina.
 
Sasa ni dhahiri kuwa kuna mgogoro wa chini kwa chini ndani ya CHADEMA kati ya viongozi wake, ingawa viongozi wake wamekuwa wakifanya kila jitihada kuficha

Tukio la hivi karibuni viongozi wake wamekuwa wakifanya kila njia kuhakikisha suala la Mnyika kumtumia sms za vitisho Mh. Mwigulu Nchemba linamalizwa nje ya vyombo vya usalama, viongozi wamekuwa wakimshutumu sana Mnyika kwa uamuzi alioufanya wa kutuma sms za vitisho kwa Nchemba hali inayokifanya chama kutumia nguvu kubwa kushughulikia suala hilo, pia wamekuwa wakimshutumu kwa uamuzi wake wa kwenda kufanya mkutano huko Singida hadi kusababisha mauaji.

Pia umetokea msuguano kati ya Mbowe na Zitto kutokana na uamuzi wa Zitto kususia kutoka nje ya Ukumbi wa Bunge pamoja na wabunge wengine wa CHADEMA baada ya kutokea msuguano kati Tundu Lissu na Werema, inasemekana siku hiyo Mbowe ambaye hakuwepo Bungeni alimtumia sms Zitto akimshutumu Zitto kwa uamuzi wake wa kubaki ukumbini wakati wenzake wanatoka nje, hata hivyo inasemekana Zitto alimjibu Mbowe kuwa suala lile lilikuwa kati ya Lissu na Werema hivyo lilikuwa halimhusu yeye,

NOTE: Kama hali iko hivi mapema itakuwaje wakikabidhiwa nchi, si watachinjana hawa

Nawasilisha!!!?

kutoelewana huko hakujaanza jana wala leo tangu zamani na zitto ni miongoni mwa wanachama wanaokataa "mfumo kwetu"
 
Kuna mmoja washwawashwa na mwingine anatumia kichwa kufugia nywele akidhani zitamuongezea uwezo wa kufikiri.
 
wana CDM wenzangu, mimi nafikir si kila kitu kisemwacho ambacho kwetu mi tofauti tukichukie hebu tulipokeee hii kama changamoto? nafikiri ni wai kwa CCM na vyama vingine vya upinzani wanatugwaya lakini tusibweteke na kujiona malaika tupokee changamoto zote tuzipatazo tena tungeweza kuwa thread kama hizi zikipostiwa sisi tunasimama kuonyesha ni kwa jinsi gani ambavyo tutakisaidia chama kupita katika changamoto hyo.

mimi namwambia hivi mtoa mada wala usitutishe eti kuna mgogoro chama chetu n chama ambacho watu ana uhuru wa kuongea na kutenda si kama ilivyo ccm mabayo mpaka baba riz aseme. huwa pia tunatenda kwa maslah ya wanachama wote so mnyika asingeweza kwenda singida aanzishe vita ilihali wale ni wanachama wake hayo mnapandikiza nyie lakini nguvu ya CDM ni kubwa sana kiasi kwamba hata kama ccm itajiunga na upinzani wote hawataikuta mnguvu hii.

ppleeeeeeeeeeeeeeez power
 
Sasa ni dhahiri kuwa kuna mgogoro wa chini kwa chini ndani ya CHADEMA kati ya viongozi wake, ingawa viongozi wake wamekuwa wakifanya kila jitihada kuficha

Tukio la hivi karibuni viongozi wake wamekuwa wakifanya kila njia kuhakikisha suala la Mnyika kumtumia sms za vitisho Mh. Mwigulu Nchemba linamalizwa nje ya vyombo vya usalama, viongozi wamekuwa wakimshutumu sana Mnyika kwa uamuzi alioufanya wa kutuma sms za vitisho kwa Nchemba hali inayokifanya chama kutumia nguvu kubwa kushughulikia suala hilo, pia wamekuwa wakimshutumu kwa uamuzi wake wa kwenda kufanya mkutano huko Singida hadi kusababisha mauaji.

Pia umetokea msuguano kati ya Mbowe na Zitto kutokana na uamuzi wa Zitto kususia kutoka nje ya Ukumbi wa Bunge pamoja na wabunge wengine wa CHADEMA baada ya kutokea msuguano kati Tundu Lissu na Werema, inasemekana siku hiyo Mbowe ambaye hakuwepo Bungeni alimtumia sms Zitto akimshutumu Zitto kwa uamuzi wake wa kubaki ukumbini wakati wenzake wanatoka nje, hata hivyo inasemekana Zitto alimjibu Mbowe kuwa suala lile lilikuwa kati ya Lissu na Werema hivyo lilikuwa halimhusu yeye,

NOTE: Kama hali iko hivi mapema itakuwaje wakikabidhiwa nchi, si watachinjana hawa

Nawasilisha!!!?

Unawasilisha nini?
 
Sasa ni dhahiri kuwa kuna mgogoro wa chini kwa chini ndani ya CHADEMA kati ya viongozi wake, ingawa viongozi wake wamekuwa wakifanya kila jitihada kuficha

Tukio la hivi karibuni viongozi wake wamekuwa wakifanya kila njia kuhakikisha suala la Mnyika kumtumia sms za vitisho Mh. Mwigulu Nchemba linamalizwa nje ya vyombo vya usalama, viongozi wamekuwa wakimshutumu sana Mnyika kwa uamuzi alioufanya wa kutuma sms za vitisho kwa Nchemba hali inayokifanya chama kutumia nguvu kubwa kushughulikia suala hilo, pia wamekuwa wakimshutumu kwa uamuzi wake wa kwenda kufanya mkutano huko Singida hadi kusababisha mauaji.

Pia umetokea msuguano kati ya Mbowe na Zitto kutokana na uamuzi wa Zitto kususia kutoka nje ya Ukumbi wa Bunge pamoja na wabunge wengine wa CHADEMA baada ya kutokea msuguano kati Tundu Lissu na Werema, inasemekana siku hiyo Mbowe ambaye hakuwepo Bungeni alimtumia sms Zitto akimshutumu Zitto kwa uamuzi wake wa kubaki ukumbini wakati wenzake wanatoka nje, hata hivyo inasemekana Zitto alimjibu Mbowe kuwa suala lile lilikuwa kati ya Lissu na Werema hivyo lilikuwa halimhusu yeye,

NOTE: Kama hali iko hivi mapema itakuwaje wakikabidhiwa nchi, si watachinjana hawa

Nawasilisha!!!?

Bila kujiuliza mara mbili wewe ni gamba uliyetumwa humu jamvini kuichafua CDM ila siku zote mmekuwa mkigundulika kutokana na hoja zenu zinakuwa hazina mashiko na ni dhaifu kama alivyo m/kiti wenu. Chakukujibu tu ni kwamba tumekusikia tumekupuuza na sasa tunaendeleza arakati zetu.
 
Leo kuna wachina wamekutwa katika harakati za kuchimba madini,kwenye mbuga ya wanyama ya Katavi pasipokuwa na mkataba maalumu...Upande wa pili watendaji ambao ndiyo wenye chama tawala wako bize kwenye mitandao,wakiwachafua viongozi wa upinzani.

Mkuu siyo kwamba walikuwa bize bali wamesha ahidiana percent yao!
 
Ni kweli kabisa tumeshikwa patamu that why tukishindwa hoja tunawatusi wale wenye hoja kuwa "sio kila mwenye nywele ana uwezo wa kufikiri,
Tumeshikwa patamu mkapa wapinzani wetu wakisema wana uchungu wa taifa hili sisi tunawaambia waende leba kujifungua.
Tumeshikwa pabaya mpaka tunatunga msg na kujitumia na kuzusha kuwa tumetumiwa na kutishiwa na wapinzani wetu.
Tumeshikwa pabaya mpaka tunaomba muongozo katikati ya hotuba ya wapinzani wetu na kuomba baadhi ya pages za hutuba husika zisisomwe mbele ya watanzania.
Aisee tusameheni msitushike pabaya hadi kufikia hatua ya kuacha kujadili hotuba za mawaziri na kuanza kushambulia wapinzani ambao hawana dola. Inshort tumepanic.
Tunaomba msamaha wakuu.

Teh na kweli!
 
Hivi, mbona huyu Ritz sijamwona kwenye ile thread inayozungumzia jinsi Riziwani anavyojilimbikizia mali Tanzania kote?

Badala ya kujadili hoja na mipango yenu ya Chadema mnamjadili Ritz Chadema bana.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom