Umeniambia niniNimeshakwambia lenie
Karibu sana JFMgeni mgeni wapendwa naomba kupokelewa.
Japo siyo mgeni JF nimeanza kusoma post miaka 8 au zaidi iliyopita ila sasa nimeamua nijiunge rasmi.
Hahahaaa. Mbona umeshutuka namna hiyo mdogo. 😅😅Umeniambia nini
My sis acha tu, na nimestuka kweli maana sijamuelewa kwakweli😄Hahahaaa. Mbona umeshutuka namna hiyo mdogo. 😅😅
Ha haaaaa shem nashukuru sana.Kwa niaba ya shemeji yangu Ulimakafu nakwambia karibu jisikie upo nyumbani mjukuu. Lol
Shem nimekusaidia kukaribisha mgeni huku. 😅😅
Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.Mgeni mgeni wapendwa naomba kupokelewa.
Japo siyo mgeni JF nimeanza kusoma post miaka 8 au zaidi iliyopita ila sasa nimeamua nijiunge rasmi.
😂😂 Pole Mdogo.My sis acha tu, na nimestuka kweli maana sijamuelewa kwakweli😄
Tuko pamoja shem mana nimeshangaa kuona hujatia neno eti. Lol.Ha haaaaa shem nashukuru sana.
Na kweli itakua alifurugwa hasa😂😂😂 Pole Mdogo.
Huenda mgeni aliffuruggwa hivyo akajikuta anachanganya madesa. 😂😂
Hahahaaaa. Haya ngoja tisubiri tione mdogo. 😀😀Ila wacha nimsubiri aje aseme, labda mgeni wetu alikua na jambo zuri anataka kuniambia half akahisi kashaniambia😁
Ha haaa.....asante shem.Tuko pamoja shem mana nimeshangaa kuona hujatia neno eti. Lol.
Wasalimie huko.