Mgeni kukaa kwako mwisho siku ngapi ?

Mgeni kukaa kwako mwisho siku ngapi ?

Kwangu
1. Mgeni awe ndugu yng au rafki au jamaa tu wote huwa nawatendea haki sawa.
2. Kama si muongeaji sn, mstaarabu, si mlevi, mpenda ibada, msafi, hagomban na wenyeji, haendekez ngono zembe, si muongo, si mlafi, ana maarifa na ufahamu, ana hekma na busara, yuko busy na mambo yake sn. TAKAA NAYE HATA MIAKA 10.
3. Nina moyo wa kusaidia watu kwa kdg nlichonacho spend kuona mtu anateseka au anaonewa, takaa naye hata miaka 10.
4. Nimewahi kukaa kwa watu baki mwaka mzma walinpenda kama mdogo wao, hawakunichukia wala kunisamanga, hata miaka 10 atakaa.
 
. Nimewahi kukaa kwa watu baki mwaka mzma walinpenda kama mdogo wao, hawakunichukia wala kunisamanga, hata miaka 10 atakaa.
Ukiwa na utu, sio mvivu, unapenda kazi na kujituma kwa ndugu utakaa hata uzeeke, ila sasa kuna wale wamekimbia kwao kisa tu hata kuosha vyombo hawataki😆😆
 
Back
Top Bottom