Daslamu watu wanakula kwa wasiwasi kinouma siku mbili tu mgeni unaanza angaliwa kwa jicho la choyo.Naona unatafuta inspiration hapa, ili umfukuze huyo mgeni wako 😁
Kama ni Daslmu mwisho siku 3, Kama nimkoani anakaa tu hata mwezi
Daslamu watu wanakula kwa wasiwasi kinouma siku mbili tu mgeni unaanza angaliwa kwa jicho la choyo.
Kama ni matembezi ya kawaida inategemeana ni uhusiano gani na nia ya kuja kwakoMgeni kukaa kwako mwisho siku ngapi ?
Hahahaa mnajaza vyoo na hamflash maji vizuri😆😆Mshaanza kutusimanga wageni🙆♂️
Pole sana mjomba wako alokua unalala nae ndo kakuchanya hayo?Hakikisha asilalale na watoto wako wadogo.
Hapa ndipo mnapotengeneza vijana machapati
Mlimani City umeiacha wapi?😁Maisha ya Hapa Yako less sana.
Mbaya zaidi unakuta mgeni anataka kwenda kila sehemu, utaskia nipeleke poster, nipeleke Beach.