Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 11,763
- 27,159
Watu wazima tushaelewa 🤣
Hii ni ID yako mpya 🤣 umechanganya tu mafaili!
Watu wazima tushaelewa 🤣
Nimecheka sanaKaribu Ila Usiwe Chawa Kama
Lucas Mwashambwa.
Yeye Anabubujikwa Na Machozi Muda Wote.
Kisa Mama Amemfikia.
Nimekupata mkuu shukrani sana.Karibu sana mkuu, nmepokea jina lako kama mwanaJF mpya.
Hvy kuna utaratibu unapaswa kuufahamu, japokuwa Sio lazima.
Humu JF kuna makundi tofauti tofauti, ukiangalia I'd za watu kuna baadhi wana bluetick na wengine wana goldtick.
Hii goldtick ni gold membership ambayo utakuwa unailipia mara mbili kwa mwaka, miezi sita 100k na miezi sita mingine ni 50k.
Hii gold membership, Ina faida lukuki ambazo wengine hawazipati, kama vile:
1: Kufuta mada
2: Ukimblock mtu haoni content zako
3: Kufuta comment za wengine kwenye mada yako
4: Utaweza kuchagua aina ya watu fulani ndio waweze kuona content zako.
nk
Mpare kwa maneno, na mimi nikitaka hiyo Goldtick, hela nalipa kwako au wapi?Karibu sana mkuu, nmepokea jina lako kama mwanaJF mpya.
Hvy kuna utaratibu unapaswa kuufahamu, japokuwa Sio lazima.
Humu JF kuna makundi tofauti tofauti, ukiangalia I'd za watu kuna baadhi wana bluetick na wengine wana goldtick.
Hii goldtick ni gold membership ambayo utakuwa unailipia mara mbili kwa mwaka, miezi sita 100k na miezi sita mingine ni 50k.
Hii gold membership, Ina faida lukuki ambazo wengine hawazipati, kama vile:
1: Kufuta mada
2: Ukimblock mtu haoni content zako
3: Kufuta comment za wengine kwenye mada yako
4: Utaweza kuchagua aina ya watu fulani ndio waweze kuona content zako.
nk
Umerejea😂😂Amen
Hapana mkuu, mimi sipokei pesa ila napokea taarifa za mhusika ili kumuwekea hy goldtick.Mpare kwa maneno, na mimi nikitaka hiyo Goldtick, hela nalipa kwako au wapi?
Hamna nimerud tu😅Watu wazima tushaelewa 🤣
Hii ni ID yako mpya 🤣 umechanganya tu mafaili!
😎ypUmerejea😂😂
ahsante mkuu,hiko chama nimekiona huku na kina suppotters wengi mpaka nimeshangaa.Karibu sana Paulo, tahadhari: kuna chama kinaitwa kataa ndoa kaa nacho mbali sana humu jukwaani.
shukrani GREAT THINKER.Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.
Umefika lini kwani humu?ahsante mkuu,hiko chama nimekiona huku na kina suppotters wengi mpaka nimeshangaa.
nimeji register juzi,ila kuanzia 2022 nilikuwa na browse kupitia google bila kuji register.Umefika lini kwani humu?
Aaah! Sawa, jambo jema karibu mengine utajionea mwenyewenimeji register juzi,ila kuanzia 2022 nilikuwa na browse kupitia google bila kuji register.