Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,967
- 8,097
🩵🫱🏻🫲🏿Barikiwa Sana!
🩵🫱🏻🫲🏿Barikiwa Sana!
western union huwa unatumia?Nisaidie mdogo wangu...
Mgeni anapigwa mapema kbsHapana mkuu, mimi sipokei pesa ila napokea taarifa za mhusika ili kumuwekea hy goldtick.
Kuna namba maalum za JF utalipia hapo.
Hapana mkuu, nisingekosa buku mbona.western union huwa unatumia?
Abonyeze ngapi kupata huduma hizo au kumpata Vishu MtataKarbu snaa kutana na jamaa anaitwa Vishu Mtata kwa huduma zote za mashangazi na wamama wenye umri mkubwa atakusaidia sana sana
Mimi ni mzee wa pasi assist tu, nishampa assist Poor Brain hivi sasa anaoga kwenye majakuzi tu sio mabafu ya passport size. Mishangazi inalea aiseeAbonyeze ngapi kupata huduma hizo au kumpata Vishu Mtata
tunafanyaje apo mkuuHapana mkuu, nisingekosa buku mbona.
Kumbe jeiefu kunakulipiaKaribu sana mkuu, nmepokea jina lako kama mwanaJF mpya.
Hvy kuna utaratibu unapaswa kuufahamu, japokuwa Sio lazima.
Humu JF kuna makundi tofauti tofauti, ukiangalia I'd za watu kuna baadhi wana bluetick na wengine wana goldtick.
Hii goldtick ni gold membership ambayo utakuwa unailipia mara mbili kwa mwaka, miezi sita 100k na miezi sita mingine ni 50k.
Hii gold membership, Ina faida lukuki ambazo wengine hawazipati, kama vile:
1: Kufuta mada
2: Ukimblock mtu haoni content zako
3: Kufuta comment za wengine kwenye mada yako
4: Utaweza kuchagua aina ya watu fulani ndio waweze kuona content zako.
nk
Ndo umuulize huyo jamaa an jamaa anashida sana aiseeee tangu mtotoMkuu me nikadhani watu wameacha hayo mambo before mwaka wa serikali kumbe bado yapo.
Ndio mkuuKumbe jeiefu kunakulipia
hapana mkuu ni chuo cha ndoto yangu,na paulo &yamal ni role models wanguMuhas ni babu yako?
Huwa naona posts za huyu jamaa ni chai ya mdalasini kabisaKwa mahitaji ya chai muone Chizi Maarifa
mkuu mbona sijawahi kuwa na account yoyoteID yako ya zamani ni inaitwaje
duuh kumbe kaanza mapema since childhoodNdo umuulize huyo jamaa an jamaa anashida sana aiseeee tangu mtoto
Mgeni we sio askari wa doria jf? Mbona siku ya kwanza tu ushaliteka jukwaa? Inaonekana wewe ni mwenyeji umeamua kuja kivingine
Tuma tu MPESA.tunafanyaje apo mkuu