ah sijatokea FB.Kama katoka FB aje taratibu humu ni JF!
Sasa vitisho kama hivi sio vizuri na wewe.Kama katoka FB aje taratibu humu ni JF!
ah kwa nini mkuuKama katoka FB aje taratibu humu ni JF!
Umetoka wapi rafiki yetu?ah sijatokea FB.
Kwani vibaya kumpa warning rafiki yetu?Sasa vitisho kama hivi sio vizuri na wewe.
We unadhani anaweza kukiri kuwa ametoka FB? hiyo inakuwa kama shambulio la aibu.Kwani vibaya kumpa warning rafiki yetu?
🤓🤓🤓🤓We unadhani anaweza kukiri kuwa ametoka FB? hiyo inakuwa kama shambulio la aibu.
Hahaahh usinisaidie ila tutakutana tu somewhere.🤓🤓🤓🤓
Na ukipigwa mawe na watumiaji wa FB sikusaidii!!
Kazana Tu kuchokoza watu!Hahaahh usinisaidie ila tutakutana tu somewhere.
Af naona siku zinavyoenda napitia evolution bila kujielewa nimekuwa mchokozi kiasi.Kazana Tu kuchokoza watu!
nje kidogo ya JF kabla hujafika TIK TOKUmetoka wapi rafiki yetu?
Mkuu me nikadhani watu wameacha hayo mambo before mwaka wa serikali kumbe bado yapo.Karbu snaa kutana na jamaa anaitwa Vishu Mtata kwa huduma zote za mashangazi na wamama wenye umri mkubwa atakusaidia sana sana
Siku wakikubonda utaelewa Tu!Af naona siku zinavyoenda napitia evolution bila kujielewa nimekuwa mchokozi kiasi.
Mimi ni martial artist mkuu, ila ntaacha uchokozi kwa heshima yako.Siku wakikubonda utaelewa Tu!
Barikiwa Sana!Mimi ni martial artist mkuu, ila ntaacha uchokozi kwa heshima yako.
ninalo mkuu kwani vpUna buku hapo mdogo wangu...?
Humu JF kuna njaa kali japo kuna CHAI ya bure.
Nisaidie mdogo wangu...ninalo mkuu kwani vp