johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,875
Hahahaaaa...... Lakini Babyato yupo.Makamba yupo Uganda anakula Bata na museven Bomba la mafuta
Kagera imetupa Waziri na Naibu waziri Nishati, ni jambo jema!
Hahahaaaa...... Lakini Babyato yupo.Makamba yupo Uganda anakula Bata na museven Bomba la mafuta
Haya majizi yanakula mali za ummaBullshit!
Hakuna lolote.
Migao itaendelea kuwepo so long as Tanesco ndiyo watoa huduma ya umeme pekee nchini.
Miaka 60 ya uhuru bado kuna mgaoKwa sababu Kalemani alilimaliza kabisa tatizo la mgao wa umeme naamini January Makamba baada ya haya matengenezo anayoyafanya kwa siku 10 siyo tu mgai utakuwa historia bali hata kiwango cha umeme unaozalishwa kitaongezeka.
Kadhalika kwa sababu sasa umeme utakuwa haupotei baada ya miundombinu kukarabatiwa ni wazi bei ya umeme mitashuka.
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Kwahiyo Tanesco ibinafsishwe?Bullshit!
Hakuna lolote.
Migao itaendelea kuwepo so long as Tanesco ndiyo watoa huduma ya umeme pekee nchini.
Bila CCM kufa maendeleo ni ndotoHahahaaaa...... Lakini Babyato yupo.
Kagera imetupa Waziri na Naibu waziri Nishati, ni jambo jema!
Ndio soon utakuwa historia!Miaka 60 ya uhuru bado kuna mgao
Aibu snMiaka 60 ya uhuru bado kuna mgao
Hahahaaaa.......utasubiri sana manka!Bila CCM kufa maendeleo ni ndoto
Imejaa vilaza kama weweHahahaaaa.......utasubiri sana manka!
Mbona nilikujibu Mkuu Nyani? Inawezekana kufanya maintenance ya kawaida bila kusitisha huduma. Tanesco hawawezi kufanya hivyo kwa sababu inaendeshwa kisiasa na sio kitaaluma. Uamuzi wa lini wafanye maintenance sio wao ni wa wanasiasa.Ifanyiwe maintenance au isifanyiwe, hiyo siyo sababu ya kusababisha migao.
Ndo maana nimeshahoji kuwa, huko kwingine mitambo yao huwa haifanyiwi maintenance?
Maana katu sijawahi sikia hata kwa lisaa limoja tu kuwa kutakuwepo na mgao wa umeme wa siku 10 kwa sababu mitambo inafanyiwa maintenance.
Hawa Tanesco wetu hawana uwezo wa kufanya maintenance kwenye mitambo yao bila kusitisha huduma? Haiwezekani kabisa kufanya hivyo?