Siamini kama bwawa la "stigler gorge" litamaliza tatizo la mgao wa umeme nchini

Upepo wa Pesa

JF-Expert Member
Aug 8, 2015
21,254
34,205
Wote tunajua bwawa hili linatumia maji ya mto/mito kama yalivyo mabwawa mengine tuliyo nayo hapa nchini.

Na kutokana na tatizo la mvua kwenye mabwawa yaliyopo tumekua tukiambiwa uzalishaji umeme umepungua kwasababu mvua zimepungua hivyo tujiandae kwa mgao.

Swali la kujiuliza ni hili..

Kwa uwepo wa mabadiliko ya tabia ya nchi na kutokana na ukweli kwamba bwawa la "stigler gorge" nalo linategemea mito/mvua je siku mvua zikipungua hatutakua na tatizo la mgao wa umeme?

NB: Hapa ninapoandika hii posti TANESCO wamekata umeme na simu ina 8% tu.
 
Kuna uwezekano mkubwa kwamba either serikali haina wataalamu wa kuishauri au ina wataalamu lakini inapuuza ushauri wao.
Tulikuwa na rais kichaa ambaye aliwahi kutamka hadharani kuwa "mmi sishauriki, ten ukinishauri ndiyo unaharibu kabisa"

Huyu ndiye aliyeanza kumwaga mipesa kwenye mradi uliopitwa na zama wa kuzalisha umeme kwa maji. Mama anaingia madarakani tayari mipesa mingi imefukiwa pale. Anachofanya mama ni kuendelea kuimwaga mipesa ili walau turudishe hata 1 ya 10 ya mipesa iliyomwagwa pale.

Lkn kiukweli kwa mabadiliko ya tabia nchi yaliyoikumba dunia kujenga bwawa ni ushamba, upumbavu na kupoteza fedha. Dunia imehama huko hivi Sasa, ipo kwenye solar energy,, wind energy, geothermal energy, wave energy na nuclear energy.
 
Tulikuwa na rais kichaa ambaye aliwahi kutamka hadharani kuwa "mmi sishauriki, ten ukinishauri ndiyo unaharibu kabisa"

Huyu ndiye aliyeanza kumwaga mipesa kwenye mradi uliopitwa na zama wa kuzalisha umeme kwa maji. Mama anaingia madarakani tayari mipesa mingi imefukiwa pale. Anachofanya mama ni kuendelea kuimwaga mipesa ili walau turudishe hata 1 ya 10 ya mipesa iliyomwagwa pale.

Lkn kiukweli kwa mabadiliko ya tabia nchi yaliyoikumba dunia kujenga bwawa ni ushamba, upumbavu na kupoteza fedha. Dunia imehama huko hivi Sasa, ipo kwenye solar energy,, wind energy, geothermal energy, wave energy na nuclear energy.
Inasikitisha sana na gesi kapewa mchina

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Tulikuwa na rais kichaa ambaye aliwahi kutamka hadharani kuwa "mmi sishauriki, ten ukinishauri ndiyo unaharibu kabisa"

Huyu ndiye aliyeanza kumwaga mipesa kwenye mradi uliopitwa na zama wa kuzalisha umeme kwa maji. Mama anaingia madarakani tayari mipesa mingi imefukiwa pale. Anachofanya mama ni kuendelea kuimwaga mipesa ili walau turudishe hata 1 ya 10 ya mipesa iliyomwagwa pale.

Lkn kiukweli kwa mabadiliko ya tabia nchi yaliyoikumba dunia kujenga bwawa ni ushamba, upumbavu na kupoteza fedha. Dunia imehama huko hivi Sasa, ipo kwenye solar energy,, wind energy, geothermal energy, wave energy na nuclear energy.
'Mjenzi' alijua vizuri 10% ya kwenye kujenga bwawa ni nono, hakuwa na haja ya kutafuta source ya kupata umeme rahisi au efficient zaidi.
 
Tulikuwa na rais kichaa ambaye aliwahi kutamka hadharani kuwa "mmi sishauriki, ten ukinishauri ndiyo unaharibu kabisa"

Huyu ndiye aliyeanza kumwaga mipesa kwenye mradi uliopitwa na zama wa kuzalisha umeme kwa maji. Mama anaingia madarakani tayari mipesa mingi imefukiwa pale. Anachofanya mama ni kuendelea kuimwaga mipesa ili walau turudishe hata 1 ya 10 ya mipesa iliyomwagwa pale.

Lkn kiukweli kwa mabadiliko ya tabia nchi yaliyoikumba dunia kujenga bwawa ni ushamba, upumbavu na kupoteza fedha. Dunia imehama huko hivi Sasa, ipo kwenye solar energy,, wind energy, geothermal energy, wave energy na nuclear energy.
Waume zako wazungu bado wanajenga mabwawa ya umeme, unafikiri hawajui kwamba bwawa la maji ya kuzalisha umeme yamepitwa na wakati?

 
Tulikuwa na rais kichaa ambaye aliwahi kutamka hadharani kuwa "mmi sishauriki, ten ukinishauri ndiyo unaharibu kabisa"

Huyu ndiye aliyeanza kumwaga mipesa kwenye mradi uliopitwa na zama wa kuzalisha umeme kwa maji. Mama anaingia madarakani tayari mipesa mingi imefukiwa pale. Anachofanya mama ni kuendelea kuimwaga mipesa ili walau turudishe hata 1 ya 10 ya mipesa iliyomwagwa pale.

Lkn kiukweli kwa mabadiliko ya tabia nchi yaliyoikumba dunia kujenga bwawa ni ushamba, upumbavu na kupoteza fedha. Dunia imehama huko hivi Sasa, ipo kwenye solar energy,, wind energy, geothermal energy, wave energy na nuclear energy.
Angalau umeme hata uwe wa uhakika kipindi cha masika,
 
Wote tunajua bwawa hili linatumia maji ya mto/mito kama yalivyo mabwawa mengine tuliyo nayo hapa nchini.

Na kutokana na tatizo la mvua kwenye mabwawa yaliyopo tumekua tukiambiwa uzalishaji umeme umepungua kwasababu mvua zimepungua hivyo tujiandae kwa mgao.

Swali la kujiuliza ni hili..

Kwa uwepo wa mabadiliko ya tabia ya nchi na kutokana na ukweli kwamba bwawa la "stigler gorge" nalo linategemea mito/mvua je siku mvua zikipungua hatutakua na tatizo la mgao wa umeme?

NB: Hapa ninapoandika hii posti TANESCO wamekata umeme na simu ina 8% tu.
Tunajenga bwawa la kuhifadhi maji takribani ujazo zaidi ya billion.

Hakutakuwa na tishio la mabadiliko ya hali ya hewa kwa miaka 200

Pia unatakiwa ujue tangu dunia iwe na maji, hayajawahi kupungua
 
Bwawa Namna Lilivyojengwa Ni Suluhisho Kwa Tatizo La Umeme Tanzania Yote
Maana Ujenzi Wake Linaweza Kutunza Maji Yake Msimu Mmoja Wa Mvua Mpaka Mwingine Huku Likifanya Uzalishaji Kila Siku Bila Tatizo Lolote



*Angalizo Tu Ambalo Ni Chachu Ila Ndiyo Ukweli
Viongozi Na CCM Hawawezi Kukubali Umeme Upatikane Nchi Yote
Mfano Sasa Wamesema Bei Haishuki, Wakati Jiwe Alisema Tutaupata Kwa Bei Nafuu




Tanzania Viongozi Na CCM Hawataki Watu Wapate Raha
 
Wote tunajua bwawa hili linatumia maji ya mto/mito kama yalivyo mabwawa mengine tuliyo nayo hapa nchini.

Na kutokana na tatizo la mvua kwenye mabwawa yaliyopo tumekua tukiambiwa uzalishaji umeme umepungua kwasababu mvua zimepungua hivyo tujiandae kwa mgao.

Swali la kujiuliza ni hili..

Kwa uwepo wa mabadiliko ya tabia ya nchi na kutokana na ukweli kwamba bwawa la "stigler gorge" nalo linategemea mito/mvua je siku mvua zikipungua hatutakua na tatizo la mgao wa umeme?

NB: Hapa ninapoandika hii posti TANESCO wamekata umeme na simu ina 8% tu.
HALIMALIZI KAMWE NCHI YA KISWAHILI SANA

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Tulikuwa na rais kichaa ambaye aliwahi kutamka hadharani kuwa "mmi sishauriki, ten ukinishauri ndiyo unaharibu kabisa"

Huyu ndiye aliyeanza kumwaga mipesa kwenye mradi uliopitwa na zama wa kuzalisha umeme kwa maji. Mama anaingia madarakani tayari mipesa mingi imefukiwa pale. Anachofanya mama ni kuendelea kuimwaga mipesa ili walau turudishe hata 1 ya 10 ya mipesa iliyomwagwa pale.

Lkn kiukweli kwa mabadiliko ya tabia nchi yaliyoikumba dunia kujenga bwawa ni ushamba, upumbavu na kupoteza fedha. Dunia imehama huko hivi Sasa, ipo kwenye solar energy,, wind energy, geothermal energy, wave energy na nuclear energy.
Mtu yoyote anayetaja Solar Energy na wind Energy basi anathibitisha uelewa mdogo kwenye masuala ya nishati na sayansi.

Duniani ukizichukua nchi zote unazozijua umeme wa Jua, solar na hizo nishati jadidifu ni 1% tu.
 
Bwawa Namna Lilivyojengwa Ni Suluhisho Kwa Tatizo La Umeme Tanzania Yote
Maana Ujenzi Wake Linaweza Kutunza Maji Yake Msimu Mmoja Wa Mvua Mpaka Mwingine Huku Likifanya Uzalishaji Kila Siku Bila Tatizo Lolote



*Angalizo Tu Ambalo Ni Chachu Ila Ndiyo Ukweli
Viongozi Na CCM Hawawezi Kukubali Umeme Upatikane Nchi Yote
Mfano Sasa Wamesema Bei Haishuki, Wakati Jiwe Alisema Tutaupata Kwa Bei Nafuu




Tanzania Viongozi Na CCM Hawataki Watu Wapate Raha
Asante kwa Elimu
 
Waume zako wazungu bado wanajenga mabwawa ya umeme, unafikiri hawajui kwamba bwawa la maji ya kuzalisha umeme yamepitwa na wakati?

Hatuongelei wazungu tunaongelea Tanzania. Mazingira ya wazungu ni tofauti na yetu.

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom