<br />Nauliza kama mgao umeanza upya..manake toka jana kijitonyama tanesco wanachukua umeme wao saa kumi na mbili asubuhi na kurudisha kumi na mbili jioni...hii imekaaje?
Mambo ni Zagazaga na imekaa Zagazaga, bahasha za JAIRO ziligawiwa kwa wabunge na Mawaziri Zagazaga.Nauliza kama mgao umeanza upya..manake toka jana kijitonyama tanesco wanachukua umeme wao saa kumi na mbili asubuhi na kurudisha kumi na mbili jioni...hii imekaaje?
manake toka jana kijitonyama tanesco wanachukua umeme
Serikali ya CCM imewadekeza sana nyinyi, hata ninyi wa kijitonyama mnataka umeme? ili mfanyie nini kwa mfano? Haya madai kuna siku watu wa mbagara charambe nao watadai taa za bara barani kama wa magomeni.
Ndugu hiyo nafuu unayozungumzia niipi huku sijawahi kuona siku inapita umeme haujakatika au tukapata umeme hata kwa masaa nane yani ukikatika saa moja asubuhi nimpaka saa tano usiku au nyie wa jijini mnapendelewa?The Boss;2372377]mgao hukuisha
nafuu ilikuja ili bajeti ipite tu..
sasa kila mtu ki mpango wake
Nauliza kama mgao umeanza upya..manake toka jana kijitonyama tanesco wanachukua umeme wao saa kumi na mbili asubuhi na kurudisha kumi na mbili jioni...hii imekaaje?
wewe ni TaHiRa
<br /> <br / acha uchokazi watu wanahasira utatu.k.a.nywa weye<font color="#008000"><b>Sidhani kama kuna mgawo tatizo lenu hamjalipa bili za Tanesco mnazodaiwa mnasingia mgawo !!!</b></font>
#Sidhani kama kuna mgawo tatizo lenu hamjalipa bili za Tanesco mnazodaiwa mnasingia mgawo !!!
<br /> <br / acha uchokazi watu wanahasira utatu.k.a.nywa weye