marejesho
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 6,634
- 3,660
<br />
<br />
mmh!kwani mgao uliisha bandugu?huku mikoani maumivi palepale!
Na mie wa Arusha nilitaka kuuliza hivyo hivyo.....Huku maumivu ni makali balaa...Kama ni mgonjwa,basi yuko ICU
<br />
<br />
mmh!kwani mgao uliisha bandugu?huku mikoani maumivi palepale!
Nauliza kama mgao umeanza upya..manake toka jana kijitonyama tanesco wanachukua umeme wao saa kumi na mbili asubuhi na kurudisha kumi na mbili jioni...hii imekaaje?
Nauliza kama mgao umeanza upya..manake toka jana kijitonyama tanesco wanachukua umeme wao saa kumi na mbili asubuhi na kurudisha kumi na mbili jioni...hii imekaaje?
swala ni kwamba waziri alisema makali ya mgao yamepungua lakini baada ya bajeti makali yameongezeka hiyo ndo issue hapa.Kwani ni lini uliambiwa kuwa mgao umeisha? mimi nilimsikia Waziri wa nishati akisema mgao utakwisha December, sasa wewe ulikuwa na kauli mbadala dhidi ya aliyoitoa waziri?
swala ni kwamba waziri alisema makali ya mgao yamepungua lakini baada ya bajeti makali yameongezeka hiyo ndo issue hapa.
<br />Nauliza kama mgao umeanza upya..manake toka jana kijitonyama tanesco wanachukua umeme wao saa kumi na mbili asubuhi na kurudisha kumi na mbili jioni...hii imekaaje?
Aisee! Poleni sana... Kazi kwelikweli...tusubiri tuone mwisho wake..Huku Mkoa wa Mwanza na wilaya zote yaani Sengerema, Geita, Magu, Kwimba n.k kote hakuna umeme leo ni siku ya TANO. Meneja wa mkoa wa Tanesco amesema waulizeni Serikali, megawati zimebaki 4 tu toka 46 zilizokuwa zinahitajika, hivyo ameona bora azigawe kwenye Hosptali ya Bugando na Seketoure.