Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 8,848
- 15,252
Angetakiwa akate rufaa ili kesi iende mahakama ya rufaa, maelezo na ushahidi wote angeutolea hukoMbona watu mna uelewa mdogo hivi?
Hapa tunachangia under speculation what if
He was not guilty
What if alishindwa Tu kujieleza vizuri..
Aliekwambia hapa tunamtetea nani?
Au tunaunga mkono alichofanya kama kafanya kweli nani?