Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,240
- 5,248
Uchumi unafunguka na watu wanalia njaa humu!We kaa hapo kijiweni uendelee kuisubilia utaona moto wa maisha.
Saizi uchumi unafunguka , uwekezaji unaongezeka changamkia fursa.
Subilia kulaumu serikali utaisoma namba