Mfumuko wa bei kuanza wiki ya Jumatatu inayokuja

Mfumuko wa bei kuanza wiki ya Jumatatu inayokuja

Mbepo yamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2012
Posts
1,384
Reaction score
2,082
Serikali ni kama imetoa greenlight kwa wafanyabiashara kupandisha bei ya bidhaa mbalimbali kuanzia wiki ijayo. Hata maduka kwa sasa order yoyote hawatoi, wanakuam subiri bei mpya kuanzia Jumatatu.

Watanzania tunalo chizi letu na tumeamua kuishi nalo, nahisi
 
😁😄😃😀🪡🪡😅😆😟🪡🪡🪡🪡🪡🪡
 
Naombea sana hili likuje kwa kasi ya juu kabisa, ili machawa na vichwa maji vya maccm labda yatazinduka

Sisi wazalendo tunapoamua kukataa uhuni wa viongozi wa CCM na kuikataa CCM, siyo kwamba hatuna akili na siyo kwamba tunachuki nao

Bali ni ukweli kwamba, CCM imewakusudia maisha mabaya saana Watanzania

Shida zoote wanazopitia Watanzania, ni akili duni za viongozi wa CCM
 
Kwa mfumuko wa bei ni nini

Kwani bidhaa zina bei ileile

Nyie kaeni msubiri nyama inavyofika 20000.. Sasa sisi wa kipato kisichoeleweka ndio tutaelewa kwa nini sukuma wiki ni maarufu Kenya na zinawekewa hadi viungo vyenye ladha ya nyama
 
Back
Top Bottom