Mbepo yamba
JF-Expert Member
- Aug 5, 2012
- 1,384
- 2,082
Serikali ni kama imetoa greenlight kwa wafanyabiashara kupandisha bei ya bidhaa mbalimbali kuanzia wiki ijayo. Hata maduka kwa sasa order yoyote hawatoi, wanakuam subiri bei mpya kuanzia Jumatatu.
Watanzania tunalo chizi letu na tumeamua kuishi nalo, nahisi
Watanzania tunalo chizi letu na tumeamua kuishi nalo, nahisi