lkn analiwa na bakteria!Atakuwa ni freemanson!
Mkuu Mshana una hatari, ngoja tutafute picha sio tuu za jeneza, bali jinsi alivyokufa, nini kilimuua, sababu za kuuliwa, mwili iliwekaje, kisha ulizikwaje, tuzame hadi kwa mwanandani, na kueleza wale watu wanne wanaoshuka ndani huenda kufanya nini mule? !.
Duuu kuna mengine nilikuwa siyafahamu hapaMkuu Mshana una hatari, ngoja tutafute picha sio tuu za jeneza, bali jinsi alivyokufa, nini kilimuua, sababu za kuuliwa, mwili iliwekaje, kisha ulizikwaje, tuzame hadi kwa mwanandani, na kueleza wale watu wanne wanaoshuka ndani huenda kufanya nini mule? !.
Pasco
Ndugu yangu Mshana, mambo mengine waachie wenyewe!. Ndio maana mode aliamua mambo yote yanayogusa imani za watu, yawe na jukwaa lake, kule waingie wale tuu wenye mioyo mikubwa kustahimili vinginevyo watu tulikuwa mpaka tunanuniana humu, usilete maukweli mengine watu wakanuniana hapa, mfano kuna wanaoabudu sanamu, wapo wanaoabudu vivyago, wapo wanaoabudu mapepo, etc, sasa ikitokea mwenzako anaabudu sanamu iliyochongwa na kumuita ni mungu, kisha wewe uite ni kinyago, atakununia mungu wake umemuita kinyago! . Au wale waabudu mapepo ukiwaambia ni shetani, watakununia! . Mungu wa kweli ni mmoja tuu, The One and Only God, Father The Almighty God, wengine wote ni gods! .Duuu kuna mengine nilikuwa siyafahamu hapa
Zipo dawa za kumzuia asifikiwe na bacteria. Askofu wa KKKT alozikwa pale Cathedral Bukoba mjini hadi sasa yuko vilevile. Chezea sayansi wewe!lkn analiwa na bakteria!
Naomba haya yaliotajwa hapo juu yaelezwe kwa undaniMkuu Mshana una hatari, ngoja tutafute picha sio tuu za jeneza, bali jinsi alivyokufa, nini kilimuua, sababu za kuuliwa, mwili iliwekaje, kisha ulizikwaje, tuzame hadi kwa mwanandani, na kueleza wale watu wanne wanaoshuka ndani huenda kufanya nini mule? !.
Pasco
Very interesting..
Ficha umbumbumbu wakati mwingine .Atakuwa ni freemanson!
Yanayowahusu wanayajua, ushauri ni kama hayakuhusu waachie wenyewe yanayowahusu! . Usizungumzie yasiyokuhusu ili usiwakere yanayowahusu! .Naomba haya yaliotajwa hapo juu yaelezwe kwa undani
hapo mkuu Pasco naomba ufafanuzi tafadhari hata kwa PMMkuu Mshana una hatari, ngoja tutafute picha sio tuu za jeneza, bali jinsi alivyokufa, nini kilimuua, sababu za kuuliwa, mwili iliwekaje, kisha ulizikwaje, tuzame hadi kwa mwanandani, na kueleza wale watu wanne wanaoshuka ndani huenda kufanya nini mule? !.
Pasco