Mfumo wa jeneza la Papa (pope)

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,632
697,750
1472294462348.jpg
 
Mkuu Mshana una hatari, ngoja tutafute picha sio tuu za jeneza, bali jinsi alivyokufa, nini kilimuua, sababu za kuuliwa, mwili iliwekaje, kisha ulizikwaje, tuzame hadi kwa mwanandani, na kueleza wale watu wanne wanaoshuka ndani huenda kufanya nini mule? !.

Pasco
Duuu kuna mengine nilikuwa siyafahamu hapa
 
Duuu kuna mengine nilikuwa siyafahamu hapa
Ndugu yangu Mshana, mambo mengine waachie wenyewe!. Ndio maana mode aliamua mambo yote yanayogusa imani za watu, yawe na jukwaa lake, kule waingie wale tuu wenye mioyo mikubwa kustahimili vinginevyo watu tulikuwa mpaka tunanuniana humu, usilete maukweli mengine watu wakanuniana hapa, mfano kuna wanaoabudu sanamu, wapo wanaoabudu vivyago, wapo wanaoabudu mapepo, etc, sasa ikitokea mwenzako anaabudu sanamu iliyochongwa na kumuita ni mungu, kisha wewe uite ni kinyago, atakununia mungu wake umemuita kinyago! . Au wale waabudu mapepo ukiwaambia ni shetani, watakununia! . Mungu wa kweli ni mmoja tuu, The One and Only God, Father The Almighty God, wengine wote ni gods! .


Pasco
 
Mkuu Mshana una hatari, ngoja tutafute picha sio tuu za jeneza, bali jinsi alivyokufa, nini kilimuua, sababu za kuuliwa, mwili iliwekaje, kisha ulizikwaje, tuzame hadi kwa mwanandani, na kueleza wale watu wanne wanaoshuka ndani huenda kufanya nini mule? !.

Pasco
Naomba haya yaliotajwa hapo juu yaelezwe kwa undani
 
Lengo kuu hapa ninkuleta conspiracies na story za kusadikika ila maamum a tu ndio husadiki.
 
Naomba haya yaliotajwa hapo juu yaelezwe kwa undani
Yanayowahusu wanayajua, ushauri ni kama hayakuhusu waachie wenyewe yanayowahusu! . Usizungumzie yasiyokuhusu ili usiwakere yanayowahusu! .

Mfano mdogo ni huu, kuna watu wana imani ya kuamini kuwa Yesu ni Mungu! .
Wengine Yesu ni Mwana wa Mungu hivyo ni Mungu! .
Imani nyingine hakuna Mungu isipokuwa Allah Subhanahu wa ta'ala na Muhammed (SAW ) ni Mtume wao, hivyo kwao Yesu sii Mungu wala Mungu hana mwana! . Kitendo tu cha kusema Yesu sii Mungu, ni machukizo kwa waumini wa Yesu ni Mungu! ,hivyo kwa ushauri wa jf, kama Yesu hakuhusu awe ni Mungu au Sii Mungu, waachie wenyewe! .

Vivyo hivyo kwa wale wanaoamini kuwa Allah si Mungu bali ni shetani fulani na huyo mtume wake ni mtume wa shetani fulani, maadam hakuhusu, waachie wenyewe, huna sababu ya kutoa taarifa zitakazo kwaza imani za watu humu! .

Kila mtu awe huru kuamini anacho amini mfano mimi ni muumini wa dini yetu ya asili, hatuna mwisho wa idadi ya wanawake wa kuoa, sipaswi kubezwa katika hili na wala nisiitwe mpagani au dini yangu kubezwa kuwa ni dini ya kishenzi! , naweza kumloga mtu zile sehemu zake za. .. zihamie usoni, ya kiume ikae puani ya kike ikae mdomoni, ujione utaiweka wapi sura yako! ,msicheze na imani za watu! .

Pasco
 
Mkuu Mshana una hatari, ngoja tutafute picha sio tuu za jeneza, bali jinsi alivyokufa, nini kilimuua, sababu za kuuliwa, mwili iliwekaje, kisha ulizikwaje, tuzame hadi kwa mwanandani, na kueleza wale watu wanne wanaoshuka ndani huenda kufanya nini mule? !.

Pasco
hapo mkuu Pasco naomba ufafanuzi tafadhari hata kwa PM
 
Pasco na mshana jr mimi bado naomba ufafanuzi nahitaji kujua bado sababu napenda kujifunza nisivyovijua kama sio kupunguza ujinga
Nitajitahidi kufanya hivyo kwa kadiri ya ufahamu wangu na hata wale waliotaka tafsiri ya kiswahili pia wanivumilie
 
Back
Top Bottom