unamtamani shemeji yako?
Namtamani KIVIPI mkuu, mi nilikuwa NAMKUBALI KUWA KAWEKWA KWENYE CHUPA KATULIA TULI!!!!!!!! Sasa namuangalia kwa wasiwasi huenda nae mteja wa hii mbinu ya lunch time!!!! Jioni anazuga kama ZOMBIII kumbe mchana kafaidi mambo ya The Secretary!!!!!!! Anatuchora tu tunamuona mazombiiii.
Wakubwa zangu shikamoooni!!!!!!!
Peopleeeeeeesss NIAJE!!!!!!!!!!!!!
Bwana wale ndugu zetu sugu, wataka yote kwa pupa, wazee wa MORE is prefered to LESS, wanaoenda contrary na law of demand kama LUXURY GOODS, The Higer the price they are charged the higher their demand!!!!!!!! Kwa lugha nyepesi ni CHEATERSSSSSSSSSS!!!!!!!! wamebuni mbinu mpya ya KUFAIDI MTI WA KATI bila bugdha za wapenzi au wake/waume zao. Mbinu hii ni ya KIMAFYA zaidi na si rahisi kuishtukia hadi siku ya 60.
Ujue mi ofisini kuna tabia flani hivi mida ya saa 6 mpaka 8 watu hawaonekani, na kila mtu kaondoka kivyake si ndo nikajua tu wanaenda KULA LUNCH bana!!!!!
Sasa juzi kati hapa kuna mtu aliniomba nimsaidie biashara yake ya Kussuply vitu mahotelini na bar yeye anafanya MITIHANI. Nikakubali bana, Kila hoteli nikifika saa 6,7,8 VYUMBA VIMEJAAA!!!!!!!!!! Basi mi nadeliver mzigo nasepa!!!! Curiousty killed the Cat, ikabidi niulize "Inamaana BIASHARA NZURI HIVO HADI SAA 6 MMEJAZA VYUMBA VYOTE????" Si ndo akatiririka siri za biashara "HAWA WENGI SHORT TIME TU, WAMETOKA MAKAZINI HUKO WANAKUJA KUSHITUA VIWILI VYA FASTA AFU WANARUDI KUENDELEA NA KAZI!!!!!!!!!!! WENGINE WANAKUJA NA WANAFUNZI HAPA AFU WATOTO WANARUDI KWAO SAFI!!!!!!!!!!! we njoo saa 10 utakuta vyumba vipo teleeee!" DUUUUUUUUUUUUUH!!!!!!! UTRATRAAAAAA!!!!!! aadhubillahimina shaytwani rajim!
Si ndo nikajuaaaaa!!!!!!!! Ndo maana watu wakitoka lunch wanarudi na mood nzuri!!!!!!!! Afu badala ya lisaa wanakaa hadi 2 au 3 WALA NINI HICHO WENZETU KAMA SIO BAMIA !!!!! Ndomaana Accountant UKIFATA CHEKI MCHANA ANAFURAHI HUYO, OLE WAKO UMZUKIE ASUBUHI, ALMANUSURA KUKUTWANGA KICHWA!!!!! Nikasema ipo haja kumuuliza mtu anakula wapi NIMUIBUKIE HUKO HUKO isijekuwa ananizuga!!!!!!! Kweli watu nundaaaa, jioni unarudi kwa mumeo/mkeo mwepesiiiiii wa roho, na mchoooovu kwa KAZI za mchana kutwaaa!!!!!!!! SAA KUMI NA MOJA JIONI WIFE/HUBBY YUPO SEBULENI ANACHEZA NA WATOTO!!!!!!!!!!!!
Nipo curious na walio kwenye thread hii bila kuchangia
waweza nipa explanation ?
nini inaendelea?
Mwana, kwanza your respect. Yaani you are talented. Yaani unamuandikia mtu story inakuwa kama anaona matukio yote. Yaani ni zadi ya kuangalia 'Big Time Kinyaa Bongo movie'. Mchongo: Tafuta column kwenye nyuz pepa flani. Aaaaahhh!! lazima unikamate. Dah! huwa namis sana tells za namna hii. Streets kuna talents kibao ila mijengoni wamekaa siyo kabisa. Salute.
HAHAHAHAAAAAAAAAAA!!!! Ngoja na mimi nisave, MKUU WA KAYA, MIZINGUO PINDE, RITZ 1, RICH MONDULI, ROSTI TAMU, NAPEE NAUYEE, SAMUEL SABA, AYUBU NDUNGAII, SALMA KIKWET, Zikipigwa hata Usiku wa manane NASEMA SIMU ZA CHAMA HIZIII!!!!!! Huoni MIJINA YOTE YA KIFISADI, TUSHATOKA KIMAISHA!!!!! LOL!
Mbona hiyo kawaida shosti....
Mi wanionea BUREEEEE!!!!! Mi nimekuja hapa KUULIZA UTAJUAJE MMEO/BF NI MZEE WA KUTINGA CHOBINGO MIDA YA LUNCH!!!! Angali he is so SWEET, Saa 11 jioni yupo jikoni anakukatia nyanya na kitunguu upike vizuri, hatoki tena hadi kesho! HOW DO YOU START DOUBTING HIM IN THE 1ST PLACE!!!!!!!!!!? Si ndo jitu litacheat mpaka ETERNITY!!!!!!!!!
Nipo curious na walio kwenye thread hii bila kuchangia
waweza nipa explanation ?
nini inaendelea?
Mimi naomba kuuliza huko hotelini ulikuwa unasupply nini mwenzetu? Nauliza kwa wema tu manake si mbaya tukishea mahusiano na business kidogo. Naomba nijuze hiyo biashara yako, wana jamvi tupendane?
Samahani lakini kama ulikuwa umeenda kubinjuka na si kibiashara.
lara 1 mi sikuwezi ila unayoongea ni kweli.Umejipanga vipi kunusuru ndoa ya Wiyelele inayovunjwa na housegirl wake? Uko wewe, Kongosho, Zion Daughter, Badili Tabia, Asprin, Preta na Ciello!!Mi ningependa Wiyelele akutane na wewe live ili umshushie vitu vyako.
You do sounds like her...
either you are her or you have the same talent..just saying..
Taarifá pia ni kwamba Embassy Hotel si mnaiona haina lolote! Basi ndio maarufu sana kwa shughuli hiyo. Mchana pako busy pale. Wateja wanapitia mlango wa nyuma!