Mfumo dhaifu wa uajiri askari ndani ya vyombo vya usalama unaweza kupitisha majambazi na wauwaji hali inayoweza kuhatarisha usalama wa taifa

Mfumo dhaifu wa uajiri askari ndani ya vyombo vya usalama unaweza kupitisha majambazi na wauwaji hali inayoweza kuhatarisha usalama wa taifa

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
3,560
Reaction score
7,914
Mfumo dhaifu wa uajiri askari ndani ya vyombo vya usalama unaweza kupitisha majambazi na wauwaji hali inayoweza kuhatarisha usalama wa taifa.

Badala ya vyombo vya usalama kulinda raia vinakuwa vinajihusisha na ujambazi
 
Eti mtendaji wa kata ndiye mwajiri na msimamizi wa ajira hizo kwa ngazi ya kata? Jeshi la polisi linapaswa kusajili na kuajiri lenyewe
 
Mfumo dhaifu wa uajiri askari ndani ya vyombo vya usalama unaweza kupitisha majambazi na wauwaji hali inayoweza kuhatarisha usalama wa taifa.

Badala ya vyombo vya usalama kulinda raia vinakuwa vinajihusisha na ujambazi
Pplosi apigi risasi bila amri kutoka juu mnazunguka mbuyu ila ukweli usemwe viongozi wetu wanashida na wanatakiwa wabadilike.
 
Acha kuzunguka sana bwana

Wanapiga risasi bila kutumwa? Nani anawatuma tuanze na huyo kwanza
 
Mfumo dhaifu wa uajiri askari ndani ya vyombo vya usalama unaweza kupitisha majambazi na wauwaji hali inayoweza kuhatarisha usalama wa taifa.

Badala ya vyombo vya usalama kulinda raia vinakuwa vinajihusisha na ujambazi
The Biggest Street gang is the Police Department.(PD)

Street is saying that, out of all the high-powered, criminal street gangs, the largest and most dangerous of them all is the PD itself! This is due to police brutality and street says that this makes the PD more criminals than the gangs.
 
Back
Top Bottom