Genius Man
JF-Expert Member
- Apr 7, 2024
- 3,560
- 7,914
Mfumo dhaifu wa uajiri askari ndani ya vyombo vya usalama unaweza kupitisha majambazi na wauwaji hali inayoweza kuhatarisha usalama wa taifa.
Badala ya vyombo vya usalama kulinda raia vinakuwa vinajihusisha na ujambazi
Badala ya vyombo vya usalama kulinda raia vinakuwa vinajihusisha na ujambazi