Mfaume Kawawa akutana na Kambarage!

Lole Gwakisa

JF-Expert Member
Nov 5, 2008
4,728
2,259
Hii imetokea siku ya mwisho ya mwaka 2009, sehemu fulani mawinguni huko!
Kambarage:Ah! ngoja nikapumzike hapo nje kwenye kibaraza changu hapo
nje, nimechoka kusoma.
Mhhh! nani yule anakuja, kama namfahamu,si Rashidi yule??
Waooo!! Simba wa Vita karibu sana huku kwenye utulivu.
Nilijua utakuja muda si mrefu, maana jana nilidokezwa na
Mkuu wa Kaya huku, kuwa yule mwadilifu mliyekuwa pamoja ndio yuko njiani anakuja

Rashidi : Loh, ahsante sana kaka yangu Julius.
Kumbe safari uliyoipita ilikuwa ngumu kweli kweli, lakini
nashukuru nimefika ingawaje nimechoka kweli kweli

Kambarage: Huku ulikokuja ni kwa watu waadilifu, tena nyumba yako
ilee inayowaka taa, kuna kila kitu unachopenda mle.

Rashidi : Duh! na Sofia yumo mle?

Kambarage: Nilimwona juzi akisafisha safisha sebule, alisikia juu ya
ujio wako!

Rashidi :Niambie kaka yangu Julius, Sokoine yu wapi?

Kambarage: Ngoja kwanza, tulia keti hapo. Nipe habari za huko
nyumbani Tanzania, nasikia kunaitwa bongo siku hizi!
Nilimwacha Mkapa kwenye usukani

Rashidi :Julius, Julius nimefika na moyo mzito sana
Tulichopigania wakati wa uhuru Mkapa ndo kakirudisha kwa
wanyonyaji leo hii.
Kijana yule uliyekataa hata kunywa naye chai leo ndiye
rais.Lakini yeye hana matatizo ila yule kijana mwingine
Lowassa uliyemkataa kwa kupata utajiri wa kutisha ana
msumbua sana Kikwete.

Kambarage:Loh! Loh! Loh! na chama changu je??

Rashidi : Huko ndo usiseme!
Nashindwa kukiita kuwa ni chama cha mapinduzi,bora kinge
badilishwa kuwa chama cha kuwaasi wananchi.Kuna ufisadi
yaani wizi wa kila aina.Unakumbuka lile jengo la Vijana
lililojengwa kwa msaada wa waKorea?,kiwanja kimeuzwa sijui
au kuingia ubia na wanyonyaji. Vile vile ule mradi wa kina mama
pale Morocco mambo yale yale! Nina hofu na Lumumba.
Yule kijana wako Kingunge mkomunisti, leo amekuwa mjasiria
mali mjanja mjanja .

Kambarage: Basi ! basi ! Basi! Rashidi tulia kidogo na kapumzike!
Mimi ngoja nikasali kwa siku nzima ya leo.
Kesho nionane na Mkuu wa Kaya!
 
Lole, hii ingesubiri baada ya kupumzishwa, sometime kwenye very serious issue infront of us, craking a joke may look like insult.
 
Hii imetokea siku ya mwisho ya mwaka 2009, sehemu fulani mawinguni huko!
Kambarage:Ah! ngoja nikapumzike hapo nje kwenye kibaraza changu hapo
nje, nimechoka kusoma.
Mhhh! nani yule anakuja, kama namfahamu,si Rashidi yule??
Waooo!! Simba wa Vita karibu sana huku kwenye utulivu.
Nilijua utakuja muda si mrefu, maana jana nilidokezwa na
Mkuu wa Kaya huku, kuwa yule mwadilifu mliyekuwa pamoja ndio yuko njiani anakuja

Rashidi : Loh, ahsante sana kaka yangu Julius.
Kumbe safari uliyoipita ilikuwa ngumu kweli kweli, lakini
nashukuru nimefika ingawaje nimechoka kweli kweli

Kambarage: Huku ulikokuja ni kwa watu waadilifu, tena nyumba yako
ilee inayowaka taa, kuna kila kitu unachopenda mle.

Rashidi : Duh! na Sofia yumo mle?

Kambarage: Nilimwona juzi akisafisha safisha sebule, alisikia juu ya
ujio wako!

Rashidi :Niambie kaka yangu Julius, Sokoine yu wapi?

Kambarage: Ngoja kwanza, tulia keti hapo. Nipe habari za huko
nyumbani Tanzania, nasikia kunaitwa bongo siku hizi!
Nilimwacha Mkapa kwenye usukani

Rashidi :Julius, Julius nimefika na moyo mzito sana
Tulichopigania wakati wa uhuru Mkapa ndo kakirudisha kwa
wanyonyaji leo hii.
Kijana yule uliyekataa hata kunywa naye chai leo ndiye
rais.Lakini yeye hana matatizo ila yule kijana mwingine
Lowassa uliyemkataa kwa kupata utajiri wa kutisha ana
msumbua sana Kikwete.

Kambarage:Loh! Loh! Loh! na chama changu je??

Rashidi : Huko ndo usiseme!
Nashindwa kukiita kuwa ni chama cha mapinduzi,bora kinge
badilishwa kuwa chama cha kuwaasi wananchi.Kuna ufisadi
yaani wizi wa kila aina.Unakumbuka lile jengo la Vijana
lililojengwa kwa msaada wa waKorea?,kiwanja kimeuzwa sijui
au kuingia ubia na wanyonyaji. Vile vile ule mradi wa kina mama
pale Morocco mambo yale yale! Nina hofu na Lumumba.
Yule kijana wako Kingunge mkomunisti, leo amekuwa mjasiria
mali mjanja mjanja .

Kambarage: Basi ! basi ! Basi! Rashidi tulia kidogo na kapumzike!
Mimi ngoja nikasali kwa siku nzima ya leo.
Kesho nionane na Mkuu wa Kaya!


Gwakisa,

Kama wewe unatoka kwenye kabila la watani wa marehemu, unaruhusiwa kabisa kutoa utani wa aina hii wakati wa mazishi kule kule mazikoni ukiwa unajitolea kusaidia shughuli za mazishi ili unyutralaizi makali ya majonzi , siyo kwenye mtandao kama huu katika thead ambao haina utani na kuna watu bado wana majonzi.
 
Gwakisa,

Kama wewe unatoka kwenye kabila la watani wa marehemu, unaruhusiwa kabisa kutoa utani wa aina hii wakati wa mazishi kule kule mazikoni ukiwa unajitolea kusaidia shughuli za mazishi ili unyutralaizi makali ya majonzi , siyo kwenye mtandao kama huu katika thead ambao haina utani na kuna watu bado wana majonzi.

mbona julius hamwelezi rashid aliko sokoine wetu? au naye alihusika *****?
 
Gwakisa,

Kama wewe unatoka kwenye kabila la watani wa marehemu, unaruhusiwa kabisa kutoa utani wa aina hii wakati wa mazishi kule kule mazikoni ukiwa unajitolea kusaidia shughuli za mazishi ili unyutralaizi makali ya majonzi , siyo kwenye mtandao kama huu katika thead ambao haina utani na kuna watu bado wana majonzi.

Hawa watani zangu haswa, tena leo nawapakia vilivyo..!!
Rashidi ilibidi azikwe pale kwa Mfaranyaki, nyumba hii, bombi hii!!
Sasa inakuwaje anazikwa Madale kwa Wandengereko?
Sokoine yulee kazikwa Monduli
Nyerere ndo Butiama.
Sasa Rashidi vipi tena
Mgoni/Mmakua bwana taabu sana!
 
If only the both didnt believe that the other one is in HELL.. as opposed to where they are now. Religion is funny sometimes, in addition to the fact that it makes little sense. Sasa sijui yupi ndio yuko Heaven..lol
 
This is so funny:), kama ingekuwa kuna kukutana huko basi nadhani Nyerere angetamani kurudi ili aje kuisafisha hii nchi.
 
This is so funny:), kama ingekuwa kuna kukutana huko basi nadhani Nyerere angetamani kurudi ili aje kuisafisha hii nchi.

Nyerere wala asirudi.

Akirudi basi lazima afahamu kuwa:

"Lowassa na Mkapa watamkamata na wamgeuzie kibao. Watamtandika hadi aliye MAWEE, mwenyewe atajuta kurudi".

>> Kama ulifikiri hicho ni kitu kibaya basi umeula wa Chuya<<.

++ Kibaya ni pale Mtu ataanza kucheka kama kawaida yake++

++ Mitanzania (pamoja na mie) tutaendelea kuwasujudia Mkapa/Lowassa na kuwashukuru kwa kazi nzuri huku Makamba akimsaka yeyote anayelaani NYERERE kupigwa na kumwambia kuwa ni KICHAA. Rweyemamu Silva, Chenge, Balile, RA, Karamage, Chiligati nk nk wataonekana wanachekeleaaaaa++

Mwisho "tutaombwa" tuwaache Mkapa/Lowassa wapumzike kwa kazi kubwa ya KUMCHAPA na kumtia adabu NYERERE.
 
Masikini Nyerere aliitakia mema sana hii nchi. Tatizo ni kuwa aliikabidhi hii nchi kwa mizimu bila ya yeye kujua ile siku a few days we got our independence aliporuka kaburi kule Bagamoyo. Si mnaikumbuka ile hotuba yake ya kuaga aliyoitoa pale Diamond? Baada ya kuruka tu wale masheikh wakasema 'Julius basi tayari mwingereza ameshindwa na nchi tumeichukua (Nani wemeichukua? Ni mizimu)'. Kuanzia hapo Nyerere bila ya kujua nchi akaikabidhi kwa mizimu yaani nchi ililaaniwa. Na Nyerere alipoingia Ikulu ikawa haswa Ikulu inaongozwa na mizimu. Najua haya niyasemayo ni mazito. Lakini Siyo mimi nasema ni maandiko. Na kila mwaka Watanzania tukiongozwa na serikali tunaukimbiza mwenge na kukesha nao kumbe hiyo ni ibada ya sanamu ya mizimu. Kule kuzunguka na mwenge ni kuzidi kukoleza mizimu iendelee kuitawala nchi. Ndiyo maana lolote tufanyalo halizai matunda mema. Kwa nini? Kwa sababu mizimu katika ulimwengu wa roho ni himaya ya giza na penye giza hakuna mema. Wewe niambie inakuwaje viongozi wetu tena wa awamu zote wanajikuta wanafanya maamuzi ambayo yanaangamiza taifa bila ya wao kupenda? Ni laana. Tanzania ina utajiri lukuki kama nchi ingekuwa amekabidhiwa Mungu na sisi tukafanya toba kwa niaba ya Nyerere tungeneemeka.

Laana tuliyonayo ni kuwa nchi yetu imegeuzwa kuwa kapu lenye mema ambayo wanufaika wake ni wageni ambao watakuwa wanakuja kuchota tu.

Nini kifanyike. Wachungaji wote na watu wenye mapenzi mema tuiombee toba nchi yetu na tumkabidhi Mungu. Tuaisafishe na damu ya Yesu. Kama serikali haitaki basi kila mtu kwenye nafasi yake afanye hivyo. Wakati nchi inaangamia wewe uliyetubu Mungu atakubariki kivyako.

Jamani hii ni siri kubwa sana kwa wale mnaoelewa haya masuala ya kiroho tusaidieni kufafanua.
 
Masikini Nyerere aliitakia mema sana hii nchi. Tatizo ni kuwa aliikabidhi hii nchi kwa mizimu bila ya yeye kujua ile siku a few days we got our independence aliporuka kaburi kule Bagamoyo. Si mnaikumbuka ile hotuba yake ya kuaga aliyoitoa pale Diamond? Baada ya kuruka tu wale masheikh wakasema 'Julius basi tayari mwingereza ameshindwa na nchi tumeichukua (Nani wemeichukua? Ni mizimu)'. Kuanzia hapo Nyerere bila ya kujua nchi akaikabidhi kwa mizimu yaani nchi ililaaniwa. Na Nyerere alipoingia Ikulu ikawa haswa Ikulu inaongozwa na mizimu. Najua haya niyasemayo ni mazito. Lakini Siyo mimi nasema ni maandiko. Na kila mwaka Watanzania tukiongozwa na serikali tunaukimbiza mwenge na kukesha nao kumbe hiyo ni ibada ya sanamu ya mizimu. Kule kuzunguka na mwenge ni kuzidi kukoleza mizimu iendelee kuitawala nchi. Ndiyo maana lolote tufanyalo halizai matunda mema. Kwa nini? Kwa sababu mizimu katika ulimwengu wa roho ni himaya ya giza na penye giza hakuna mema. Wewe niambie inakuwaje viongozi wetu tena wa awamu zote wanajikuta wanafanya maamuzi ambayo yanaangamiza taifa bila ya wao kupenda? Ni laana. Tanzania ina utajiri lukuki kama nchi ingekuwa amekabidhiwa Mungu na sisi tukafanya toba kwa niaba ya Nyerere tungeneemeka.

Laana tuliyonayo ni kuwa nchi yetu imegeuzwa kuwa kapu lenye mema ambayo wanufaika wake ni wageni ambao watakuwa wanakuja kuchota tu.

Nini kifanyike. Wachungaji wote na watu wenye mapenzi mema tuiombee toba nchi yetu na tumkabidhi Mungu. Tuaisafishe na damu ya Yesu. Kama serikali haitaki basi kila mtu kwenye nafasi yake afanye hivyo. Wakati nchi inaangamia wewe uliyetubu Mungu atakubariki kivyako.

Jamani hii ni siri kubwa sana kwa wale mnaoelewa haya masuala ya kiroho tusaidieni kufafanua.

Ndugu Marigwe inae;ekea katika jamii wewe ni a permanent pessimist.
Hivyo mizimu unayoitaja kunanguvu kubwa sana inayoizidi, na haiwezi kufua dafu kwa sekunde,
Waisilamu kwa Wakristo wamekuwa wakiombea amani kwa mafanikio, sas hiyo mizimu imeenda usingizi?
 
Back
Top Bottom