Sir M.D.Andrew
JF-Expert Member
- Jul 30, 2012
- 201
- 37
Salaam! Ndugu zangu,kuna jamaa yangu ni mfanyakazi,anahitaji mkopo wa haraka wenye masharti nafuu! Amepata dharura hivyo anahitaji milioni 5 cash mkopo,yupo tayari kulipa deni hilo kwa makato ya mshahara wake--mwenye kusaidia ani PM au aandike namba zake hapa