jangala22
Senior Member
- May 20, 2021
- 140
- 108
Habari za humu jukwaani wakuu
Niende mojakwamoja katika mada ipo hivi Mimi ni mtumishi wa serikali ,ilikuwa mwaka 2021 mwezi wa tatu nilihitaji kwenda kukopa katika bank Y bas nikipigiwa hesabu nikakubaliwa kukopa na kipindi sijakopa walikuwa wananidai Bado kiasi Cha milioni kama nne na laki kadhaa bas wao wakaja kunipa cash Kama milioni Moja na laki nne hivi maisha yakaendelea Sasa picha ikaanza sijui Nini kilitokea kwenye salary slip deni baada ya kukopa likawa linasoma hiyo bank Y wananidai milioni Moja na laki nne tukaenda hivyo hivyo Hadi mwaka 2022 mwezi wa nne deni hilo likaisha na Mimi nikasema mbona deni limeisha na Nina shida ya Hela nikaenda bank tofauti tena ilikuwa inatoa kias kikubwa na muda mzuri wa marejesho bas nikaenda pale wakanipigia hesabu kwenye hiyo bank nyingine X Kwa vile tayari Ile bank Y walikuwa hawanidai amount ikawa kubwa bas baadae mwezi wa 6 baada ya Mimi kupata mkopo kwenye bank X na Sasa mshahara ukawa unapitia bank hiyo X ghafla bank Y wakaja kujua walifanya makosa wakaingiza makato upya wakaanza tena kukata mshahara wangu na tayari kiasi walichokuwa Wanakata hapo awali nilikiunganisha kwenye makato nilipoomba mkopo bank X maana wao ndio walifanya makosa na Mimi nilikuwa sifaham mambo yao ya bank .
Nachoomba msaada wa kisheria je hii bank iliyofanya makosa yenyewe Kisha baadae kuja kuniingizia makato pasi na Mimi kujua na mshahara wangu unakuwa hautoshi naweza kuwashitaki Ili tukae mezani Ili Kila mmoja awe salama sio Ile kwangu tu ?
Naomba kuwasilisha
Niende mojakwamoja katika mada ipo hivi Mimi ni mtumishi wa serikali ,ilikuwa mwaka 2021 mwezi wa tatu nilihitaji kwenda kukopa katika bank Y bas nikipigiwa hesabu nikakubaliwa kukopa na kipindi sijakopa walikuwa wananidai Bado kiasi Cha milioni kama nne na laki kadhaa bas wao wakaja kunipa cash Kama milioni Moja na laki nne hivi maisha yakaendelea Sasa picha ikaanza sijui Nini kilitokea kwenye salary slip deni baada ya kukopa likawa linasoma hiyo bank Y wananidai milioni Moja na laki nne tukaenda hivyo hivyo Hadi mwaka 2022 mwezi wa nne deni hilo likaisha na Mimi nikasema mbona deni limeisha na Nina shida ya Hela nikaenda bank tofauti tena ilikuwa inatoa kias kikubwa na muda mzuri wa marejesho bas nikaenda pale wakanipigia hesabu kwenye hiyo bank nyingine X Kwa vile tayari Ile bank Y walikuwa hawanidai amount ikawa kubwa bas baadae mwezi wa 6 baada ya Mimi kupata mkopo kwenye bank X na Sasa mshahara ukawa unapitia bank hiyo X ghafla bank Y wakaja kujua walifanya makosa wakaingiza makato upya wakaanza tena kukata mshahara wangu na tayari kiasi walichokuwa Wanakata hapo awali nilikiunganisha kwenye makato nilipoomba mkopo bank X maana wao ndio walifanya makosa na Mimi nilikuwa sifaham mambo yao ya bank .
Nachoomba msaada wa kisheria je hii bank iliyofanya makosa yenyewe Kisha baadae kuja kuniingizia makato pasi na Mimi kujua na mshahara wangu unakuwa hautoshi naweza kuwashitaki Ili tukae mezani Ili Kila mmoja awe salama sio Ile kwangu tu ?
Naomba kuwasilisha