Mfanyabiashara wa utalii ajinyonga Moshi

Kakwepa aibu za kusengenywa kuwa amefilisika si unawajua wamatumbi kwa kufuatilia maisha ya watu tena?
Hata wakikusengenya watanufaika na nini? Jamaa alikuwa na connection kubwa kiasi fulani kwa watalii wake, hata angeshuka bado nafasi ya kuinuka ilikuwa n kubwa mno.
 
Ndio ujinga wetu watu weusi hatuishi uhalisia kabisa.
 
Nachoamini na ndio uhalisia wa maisha kwa wengi ni kuwa unapopitia magumu na kuhitaji msaada mtu pekee wa kuweza kuwa nawe 100% ni wewe mwenyewe. Utakubaliana nami kama umeshawahi kupitia changamoto kubwa ya kifedha.

Tutafute hela sana hao wa kutoa msaada huenda na wao wana yao wanayokabiliana nayo kimya kimya ila tutawaangushia lawama bure kuwa hawawezi kusaidia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…