Mfanyabiashara, raia wa Kenya anayeishi nchini, Raphael Ongangi apatikana akiwa Mombasa nchini Kenya

VITA YA UCHUMI NI HATARI SANA , KUNA ANAYE JUA HUYO JAMAA EXACTLY ANAFANYA BIASHARA GANI HAPA NCHINI , EMBU TULIENI SERIKALI IFANYE KAZI YAKE , pandikizi wote wanaokwamisha maendeleo ya hili taifa watajulikana na wataondoka
Kumbe kuteka ni kazi ya serikali nilikuwa sijui.
 
hivi watekaji wa kawaida wanaweza kumchukua mtu kutoka daresalaam mpaka mombasa Bila kukamatwa kweli?
 
Hii Mombasa ni ya Gongo la Mboto nchini Tanzania au ni ile ya nchini Kenya? Hata hivyo kwa Jinsi Siri za hao Waliomteka na wasiojulikana zilivyokuwa zinavuja ningeshangaa kama leo hii asingeachiwa kwani kuna Mkuu Mwandamizi kutoka Idara fulani ambaye Watu walikuwa wana Ushahidi nae na wanamjua ndani nje walikuwa wanaenda Kumuanika japo tayari walishaanza Kumuanika tokea Juzi Usiku, Jana na leo Asubuhi.
wamemuanika wapi
 
Kwa mujibu wa Mke wake, Veronica Kundya kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa Kijamii wa Instagram amesema kuwa mume wake Raphael amepatikana leo Mombasa na yupo salama. Amesema hana tarifa zaidi ya hiyo ila pia inatosha sana kwake kujua mume wake yupo salama



Alivukaje mpaka wa Tanzania na Kenya bila watu wa uhamiaji kujua au amelazimishwa kuandika ujumbe wa twita kwakuwa mtandao umemtaja mhusika wa utekaji leo asubuhi
 
Unaweza ukanipa japo kiduchu ukweli wa habari za kigogo ,ni speculations tu
Kigogo alisema watekaji wapo njiani na V8 kuelekea Mombasa na aliomba wakirudi wakae chini kupata kahawa na kupeana uzoefu, nasena hivi huyu kigogo anapata habari za ndani kabisa jinsi mipango inavyopangwa na mbinu zetu hii haiko poa kabisa siyo uzalendo tunavunja ngome zetu
 
Mtekaji baada ya kuona amejulikana makazi yake mpaka mama mkwe ameamua kumrudisha Raphael tena wamempeleka kwao akasalimie ndugu zake.. Hongera wakenya kwa teknolojia iliyo tukuka, mmetufunga Afkon ki halali kabisa. Mungu na ashukuruiwe.
Kigogo2014 ni hatari
 
Mtu mrefu raia wake wanauliwa saana manyovu lkn yupo kimya tu
Mkuu irakunda hai wanaouliwa manyovu wengi wao unajua kuwa Ni wahalifu wakubwa Sasa Kuna ubaya gani kuwalipua? Kuanzia heru ushingo, kigadye, kitambuka
Unaweza ukanipa japo kiduchu ukweli wa habari za kigogo ,ni speculations tu
Mimi nalaumu mfumo wetu wewe unasema nikupe taarifa kidogo, umetumwa?
 
Kwa nini nisiamini kuwa alitekwa wakati jalada la utekaji limefunguliwa polisi? Kwa nini serikali isihusike wakati mtu mahali alipo tekwa kuna camera lakini polisi hawakutaka kuanzia hapo uchunguzi? Wamezoea kuteka watanzania ila kwa huyu mkenya wame ufyata maana teknolojia yao ipo juu wamemfahamu mtekaji na wamempa muda amuachie mateka na amemuachia. why hakusubiri atajwe? Katajwa mama mkwe wake na jumba lake limewekwa hadharani mavi yamemgonga chupi...Raphael si Moooooo!
acha ujinga mkuu.
 
Alivukaje mpaka wa Tanzania na Kenya bila watu wa uhamiaji kujua au amelazimishwa kuandika ujumbe wa twita kwakuwa mtandao umemtaja mhusika wa utekaji leo asubuhi
Mipaka yetu na nchi jirani haiko tight kama unavyodhani,kuingia na kutoka ni easy,wala huhitaji kuwa nguli/mjuvi.njia za panya zipo kama zote.
 
Back
Top Bottom