Salaam, Shalom!!
INTRODUCTON.
Napoongelea macho ya kinabii, Siongelei hao mnaowaita wazee wa kamati, HAPANA. Pia sichanganyi dini na siasa, sababu Asili ya Siasa ni Mbinguni, sasa Mwana wa Mungu nakupa codes Kutoka JUU, ambazo zaweza kututoa hapa kwenye mkwamo.
Wakati Nchi zilizoendelea zikipiga hatua Kwa kufanya uchaguzi sahihi wa nini mtoto asomee Kwa kuhusisha uchanganuzi makini juu ya mtoto mdogo chini ya umri wa mwaka mmoja, wazazi wa kitanzania Bado tunapeleka watoto shule Kwa mkumbo na mazoea!!
AFYA
Hivi Hawa madaktari wanaosahau mkasi ndani ya tumbo la mgonjwa wakati wa operation, ni madaktari halisi au walitumwa na wazazi wao kuwa madaktari?
BIASHARA
Tumefikaje hapa Leo wafanyabiashara wanapoficha mafuta Ili wapate faida mara dufu bila kujali athari wanazosababisha Kwa Taifa na JAMII Kwa ujumla?
Wafanyabiashara Hawa ni wafanyabiashara Kutoka tumboni mwa wazazi wao kama mission Yao duniani, au wameingia kwenye biashara baada ya kufeli mitihani darasani?
UJENZI
Majengo wajengayo engineers wetu yanaporipotiwa kuanguka yenyewe, je wahusika ni Engineers Kwa Kuzaliwa au wa kutengenezwa?
Bankers wanapopelekwa kusimamia engineers kujenga Bwawa letu, je ni uamuzi sahihi?
Tunaona hatimaye nyufa zikijitojeza, je miaka 60 ya uhuru hatuna engineers wa Kuzaliwa tuwasomeshe watusaidie?
SIASA
Je, ni sawa viongozi wa kisiasa kumiliki na kuanzisha na biashara ya kubahatisha, maarufu kama betting?
Je ni wanasiasa Kwa Kuzaliwa au ni wa kutengenezwa au wamerithishwa siasa Kwa kusukumizwa?
TIBA ASILI
Ni sawa wapiga ndumba wanaojitambulisha kama wataalamu wa TIBA asili kuacha viringe na kukimbilia kupata nafasi za kisiasa?
UVUVI
Je, wanaovua samaki Kwa kutumia Sumu, ni wavuvi wa asili Kwa Kuzaliwa au ni wavuvi wa kujituma au kusukumizwa au wa kurithi?
SIASA.
Ni sawa, Professor kuacha kufundisha chuoni Ili kwenda kugombea ubunge?
Mtu huyo aliingiaje huko au aliwahi jua alizaliwa awe nani?
ELIMU
Imekuwaje asiye mwalimu Kwa Kuzaliwa kuingia darasani? Kwanini kupoteza muda kufanya shughuli ambayo Si fani Yako uloitiwa tangu tumboni?
Wazazi, Serikali na JAMII Kwa ujumla tukirudi kwenye msingi huu Nchi yetu itapiga hatua Kwa haraka sana.
MADA: UMUHIMU WA MACHO YA KINABII ULIVYOLETA TIJA KWA TAIFA LA ISRAEL.
SIASA
Daudi, mtoto aliyezaliwa na mke mdogo wa Yesse, mchunga Kondoo, hakujua chochote juu ya hatima yake yake mbeleni.
Mzazi wa Daudi Mzee Yesse naye hakujua kuwa Kutoka viunoni mwake atatokea mfalme,
Nabii wa Mungu aitwaye Samweli anakwenda nyumbani Kwa Yesse na kuwambia wamtafute mtoto mdogo Daudi mchunga Kondoo porini ndiye aje kuwa mrithi wa mfalme aliyekuwepo wakati huo aitwaye Sauli.
Na mtoto huyo Daudi akaja kuwa Mfalme Bora kabisa kuwahi Kutokea,
Daudi alikuwa Nabii, pia askari shujaa na kiongozi mwenye BUSARA.
Iweje katika Taifa letu viongozi wapigane vikumbo kugombea Urais ilhali Rais yupo na wautake urais bila kuwa chaguo la Mungu katika nafasi hiyo?
Jicho la Nabii linahitajika hapa!!!
UONGOZI
Kisa Cha Ben Hadad, Elisha na Hazaeli ktk (2 Wafalme 8:7,8,9....) Na (2 Wafalme 13:22).
Ben Hadad, Mfalme wa Shamu katika Nchi ya ISRAEL anaugua, anamtuma Hazael msaidizi au Waziri wake aende Kwa Nabii Elisha Ili aulizwe ikiwa atapona katika ugonjwa Ule au atakufa.
Hazaeli anafika Kwa Nabii Elisha, Baada ya kufikisha ujumbe, Elisha anamjibu Hazael kuwa Mfalme atakufa, lakini anamwambia Hazael usimwambie kuwa atakufa, mwambie nimesema atapona.
Na Baada ya kusema hivyo, nabii anamwangalia Usoni Hazael Kisha analia Kwa uchungu,
Hazaeli anauliza unalia nini, Nabii anamwambia Nakuona miaka michache ijayo, utakuwa Mfalme baada ya Ben Hadad kufariki na utakuwa mwiba juu ya watu wangu,
Hazael anahamaki na kusema Mimi?
Macho ya Nabii Yana uwezo wa kuona MBELE na MBALI sana.
Turudi katika mstari turekebishe Nchi yetu.
UTUMISHI/UNABII
Mama mzazi wa Samweli anaenda hekaluni na kuweka nadhiri Kwa Mungu Ili Mungu amjalie mtoto wa kiume Kwa nadhiri kuwa, mtoto huyo atakapozaliwa awe mtumishi wa Mungu madhabahuni.
Na Kweli mtoto Samweli anazaliwa, na Mama anaenda mkabidhi hekaluni alelewe na kukulia hekaluni chini ya Eli mtumishi.
Leo hii Hawa manabii fake wametoka katika familia na JAMII zetu, tumekosea wapi?
Kwanini hatupati Manabii wengi mfano WA Mwl Mwakasege?
Kwanini hatuwapimi watoto tangu utoto wao kujua kusudi la Mungu juu Yao ?
Je huyu ndugu Pascal Mayalla asili Toka tumboni ni mwandishi wa habari, au ni huyu aliyegombea ubunge Jimbo la kawe?
Karibuni🙏 Amen.
ITAENDELEA....
INTRODUCTON.
Napoongelea macho ya kinabii, Siongelei hao mnaowaita wazee wa kamati, HAPANA. Pia sichanganyi dini na siasa, sababu Asili ya Siasa ni Mbinguni, sasa Mwana wa Mungu nakupa codes Kutoka JUU, ambazo zaweza kututoa hapa kwenye mkwamo.
Wakati Nchi zilizoendelea zikipiga hatua Kwa kufanya uchaguzi sahihi wa nini mtoto asomee Kwa kuhusisha uchanganuzi makini juu ya mtoto mdogo chini ya umri wa mwaka mmoja, wazazi wa kitanzania Bado tunapeleka watoto shule Kwa mkumbo na mazoea!!
AFYA
Hivi Hawa madaktari wanaosahau mkasi ndani ya tumbo la mgonjwa wakati wa operation, ni madaktari halisi au walitumwa na wazazi wao kuwa madaktari?
BIASHARA
Tumefikaje hapa Leo wafanyabiashara wanapoficha mafuta Ili wapate faida mara dufu bila kujali athari wanazosababisha Kwa Taifa na JAMII Kwa ujumla?
Wafanyabiashara Hawa ni wafanyabiashara Kutoka tumboni mwa wazazi wao kama mission Yao duniani, au wameingia kwenye biashara baada ya kufeli mitihani darasani?
UJENZI
Majengo wajengayo engineers wetu yanaporipotiwa kuanguka yenyewe, je wahusika ni Engineers Kwa Kuzaliwa au wa kutengenezwa?
Bankers wanapopelekwa kusimamia engineers kujenga Bwawa letu, je ni uamuzi sahihi?
Tunaona hatimaye nyufa zikijitojeza, je miaka 60 ya uhuru hatuna engineers wa Kuzaliwa tuwasomeshe watusaidie?
SIASA
Je, ni sawa viongozi wa kisiasa kumiliki na kuanzisha na biashara ya kubahatisha, maarufu kama betting?
Je ni wanasiasa Kwa Kuzaliwa au ni wa kutengenezwa au wamerithishwa siasa Kwa kusukumizwa?
TIBA ASILI
Ni sawa wapiga ndumba wanaojitambulisha kama wataalamu wa TIBA asili kuacha viringe na kukimbilia kupata nafasi za kisiasa?
UVUVI
Je, wanaovua samaki Kwa kutumia Sumu, ni wavuvi wa asili Kwa Kuzaliwa au ni wavuvi wa kujituma au kusukumizwa au wa kurithi?
SIASA.
Ni sawa, Professor kuacha kufundisha chuoni Ili kwenda kugombea ubunge?
Mtu huyo aliingiaje huko au aliwahi jua alizaliwa awe nani?
ELIMU
Imekuwaje asiye mwalimu Kwa Kuzaliwa kuingia darasani? Kwanini kupoteza muda kufanya shughuli ambayo Si fani Yako uloitiwa tangu tumboni?
Wazazi, Serikali na JAMII Kwa ujumla tukirudi kwenye msingi huu Nchi yetu itapiga hatua Kwa haraka sana.
MADA: UMUHIMU WA MACHO YA KINABII ULIVYOLETA TIJA KWA TAIFA LA ISRAEL.
SIASA
Daudi, mtoto aliyezaliwa na mke mdogo wa Yesse, mchunga Kondoo, hakujua chochote juu ya hatima yake yake mbeleni.
Mzazi wa Daudi Mzee Yesse naye hakujua kuwa Kutoka viunoni mwake atatokea mfalme,
Nabii wa Mungu aitwaye Samweli anakwenda nyumbani Kwa Yesse na kuwambia wamtafute mtoto mdogo Daudi mchunga Kondoo porini ndiye aje kuwa mrithi wa mfalme aliyekuwepo wakati huo aitwaye Sauli.
Na mtoto huyo Daudi akaja kuwa Mfalme Bora kabisa kuwahi Kutokea,
Daudi alikuwa Nabii, pia askari shujaa na kiongozi mwenye BUSARA.
Iweje katika Taifa letu viongozi wapigane vikumbo kugombea Urais ilhali Rais yupo na wautake urais bila kuwa chaguo la Mungu katika nafasi hiyo?
Jicho la Nabii linahitajika hapa!!!
UONGOZI
Kisa Cha Ben Hadad, Elisha na Hazaeli ktk (2 Wafalme 8:7,8,9....) Na (2 Wafalme 13:22).
Ben Hadad, Mfalme wa Shamu katika Nchi ya ISRAEL anaugua, anamtuma Hazael msaidizi au Waziri wake aende Kwa Nabii Elisha Ili aulizwe ikiwa atapona katika ugonjwa Ule au atakufa.
Hazaeli anafika Kwa Nabii Elisha, Baada ya kufikisha ujumbe, Elisha anamjibu Hazael kuwa Mfalme atakufa, lakini anamwambia Hazael usimwambie kuwa atakufa, mwambie nimesema atapona.
Na Baada ya kusema hivyo, nabii anamwangalia Usoni Hazael Kisha analia Kwa uchungu,
Hazaeli anauliza unalia nini, Nabii anamwambia Nakuona miaka michache ijayo, utakuwa Mfalme baada ya Ben Hadad kufariki na utakuwa mwiba juu ya watu wangu,
Hazael anahamaki na kusema Mimi?
Macho ya Nabii Yana uwezo wa kuona MBELE na MBALI sana.
Turudi katika mstari turekebishe Nchi yetu.
UTUMISHI/UNABII
Mama mzazi wa Samweli anaenda hekaluni na kuweka nadhiri Kwa Mungu Ili Mungu amjalie mtoto wa kiume Kwa nadhiri kuwa, mtoto huyo atakapozaliwa awe mtumishi wa Mungu madhabahuni.
Na Kweli mtoto Samweli anazaliwa, na Mama anaenda mkabidhi hekaluni alelewe na kukulia hekaluni chini ya Eli mtumishi.
Leo hii Hawa manabii fake wametoka katika familia na JAMII zetu, tumekosea wapi?
Kwanini hatupati Manabii wengi mfano WA Mwl Mwakasege?
Kwanini hatuwapimi watoto tangu utoto wao kujua kusudi la Mungu juu Yao ?
Je huyu ndugu Pascal Mayalla asili Toka tumboni ni mwandishi wa habari, au ni huyu aliyegombea ubunge Jimbo la kawe?
Karibuni🙏 Amen.
ITAENDELEA....