Mfanyabiashara, raia wa Kenya anayeishi nchini, Raphael Ongangi apatikana akiwa Mombasa nchini Kenya

Na hapo ilikuwa inafuatiliwa na supa jasusi wao ajulikanaye kwa jina la kigogo!!unajua stori zingine wakati mnazisimulia msidhani wote ni mapoyoyo tutakuwa tunaitikia tu ndiyoooo
Nimeshindwa kuelewa, inakuaje gari binafsi ya tanzania inaingia kenya bila kukaguliwa alafu fastafasta inarudi tena tanzania bila kukaguliwa
Kama kweli hayo yamewezekana, basi ndio maana kenya wanapigwa sana na al-shabaab, anyway wajifunze kufanya ukaguzi wa magari yanoingia na kutoka nchini mwao fastafasta
 
Kwa mantiki hiyo kenya kiulinzi haipo salama, haowezekani gari ikaingia kutoka tanzania ikafika hadi mombasa bila kukaguliwa
Kama alitekwa na mkuu wa nchi anafahamu ni rahisi kuwasiliana na Uhuru na wakapeana mchongo gari ikaingia... Mpakani kukiwa na taarifa za ujio wa gari fulani inaendeshwa na ffulani na kitambulisho cha TISS kwa nini isiingie?..Jamaa ameenda chato kuficha aibu tu baada ya kuona mtekaji kajulikana na soon angewekwa kwenye chain..
 
Intelligence ya nchi moja imeoutsmart intelligence ya nchi nyingine........wamevuka border withoout leaving a trace....ni kama zile movie za The Godfather mtu anaingia chumbani kwako anaweka kichwa cha farasi kitandani kwako na anakuacha mzima.
 
Mke wake kasema katekwa wewe unasema ana mambo yake kati ya mke wake na wewe tumwamini nani au wewe ni nyumba ndogo yake.
Nyumba ndogo utakuwa wewe maana umekomaa katekwa utadhani alikujulisha hilo.sawa acha tuwaamini kwamba kweli tiss walimteka na wakamsafirisha Hadi Mombasa na gari binafsi tena wakifuatiliwa na majasusi wenye teknolojia ya Hali ya juu kutoka Kenya wakiongozwa na kigogo wakambwaga kule na wakafanikiwa kurudi bongoland bila kukamatwa Wala kukaguliwa popote pale!!umeridhika kigoli?
 
Nikiangalia comments za wadanganyika na belief yao ya nazi nationalism, naamini kweli jaguar alikuwa sawa, tunaanza kuogopwa kwa mabaya
 
Kwani lazima gari la Tanzania livuke boarder ?si wanafika boarder wanaacha gari la Tanzania wanakodisha la Kenya wanarudi wanaingia la kwao wanagooooo home.Sasa akili ndogo tu kuwa gari la Tz linapitaje mpakani?Hata wanaweza kuhire pikipiki ikamvusha tu hapo boarder kwani haiwezekani?
 
Nyumba ndogo utakuwa wewe maana umekomaa katekwa utadhani alikujulisha hilo.sawa acha tuwaamini kwamba kweli tiss walimteka na wakamsafirisha Hadi Mombasa na gari binafsi tena wakifuatiliwa na majasusi wenye teknolojia ya Hali ya juu kutoka Kenya wakiongozwa na kigogo wakambwaga kule na wakafanikiwa kurudi bongoland bila kukamatwa Wala kukaguliwa popote pale!!umeridhika kigoli?
Watu wanaenda ulaya kwa passport za kugushi sembuse temporary pass ya Kenya na on arrival visa.
 
Kumbe walitekana na zitto na ndio alipitia Zanzibar ali akayapange huko Mombasa kabla hajadakwa akaamua kutuma kikosi kazi no hatari sana kwa zitto kama ataamua kuiga tabia ya bosi wake was zamani mbowe .

Bring back Ben saanane
Acha ujinga kwenye mambo ya msingi ni umama huo
 
Mke wake kasema katekwa wewe unasema ana mambo yake kati ya mke wake na wewe tumwamini nani au wewe ni nyumba ndogo yake.
Niamini mimi. Mke wake anasema aliyofundishwa. Mimi ni mwanamme na siwezi kuwa nyumba ndogo.
 
masaa kadhaa yaliyopita jamaa anayejiita kogogo kule twitter alishasema kuwa wanaenda kumtelekeza jirani na mpaka wa tz na kenya kule mombasa. na ndio ilivyotokea.
Screenshot_2019-07-02-16-57-37-297_com.twitter.android.jpeg
 
Watu wasubiri mpaka wamuone mwenyewe akisema yaliyomkuta, msiamini tweeter wala instagram messages, kwani ikiwa watu wameidukua account ya mkewe na kuandika waliyoandika mtajuaje?
 
VITA YA UCHUMI NI HATARI SANA , KUNA ANAYE JUA HUYO JAMAA EXACTLY ANAFANYA BIASHARA GANI HAPA NCHINI , EMBU TULIENI SERIKALI IFANYE KAZI YAKE , pandikizi wote wanaokwamisha maendeleo ya hili taifa watajulikana na wataondoka
 
Ni kweli kabisa polisi wetu wameshindwa kuthibiti hili genge la watekaji? Sijawahi kusikia hawa watu akikamatwa hata mmoja, tatizo ni uwezo wa polisi au kuna siri iko nyuma ya pazia? Kiukweli hili linatia doa taifa letu tukufu.
 
Hahaha... Zitto alifikiri wale jamaa ni wajinga?

Mwambieni taarifa zake tunazo
 
Kigogo alisema watekaji wapo njiani na V8 kuelekea Mombasa na aliomba wakirudi wakae chini kupata kahawa na kupeana uzoefu, nasena hivi huyu kigogo anapata habari za ndani kabisa jinsi mipango inavyopangwa na mbinu zetu hii haiko poa kabisa siyo uzalendo tunavunja ngome zetu
Kwani lazima gari la Tanzania livuke boarder ?si wanafika boarder wanaacha gari la Tanzania wanakodisha la Kenya wanarudi wanaingia la kwao wanagooooo home.Sasa akili ndogo tu kuwa gari la Tz linapitaje mpakani?Hata wanaweza kuhire pikipiki ikamvusha tu hapo boarder kwani haiwezekani?
 
Back
Top Bottom