Mfanyabiashara kuongoza Shirika la Umma Rais Samia unaenda kusiko

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,883
13,176
Nilipigwa butwaa, kama si kushangaa, mama Samia akiongea na wateule wa mashirika na nafasi mbali mbali za kiuongozi.

Lililonishangaza, eti yule mpendwa wetu Maharage Chande, alipoenguliwa TANESCO na kupelekwa TTCL, "ikagundulika"(mind you baada ya uteuzi) kuwa ana biashara yake inayo gongana kimaslahi na biashara ya TTCL.

Hapo nika pigwa butwaa, mshangao, na kuwa bumbuwazi vyote kwa pamoja, na ni kwa sababu kama mbili tatu hivi.

1 Vetting, kama inavyotakikana basi haijafanyika kabisa, maana kwani Ikulu haikujua kuwa toka mwanzo Maharage Chande ana biashara.

2. Ikulu inakurupuka, hivi hapo Ikulu hawapo watu wenye clear and focused minds?

3. Nchi hii sasa mfanya biashara kuteuliwa kuwa mtendaji serikalini? Hii imekaa vipi?

Haya maswali ni ya kimsingi sana na inabidi tupate majibu yanayostahili, ama sivyo Idara zinazofaya vetting, zinazo simamia uteuzi na hata serikali yenyewe kuwa na foresight ya watendaji wake , huko kuna matatizo.

Sisi wa zamani tulikuwa tukijua kuwa Nchi hii ni ya wafanya kazi na wakulima. Sasa kada ya wafanyabiashara ambao wana interests zao daima, sasa wanakuwa viongozi wa kisiasa au kiutendaji serikalini.

Hapa tanajenga msingi wa matabaka ambayo yatakuwa yakisigana daima. Mama kwa hili sikubaliani na wewe.
 
Sasa mbona hata Mama mwenyewe naye ni mfanyabiashara!! Ukija kwa wasaidizi wake nao, karibia wote ni wafanyabiashara/wawekezaji wakubwa!!

Yaani kiufupi wananchi tunatakiwa tubadilike. Kamwe tusiwaamini hawa viongozi/watawala wetu! Maana wenyewe wanatuhamasisha kuishi kijamaa, huku wenyewe kitambo tu wanaishi kibepari!
 
Ndugu yangu masopakyindi, hii nchi inatakiwa overhaul kila sehemu, kila Idara, kila mifumo. Kinachofanyika sasa ni cosmetics tu na hakuna lolote litakalo fanyika la maana hata panga pangua milion moja. Raisi awatumie watanzania wa nje wanaosaidia nchi za wengine kuendelea na ccm iwe tayari kwa ajili ya mabadiliko, sii hizi style za ndondocha leo kachaguliwa, kesho ana maslahi, anapangia kazi nyingine sehemu nyingine
 
Sasa mbona hata Mama mwenyewe naye ni mfanyabiashara!! Ukija kwa wasaidizi wake nao, karibia wote ni wafanyabiashara/wawekezaji wakubwa!!

Yaani kiufupi wananchi tunatakiwa tubadilike. Kamwe tusiwaamini hawa viongozi/watawala wetu! Maana wenyewe wanatuhamasisha kuishi kijamaa, huku wenyewe kitambo tu wanaishi kibepari!
Huu ni msingi wa kuwa na wafalme ambao hawataondoka madrakani kwamwe kwa amani.
Nguvu ya serikali itatumika kulinda maslahi ya biashara zao.
Its a very basic contradiction.
 
Nilipigwa butwaa, kama si kushangaa, mama Samia akiongea na wateule wa mashirika na nafasi mbali mbali za kiuongozi.
Lililonishangaza, eti yule mpendwa wetu Maharage Chande, alipoenguliwa TANESCO na kupelekwa TTCL, "ikagundulika"(mind you baada ya uteuzi) kuwa ana biashara yake inayo gongana kimaslahi na biashara ya TTCL.

Hapo nika pigwa butwaa, mshangao, na kuwa bumbuwazi vyote kwa pamoja, na ni kwa sababu kama mbili tatu hivi.

1 Vetting, kama inavyotakikana basi haijafanyika kabisa, maana kwani Ikulu haikujua kuwa toka mwanzo Maharage Chande ana biashara
2. Ikulu inakurupuka, hivi hapo Ikulu hawapo watu wenye clear and focused minds?
3. Nchi hii sasa mfanya biashara kuteuliwa kuwa mtendaji serikalini? Hii imekaa vipi?

Haya aswali ni ya kimsingi sana na inabidi tupate majibu yanayostahili, ama sivyo Idara zinazofaya vetting, zinazo simamia uteuzi na hata serikali yenyewe kuwa na foresight ya watendaji wake , huko kuna matatizo.

Sisi wa zamani tulikua tukijua kuwa Nchi hii ni ya wafanya kazi na wakulima.
Sasa kada ya wafanyabiashara ambao wana interests zao daima, sasa wanakuwa viongozi wa kisiasa au kiutendaji serikalini.

Hapa tanajenga msingi wa matabaka ambayo yatakuwa yakisigana daima.
Mama kwa hili sikubaliani na wewe.
Ndiyo maana kuudhibiti mfumuko wa bei imekuwa shida sababu humohumo serikalini kuna watu wananufaika nao
 
Huyu madam kasemekana kafanyia NGOs lakini mbona hana ufahamu wowote wa utawala bora/uwajibikaji!
Ah kweli. Ziara za Tundu Lissu kanda ya Ziwa zimebainisha mambo ya ajabu!
  • Eti Kampuni zote za ununuzi wa pamba zinamilikiwa na viongozi wa ccm tena wabunge!
  • Halafu wananchi wanalalamika bei zinashuka kila mara!
  • Basi watanzania wako kwenye fungu la kukosa!!!
Mtoto wa Rais Abdul anaenda Uganda kuzungumzia masuala ya uwekezaji wa Nchi wakati hana hata udiwani/uwenyekiti kitongoji!
Jamani bado mnataka kuleta UCCM na upinzani hapa!?? Twafwa bwojoO!
 
Nilipigwa butwaa, kama si kushangaa, mama Samia akiongea na wateule wa mashirika na nafasi mbali mbali za kiuongozi.

Lililonishangaza, eti yule mpendwa wetu Maharage Chande, alipoenguliwa TANESCO na kupelekwa TTCL, "ikagundulika"(mind you baada ya uteuzi) kuwa ana biashara yake inayo gongana kimaslahi na biashara ya TTCL.

Hapo nika pigwa butwaa, mshangao, na kuwa bumbuwazi vyote kwa pamoja, na ni kwa sababu kama mbili tatu hivi.

1 Vetting, kama inavyotakikana basi haijafanyika kabisa, maana kwani Ikulu haikujua kuwa toka mwanzo Maharage Chande ana biashara
2. Ikulu inakurupuka, hivi hapo Ikulu hawapo watu wenye clear and focused minds?
3. Nchi hii sasa mfanya biashara kuteuliwa kuwa mtendaji serikalini? Hii imekaa vipi?

Haya maswali ni ya kimsingi sana na inabidi tupate majibu yanayostahili, ama sivyo Idara zinazofaya vetting, zinazo simamia uteuzi na hata serikali yenyewe kuwa na foresight ya watendaji wake , huko kuna matatizo.

Sisi wa zamani tulikuwa tukijua kuwa Nchi hii ni ya wafanya kazi na wakulima.
Sasa kada ya wafanyabiashara ambao wana interests zao daima, sasa wanakuwa viongozi wa kisiasa au kiutendaji serikalini.

Hapa tanajenga msingi wa matabaka ambayo yatakuwa yakisigana daima.
Mama kwa hili sikubaliani na wewe.
Sisi utaratib wetu ni kulindana iwe kweny uongoz tutakulinda, iwe kweny biashara na madili tutakulinda!! Ndio maan ukifanya ubadhirifu tutakutoa ulipo na kukuhamishia kwingine ili uendelee kula!! Kukupeleka mahakamani mpaka magereza huo sio utaratib wetu!! Ahsnt.
 
Nilipigwa butwaa, kama si kushangaa, mama Samia akiongea na wateule wa mashirika na nafasi mbali mbali za kiuongozi.

Lililonishangaza, eti yule mpendwa wetu Maharage Chande, alipoenguliwa TANESCO na kupelekwa TTCL, "ikagundulika"(mind you baada ya uteuzi) kuwa ana biashara yake inayo gongana kimaslahi na biashara ya TTCL.

Hapo nika pigwa butwaa, mshangao, na kuwa bumbuwazi vyote kwa pamoja, na ni kwa sababu kama mbili tatu hivi.

1 Vetting, kama inavyotakikana basi haijafanyika kabisa, maana kwani Ikulu haikujua kuwa toka mwanzo Maharage Chande ana biashara
2. Ikulu inakurupuka, hivi hapo Ikulu hawapo watu wenye clear and focused minds?
3. Nchi hii sasa mfanya biashara kuteuliwa kuwa mtendaji serikalini? Hii imekaa vipi?

Haya maswali ni ya kimsingi sana na inabidi tupate majibu yanayostahili, ama sivyo Idara zinazofaya vetting, zinazo simamia uteuzi na hata serikali yenyewe kuwa na foresight ya watendaji wake , huko kuna matatizo.

Sisi wa zamani tulikuwa tukijua kuwa Nchi hii ni ya wafanya kazi na wakulima.
Sasa kada ya wafanyabiashara ambao wana interests zao daima, sasa wanakuwa viongozi wa kisiasa au kiutendaji serikalini.

Hapa tanajenga msingi wa matabaka ambayo yatakuwa yakisigana daima.
Mama kwa hili sikubaliani na wewe.
Ilitakiwa mkwe naye asiteuliwe kwakuwa kutakuwa na mgongano wa kimaslahi na utendaji na mama mkwe. Imagine analeta hoja kwa mkwe halafu ba mkwe anaona inakasoro itabidi akubali tu kwakuwa huwezi kubishana na kumkosoamkweo
 
Nilipigwa butwaa, kama si kushangaa, mama Samia akiongea na wateule wa mashirika na nafasi mbali mbali za kiuongozi.

Lililonishangaza, eti yule mpendwa wetu Maharage Chande, alipoenguliwa TANESCO na kupelekwa TTCL, "ikagundulika"(mind you baada ya uteuzi) kuwa ana biashara yake inayo gongana kimaslahi na biashara ya TTCL.

Hapo nika pigwa butwaa, mshangao, na kuwa bumbuwazi vyote kwa pamoja, na ni kwa sababu kama mbili tatu hivi.

1 Vetting, kama inavyotakikana basi haijafanyika kabisa, maana kwani Ikulu haikujua kuwa toka mwanzo Maharage Chande ana biashara.

2. Ikulu inakurupuka, hivi hapo Ikulu hawapo watu wenye clear and focused minds?

3. Nchi hii sasa mfanya biashara kuteuliwa kuwa mtendaji serikalini? Hii imekaa vipi?

Haya maswali ni ya kimsingi sana na inabidi tupate majibu yanayostahili, ama sivyo Idara zinazofaya vetting, zinazo simamia uteuzi na hata serikali yenyewe kuwa na foresight ya watendaji wake , huko kuna matatizo.

Sisi wa zamani tulikuwa tukijua kuwa Nchi hii ni ya wafanya kazi na wakulima. Sasa kada ya wafanyabiashara ambao wana interests zao daima, sasa wanakuwa viongozi wa kisiasa au kiutendaji serikalini.

Hapa tanajenga msingi wa matabaka ambayo yatakuwa yakisigana daima. Mama kwa hili sikubaliani na wewe.
CCM ndo ilipofikia.

Wanafanya mambo bila kuzingatia weledi wala.maadili wala taratibu.

Unappsikia kila kiongozi anayesimama anaanza kumshukuru Rais kwanza badala ya kutimiza wajibu wa kiserikali ndo mjue kuwa nchi imeshaoza hii.

Washauri wa Rais ni kama hawana kazi. Hawana la kufanya maana katiba inamruhusu Rais afanye aonavyo vyema hata kama alishauriwa asifanye. Na bahati ya teke la punda ni kwamba Katiba inalinda cheo cha urais kuliko ulinzi wa nchi.

Tufike mahala tujitambue na tuanze kurekebisha haya madudu kwa faida ya vizazi vijavyo, tuanzishe vuguvugu la kuijenga Tanzania ya Watanzania kuliko sasa ambapo Tanzania ni ya CCM
 
Wa kumulaumu ni Makamba kwani ndiye alimtafuta huyo mfanya biashara Maharagwe na akamfanyia interview nyumbani kwake. Akaona wanaweza kufanya biashara pamoja pale tanesco. Akampendekeza kwa mama na kukubalika. Hivyo vetting ilifanywa na Makamba. Hivyo Makamba anapaswa kuwajibishwa kwa kumudanganya mama.

Maharage hana kosa kwani walimtafuta wenyewe. Akaacha kazi yake iliyokuwa iliyokuwa inamuingizia kipato kikubwa kuliko huo mshahara wa CEO wa tanesco usiozidi TZS 6m net pay per month kwa ahadi ya kupiga dili kubwa zaidi ndani ya tanesco.
 
Wa kumulaumu ni Makamba kwani ndiye alimtafuta huyo mfanya biashara Maharagwe na akamfanyia interview nyumbani kwake. Akaona wanaweza kufanya biashara pamoja pale tanesco. Akampendekeza kwa mama na kukubalika. Hivyo vetting ilifanywa na Makamba. Hivyo Makamba anapaswa kuwajibishwa kwa kumudanganya mama.

Maharage hana kosa kwani walimtafuta wenyewe. Akaacha kazi yake iliyokuwa iliyokuwa inamuingizia kipato kikubwa kuliko huo mshahara wa CEO wa tanesco usiozidi TZS 6m net pay per month kwa ahadi ya kupiga dili kubwa zaidi ndani ya tanesco.
Kwani huyu maharage kabla ya kuwa tanesco, alikua wapi?
 
Back
Top Bottom